Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aliyetengeneza timu hakua Mou alikua Carlo Ancelot weka kumbukumbu vizuri mkuu

Baada ya kueka kumbukumbu vizuri kama ulivyotaka ni kwamba sikumaanisha kuwa Mou aliitengeneza Real peke yake kama alivyotengeneza nyumba yake.
Nilichomaanisha ni kuwa Mourinho nayeye Ndiyo katika wahusika wakuu walioijenga Real madrid iliyompa mafaniko Zidane:

Miongoni Wachezaji waliosajiliwa na Mourinho at Real Madrid

1) ANGEL DI MARIA
2) MESUT OZIL
3) SAMI KHEDIRA
4) RAPHAEL VARANE
5) LUKA MODRIC

Hao ndiyo msingi wa Kutengenea kwa Timu ya Real kupitia Jose Mourinho
Ingawa wengine waliondoka lakini tayari Real ilikwisha tengenezeka
 
Mimi sina kawaida hiyo lakini kuna mjamaa hapa alikuja kusumbua sana kule Home baada ya sisi kudonolewa na Napoli, Sasa namimi ninajifariji hapa kidogo.

Anyway sikusudii Mipasho bali hizi picha nimezikuta sehemu na nimezipenda sana nimeamua kuja kushare na wadau hapa
Alikawa ni mkuu Radika huyo baadae Mc cane nae akajakumsaidia.
 
Nyongeza tu.
Raul Albiol
Fabio Coentrao
Cavalho
Pepe
Diego Lopez
Isco
Walisajiliwa na Mourinho pia
Baada ya kueka kumbukumbu vizuri kama ulivyotaka ni kwamba sikumaanisha kuwa Mou aliitengeneza Real peke yake kama alivyotengeneza nyumba yake.
Nilichomaanisha ni kuwa Mourinho nayeye Ndiyo katika wahusika wakuu walioijenga Real madrid iliyompa mafaniko Zidane:

Miongoni Wachezaji waliosajiliwa na Mourinho at Real Madrid

1) ANGEL DI MARIA
2) MESUT OZIL
3) SAMI KHEDIRA
4) RAPHAEL VARANE
5) LUKA MODRIC

Hao ndiyo msingi wa Kutengenea kwa Timu ya Real kupitia Jose Mourinho
Ingawa wengine waliondoka lakini tayari Real ilikwisha tengenezeka
 
usajili bora wa msimu huu ni jose mourinho.
sky sports wamefanya biashara nzuri sana japokuwa ni usajili wa mkopo.
namuangalia kupitia youtube video zake za zamani na za nyakati hizi akifanya kazi ya uchambuzi nimebaki natikisa kichwa kama mlevi.

wakati nakwenda real madrid ni wachezaji watatu tu ndio nimewakuta wameshawahi kucheza robo fainal ya champions league, xabi alonso from liverpool, iker casillas from real madrid and cristiano ronaldo from manchester united, that is football heritage.

miaka saba iliopita matokeo mabaya ya manchester city ndani ya premier league ni kushika nafasi ya nne, ndani ya miaka 7 hii wameshinda premier league mara nne, that is football heritage.

ukiiangalia hii video utagundua ya kwamba jose mourinho ni mwanadamu aliyejaaliwa phd ya soka, amekichafua sana humu ndani
jamaa alikuwa na madhaifu yake lakini hakuwahi kuwa mnafiki kwenye ukweli.​


Jamaa ni mkweli, hajawah kucheza soka lolote la mafanikio, na alishasema wazi mambo ya mpira wa entertainment hana na Hawezi , yeye anachoangalia ni ushindi basi, mambo ya sjui ball possession hajali, Kwa sasa anahtaj timu yenye mkakati wa kuchukua makombe, Yani imejipanga kuchukua makombe na sio kumaliza sijui top 4 au six, zaidi ya hapo bora awe mtazamaji ...alivyo mjanja katulia Tu akijua ligi zikianza kuna makocha watasanda njiani na hapo ndo atakuwa more valuable.....
 
Ukweli ni kwamba kila mtu ana sababu yake ya kuweka mipasho, wewe sababu yako ni hiyo ya kumlipizia jamaa, hata wengine wana sababu zao

Anyway that's football, ni mambo ya kawaida kutupiana vijembe
Mimi sina kawaida hiyo lakini kuna mjamaa hapa alikuja kusumbua sana kule Home baada ya sisi kudonolewa na Napoli, Sasa namimi ninajifariji hapa kidogo.

Anyway sikusudii Mipasho bali hizi picha nimezikuta sehemu na nimezipenda sana nimeamua kuja kushare na wadau hapa
 
Kuna watu wanaamini tunajenga team. Wengine wanaamini kuwa tuna wachezaji wanaowika Ulaya, kuna wengine wakitolea mfano kwa Fergie alivovuruga mwanzo na akafanikiwa kujenga empire na wanaamini Ole na yeye ndio njia yake.

Hao ni watu walioko usingizini. Team inawachezaji wa ovyo kabisa, haoa wanaodaiwa kuwika ulaya, out of manutd hawapati namba, na hapo walipo wanapata namba kwa sababu hakuna competition. Ole nae anasema anaona ile game ya jana ina positives, ataendelea kuimba nyimbo hio huku timu ikivuruga, hata akija Football director kama kocha ni OLE itakuwa ndio yale yale, jamaa aachie ngazi kiroho safi, hajui anafanya nini kwenye benchi la ufundi
 
Nimetia huruma wapi, mimi sio mtu wa style hiyo ya kutia tia huruma

Wewe ndio naona huwa unakuwa mkali sana, mambo yakiwaendea mrama, juzi tu mechi ya Napoli niliona comment zako unavyong'aka kwenye Uzi wenu
Hahahahahahahahah katika ambao huwa nawaonea huruma Manchester United ikifungwa ni wewe jamaa yangu unatiaga huruma sana.
 
Naona Management inajikosha
Screenshot_20190923_154734_com.android.chrome.jpeg
Screenshot_20190923_154752_com.android.chrome.jpeg
 
Jamaa ni mkweli, hajawah kucheza soka lolote la mafanikio, na alishasema wazi mambo ya mpira wa entertainment hana na Hawezi , yeye anachoangalia ni ushindi basi, mambo ya sjui ball possession hajali, Kwa sasa anahtaj timu yenye mkakati wa kuchukua makombe, Yani imejipanga kuchukua makombe na sio kumaliza sijui top 4 au six, zaidi ya hapo bora awe mtazamaji ...alivyo mjanja katulia Tu akijua ligi zikianza kuna makocha watasanda njiani na hapo ndo atakuwa more valuable.....
Mpaka sasa jamaa anazidi kupanda thamani tu
Dunia ya leo unaona kabisa kocha anaeweza kupambana na pep ni mou only
 
Kuna watu wanaamini tunajenga team. Wengine wanaamini kuwa tuna wachezaji wanaowika Ulaya, kuna wengine wakitolea mfano kwa Fergie alivovuruga mwanzo na akafanikiwa kujenga empire na wanaamini Ole na yeye ndio njia yake.

Hao ni watu walioko usingizini. Team inawachezaji wa ovyo kabisa, haoa wanaodaiwa kuwika ulaya, out of manutd hawapati namba, na hapo walipo wanapata namba kwa sababu hakuna competition. Ole nae anasema anaona ile game ya jana ina positives, ataendelea kuimba nyimbo hio huku timu ikivuruga, hata akija Football director kama kocha ni OLE itakuwa ndio yale yale, jamaa aachie ngazi kiroho safi, hajui anafanya nini kwenye benchi la ufundi
Kwa iyo aseno nao wakitufunga atasema anaona positive
Jamaa kiazi sana
 
Back
Top Bottom