Hv Wolves tulitoka nao vp?
Europa mbaya Sana kwenye kuchosha wachezaji, even Rashford hakutakiwa kuanza leo, amecheza mfululizo mechi nyingi, sema ndo hivyo hatuna jinsi.
Hakuna clue ndugu yangu. Wachezaji hawajui cha kufanya.Leo man u anashinda goli 3
na mechi ya Liverpool akirudi pogba, martial, wan bisaka na shawa tunashinda gali mbili (2)
Kipofu kaonaAngalia ubao unasoma ngapi mkuu..
Ole wao Soton..
Kila la kheri Nu Casto![]()
Mkuu unapata wapi muda wa kuchezea namna hii,Yani kabisa unatenga muda wako kwenda kuangalia hiki kikundi cha matapeli kisichokuwa na maarifa.Huku vibanda umiza ni matusi tuuu...
Newcastle wana nia ya kushinda hii mechi, Man U tunapambania angalau mechi iishe droo
Hawa nao wabovu sana,wamekosa nafasi mbili bure kabisa. Hivi Rashford yupo uwanjani?😂😂 Wachezaji wetu hawajiamini kabisa hapo kwenye kiungo,mabeki tena Maguire na Tuanzebe ndo wanaojiamini. Hii timu haina ile kiburi ya 'sisi ni MUFC'. Timu ina mabeki watano kuifunga kwa mpira huu wa kizembe sio rahisi labda watumie cross,na mmaliziaji wa hizo cross sijui ni nani😂😂😂 |
Huyu Ole anasalimiana na Bruce kama anaomba kuonewa huruma toka kwa legend mwenzake
Timu ina mabeki watano kuifunga kwa mpira huu wa kizembe sio rahisi labda watumie cross,na mmaliziaji wa hizo cross sijui ni nani😂😂😂