Solskjær atuletee huyu kijana haraka sana, maana hii ndio goal machine (future) baada ya Kirikuu na kaka yake Penaldo kutundika daruga huyu kijana na mwenzie Felix naona wakifanya makubwa kama Messi na Ronaldo; japokuwa wanaweza wasiwafikie hawa wababe lakini hawa watoto ni hatari. Erling Braut Håland mechi anazocheza ni chache kuzidi magoli anayofunga, usiseme labda ni kutokana na timu anazokutana nazo ila dogo anaujua alipokuwa under 20 Norway kuna katimu alikazibua goli 9

juzi kaondoka na mpira wa UEFA CL huyu ni zaidi ya Rashford kama unabisha, naomba leo baada ya kucheza na Astana uniletee picha ya Rashford akiwa amebeba mpira wa Europa kwa kupiga hat-trick (hawezi) sio picha akiwa anarusha mpira

baada ya kumuacha Felix basi tunapaswa kugeukia huku, tucheze tu hata kamari hapa akija kushindwa PL tunamtoa kwa mkopo kwenda Chelsea

bila shaka watakuwa washafunguliwa kusajili na Abraham atakuwa ashakata upepo kitambo sana.
View attachment 1211057View attachment 1211058