usajili bora wa msimu huu ni
jose mourinho.
sky sports wamefanya biashara nzuri sana japokuwa ni usajili wa mkopo.
namuangalia kupitia youtube video zake za zamani na za nyakati hizi akifanya kazi ya uchambuzi nimebaki natikisa kichwa kama mlevi.
wakati nakwenda real madrid ni wachezaji watatu tu ndio nimewakuta wameshawahi kucheza robo fainal ya champions league, xabi alonso from liverpool, iker casillas from real madrid and cristiano ronaldo from manchester united, that is football heritage.
miaka saba iliopita matokeo mabaya ya manchester city ndani ya premier league ni kushika nafasi ya nne, ndani ya miaka 7 hii wameshinda premier league mara nne, that is football heritage.
ukiiangalia hii video utagundua ya kwamba jose mourinho ni mwanadamu aliyejaaliwa phd ya soka, amekichafua sana humu ndani
jamaa alikuwa na madhaifu yake lakini hakuwahi kuwa mnafiki kwenye ukweli.