Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Victor Lindelof asaini mkataba mpya hadi 2024

Daniel James aungana na PP, Tony na Luke Shaw kwenye orodha ya wenye majeruhi. Ameumia ankle.

Greenwood, Axel na Romero wataanza mechi dhidi ya Astana ya Kazakhstan kesho 19/09/2019

VVD (beki bora Ulaya) atoa assist kwa Loriente na kusababisha Napoli kushinda goli 2-0 dhidi yao
Hiyo aya ya mwisho nimecheka sana
 
Solskjær atuletee huyu kijana haraka sana, maana hii ndio goal machine (future) baada ya Kirikuu na kaka yake Penaldo kutundika daruga huyu kijana na mwenzie Felix naona wakifanya makubwa kama Messi na Ronaldo; japokuwa wanaweza wasiwafikie hawa wababe lakini hawa watoto ni hatari. Erling Braut Håland mechi anazocheza ni chache kuzidi magoli anayofunga, usiseme labda ni kutokana na timu anazokutana nazo ila dogo anaujua alipokuwa under 20 Norway kuna katimu alikazibua goli 9 juzi kaondoka na mpira wa UEFA CL huyu ni zaidi ya Rashford kama unabisha, naomba leo baada ya kucheza na Astana uniletee picha ya Rashford akiwa amebeba mpira wa Europa kwa kupiga hat-trick (hawezi) sio picha akiwa anarusha mpira baada ya kumuacha Felix basi tunapaswa kugeukia huku, tucheze tu hata kamari hapa akija kushindwa PL tunamtoa kwa mkopo kwenda Chelsea bila shaka watakuwa washafunguliwa kusajili na Abraham atakuwa ashakata upepo kitambo sana.
20b92b78-f1a9-4afe-b017-89d3245d0597-1658.jpeg
20190919_064223.jpeg
 
Solskjær atuletee huyu kijana haraka sana, maana hii ndio goal machine (future) baada ya Kirikuu na kaka yake Penaldo kutundika daruga huyu kijana na mwenzie Felix naona wakifanya makubwa kama Messi na Ronaldo; japokuwa wanaweza wasiwafikie hawa wababe lakini hawa watoto ni hatari. Erling Braut Håland mechi anazocheza ni chache kuzidi magoli anayofunga, usiseme labda ni kutokana na timu anazokutana nazo ila dogo anaujua alipokuwa under 20 Norway kuna katimu alikazibua goli 9 juzi kaondoka na mpira wa UEFA CL huyu ni zaidi ya Rashford kama unabisha, naomba leo baada ya kucheza na Astana uniletee picha ya Rashford akiwa amebeba mpira wa Europa kwa kupiga hat-trick (hawezi) sio picha akiwa anarusha mpira baada ya kumuacha Felix basi tunapaswa kugeukia huku, tucheze tu hata kamari hapa akija kushindwa PL tunamtoa kwa mkopo kwenda Chelsea bila shaka watakuwa washafunguliwa kusajili na Abraham atakuwa ashakata upepo kitambo sana.View attachment 1211057View attachment 1211058
Dah huyu mtoto anajua sana

Arsenal tunamfatilia na mwenzake Szoibai

Tulituma maskauti juzi wakicheza na Genk,

Summer tunaweka mzigo
 
Leo tupo futuhi letu naona vijana wanarejea kwa wingi napenda wewe kamili mech ya west ham
 
Moja ya wachezaji tutakaojutia kuwapata na haikuwa ngumu kuwapata ni Joao Felix. Kwa huyo dogo, hakuna cha Mbape, Mesi, Ronaldo wala Neyma et al. AM watamuuza kwa hela ndefu sana. Dogo yupo smart balaah

Naona hapo kwa neymar mkuu upo chaka hiyo ni habar nyingine huyo ni baada ya mess na ronaldo
 
Rekod zake izo Apo nambien akiwa liver asha wah fksha goal 10 uyo Sterling af akiw na man city kaanz kuwak mcim wa 2017/2018View attachment 1210117

Sterling alikuwa mzur toka akiwa liverpool unachoshindwa kutofautisha ni ile utulivu mbele ya goli waliwahi kuwa na safu kali sana ya ushambuliaji huyo dogo alichukiwa baada ya kulazimisha kusepa kwenda city lakin alikuwa hatar sana
IMG_1172.JPG
 
Solskjær atuletee huyu kijana haraka sana, maana hii ndio goal machine (future) baada ya Kirikuu na kaka yake Penaldo kutundika daruga huyu kijana na mwenzie Felix naona wakifanya makubwa kama Messi na Ronaldo; japokuwa wanaweza wasiwafikie hawa wababe lakini hawa watoto ni hatari. Erling Braut Håland mechi anazocheza ni chache kuzidi magoli anayofunga, usiseme labda ni kutokana na timu anazokutana nazo ila dogo anaujua alipokuwa under 20 Norway kuna katimu alikazibua goli 9 juzi kaondoka na mpira wa UEFA CL huyu ni zaidi ya Rashford kama unabisha, naomba leo baada ya kucheza na Astana uniletee picha ya Rashford akiwa amebeba mpira wa Europa kwa kupiga hat-trick (hawezi) sio picha akiwa anarusha mpira baada ya kumuacha Felix basi tunapaswa kugeukia huku, tucheze tu hata kamari hapa akija kushindwa PL tunamtoa kwa mkopo kwenda Chelsea bila shaka watakuwa washafunguliwa kusajili na Abraham atakuwa ashakata upepo kitambo sana.View attachment 1211057View attachment 1211058
Alafu Dogo mwenyewe ana ipenda Man u toka kitambo
Yaan Man U tushindwe wenyewe.. Tu
 
Zidane alifanya makosa sana kukubali kurejea Real, na sasa ataondoka kwa aibu.

Wachezaji walioikimbia Chelsea kwenda Real sijui kama hawajutii.😂😂

Bora MUFC haikumchukua Zidane.
 
Baba ake alicheza Leeds United na Man City kama beki

Akavunjwa mguu na Roy Keane katika Derby Manchester, na ikawa mwisho wa carrier yake

Amezaliwa Leeds na shabiki wa Leeds United, ataanzaje kuipenda United

Kitu pekee kinachoweza kumvutia United ni OGS aliyempa debut pale Molde

Pia baba yake kasema, kupenda timu ni jambo moja na kucheza mpira kama kazi /profession ni jambo jingine hivyo kwenda United kufanya kazi anaweza ila sio sababu ya mapenzi

Pia OGS juzi amemfananisha na Lukaku, je atakuwa kwenye Mipango ya OGS?
Alafu Dogo mwenyewe ana ipenda Man u toka kitambo
Yaan Man U tushindwe wenyewe.. Tu
 
Anajua lakini anazungukwa na watu gani ?
Yule mjapani sijui mkorea mbona ndiyo msuka mipango ya Halland ?
Baba ake alicheza Leeds United na Man City kama beki

Akavunjwa mguu na Roy Keane katika Derby Manchester, na ikawa mwisho wa carrier yake

Amezaliwa Leeds na shabiki wa Leeds United, ataanzaje kuipenda United

Kitu pekee kinachoweza kumvutia United ni OGS aliyempa debut pale Molde

Pia baba yake kasema, kupenda timu ni jambo moja na kucheza mpira kama kazi /profession ni jambo jingine hivyo kwenda United kufanya kazi anaweza ila sio sababu ya mapenzi

Pia OGS juzi amemfananisha na Lukaku, je atakuwa kwenye Mipango ya OGS?
 
Baba ake alicheza Leeds United na Man City kama beki

Akavunjwa mguu na Roy Keane katika Derby Manchester, na ikawa mwisho wa carrier yake

Amezaliwa Leeds na shabiki wa Leeds United, ataanzaje kuipenda United

Kitu pekee kinachoweza kumvutia United ni OGS aliyempa debut pale Molde

Pia baba yake kasema, kupenda timu ni jambo moja na kucheza mpira kama kazi /profession ni jambo jingine hivyo kwenda United kufanya kazi anaweza ila sio sababu ya mapenzi

Pia OGS juzi amemfananisha na Lukaku, je atakuwa kwenye Mipango ya OGS?
Tatizo la huyu dogo ni moja tu! "I want to be the best. The dream is to win the Premier League with Leeds - and to be a better player than dad."

Mchawi wetu hapa ni Roy Keane baada ya kumkwatua baba yake nahisi dogo hataki kabisa kusikia habari za United.
 
Dah huyu mtoto anajua sana

Arsenal tunamfatilia na mwenzake Szoibai

Tulituma maskauti juzi wakicheza na Genk,

Summer tunaweka mzigo
Baada ya kupigwa ma-PEPE sidhani kama maboss watatoa tena mpunga, cha kufanya hii deal tuachieni United "Youth, Courage, Success" atatufaa sana huyu. Mnaonaje nyie mkamrudisha mzee Wenger awaletee wachezaji wenu wale wa mafungu maana dili kama hizi hamuwezi mshazoea kwa £15 mnapata wachezaji watatu na chenji inabaki.
 
Hata mimi sijawahi kumkubali

Na mechi ya jana ni muendelezo wa matokeo mbovu na ametumia £300m+
Huyu jamaa sikuwa na imani nae kwa madrdi hii hata ukiwa na majeruhi bado huwez kufungwa kizembe na psg isiyo na neymar,cavan na mbape
 
Back
Top Bottom