Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ujio wa Lindélof ulituonesha udhaifu wa Smalling, ujio wa Magiure umetuonesha udhaifu wa Lindelof same to Bissaka kwa Shaw.....hivi hawa scouts wa United hamuoni Digne wa Everton??

tunaoteseka ni sisi mashabiki
Mkuu mechi ya juzi kati ya Toffees na Wolves, Digne alizungukwa na Adama kama mtoto vile

Nakubaliana na wewe kuna wachezaji wengi sana ulimwenguni ambao wapo mbele ya Shaw kiuwezo, hata Brandon Williams wa reserve team akipewa nafasi anaweza kum challenge Shaw
 
Kama Priority ya timu ni mauzo ya jezi basi ni sawa. Ila kama wana malengo ya kugombea ubingwa EPL au Champion league basi wataendelea kusahau kwa miaka ya karibuni.
Priority ni kukuza brand ya Man Utd.

Itabadilika Ed akiondoka pale.
 
Alichosema G.Nevil kuhusu rebuild ya United

United wanaelekea uelekeo sahihi licha ya matokeo mabaya wanaopata na watakayopata siku za mbele. Ukiwatazama kwa sasa wana timu ya vijana wadogo wenye njaa, wengine wanasajiliwa na wengine kutoka mfumo wa timu ya watoto (academy)

Anachofanya OGS kwa sasa ndicho alichofanya SAF kipindi anatoka Abarden kuja United. Wakati anachukua timu, alilenga kuleta utamaduni mpya kwenye timu changa anayoijenga. Pamoja na kukuta baadhi ya wachezaji wenye vipaji kama Paul McGrath na Norman Whiteside aliamua kuwaondoa ili kuleta sura mpya ambazo zina vipaji lakini zinaendana na kile anachotaka kukianzisha klabuni. Si ajabu sasa OGS amewaondoa Rom, Sanchez, Valencia, Smalling n.k. Na dalili zinaonesha kuna wengine wataondoka madirisha yanayofuata.

Ni ukweli usiopingika kuwa, Pep alipofika City alikuta timu nzuri lakini alihitaji kati ya madirisha 3 na 4 ya usajili kujenga kitu anachotaka kujenga. Kwa upande wa Klop alihitaji kati ya miaka 3 na 4 kujenga timu yenye taswira ya falsafa zake (kwa wale msiopenda kujenga hoja kwa kutaja mifano ya timu nyingine, mtanisamehe hapa )

Usajili wa Wan Bissaka, Maquire na Daniel James unadhihirisha adhma ya OGS kujenga timu kwa taswira/falsafa yake. OGS Anachofanya anahitaji muda, na akipewa muda ataleta mapinduzi ya kiuchezaji ndani ya United, kwani hata sasa timu inaonesha kucheza kwa style inayoeleweka.

Kikubwa OGS anachohitaji ni kupewa muda na Board
 
Alichosema G.Nevil kuhusu rebuild ya United

United wanaelekea uelekeo sahihi licha ya matokeo mabaya wanaopata na watakayopata siku za mbele. Ukiwatazama kwa sasa wana timu ya vijana wadogo wenye njaa, wengine wanasajiliwa na wengine kutoka mfumo wa timu ya watoto (academy)

Anachofanya OGS kwa sasa ndicho alichofanya SAF kipindi anatoka Abarden kuja United. Wakati anachukua timu, alilenga kuleta utamaduni mpya kwenye timu changa anayoijenga. Pamoja na kukuta baadhi ya wachezaji wenye vipaji kama Paul McGrath na Norman Whiteside aliamua kuwaondoa ili kuleta sura mpya ambazo zina vipaji lakini zinaendana na kile anachotaka kukianzisha klabuni. Si ajabu sasa OGS amewaondoa Rom, Sanchez, Valencia, Smalling n.k. Na dalili zinaonesha kuna wengine wataondoka madirisha yanayofuata.

Ni ukweli usiopingika kuwa, Pep alipofika City alikuta timu nzuri lakini alihitaji kati ya madirisha 3 na 4 ya usajili kujenga kitu anachotaka kujenga. Kwa upande wa Klop alihitaji kati ya miaka 3 na 4 kujenga timu yenye taswira ya falsafa zake (kwa wale msiopenda kujenga hoja kwa kutaja mifano ya timu nyingine, mtanisamehe hapa )

Usajili wa Wan Bissaka, Maquire na Daniel James unadhihirisha adhma ya OGS kujenga timu kwa taswira/falsafa yake. OGS Anachofanya anahitaji muda, na akipewa muda ataleta mapinduzi ya kiuchezaji ndani ya United, kwani hata sasa timu inaonesha kucheza kwa style inayoeleweka.

Kikubwa OGS anachohitaji ni kupewa muda na Board
Wewe ndio naonaga peke yako humu unawaza mbele , wengi humu wanalalamika tu hawajui hizi ni project zinahitaji muda ,lazima ufanye usafi kwanza, na kuanza kuleta quality players ,

Sioni ole akifukuzwa kama wengi wanavyodhani, hapo bodi inajua kabisa itapitia ktk wakati mgumu unapojenga timu, kitendo cha dyabala kukataliwa kisa akitaka kuigeuza man u ni sehemu ya kuchota hela ,inaonesha ni jinsi gan man u inajengwa upya ,

Nitoe mfano hata sisi Arsenal tuna project ambayo inafanana na hii ya man u, kwanza kuondoa deadwoods wote na kujenga timu ya ushindani.Mashabiki waliozoea kulalamika tu ndio watapata wakati ngumu sana.
 
Baadhi ya stats muhimu toka ligi ianze.
-wachezaji wote watatu waliosajiliwa na Ole (Maguire, Bissaka na James) wapo kwenye kinyang'anyiro Cha mchezaji Bora wa mwezi.

-james ameingia mara mbili kwenye goli Bora la mwezi.

-Pogba Ni mchezaji wa pili kwenye ligi kwenye kutengeneza nafasi nyuma ya KDB, ametengeneza nafasi 11 so far

-Bissaka Kama kawaida anaongoza kwa Tackling na interception ligi nzima, ndani ya mechi 4 ameshawin 30

-man UTD ndio Wana defense Bora zaidi kwenye ligi na ndio ambao Ni unlikely kuruhusu goli
EDjtwuVWsAISbet.png


-timu ya tatu kwa kutengeneza chance nyingi za kufunga.
 
Baadhi ya stats muhimu toka ligi ianze.
-wachezaji wote watatu waliosajiliwa na Ole (Maguire, Bissaka na James) wapo kwenye kinyang'anyiro Cha mchezaji Bora wa mwezi.

-james ameingia mara mbili kwenye goli Bora la mwezi.

-Pogba Ni mchezaji wa pili kwenye ligi kwenye kutengeneza nafasi nyuma ya KDB, ametengeneza nafasi 11 so far

-Bissaka Kama kawaida anaongoza kwa Tackling na interception ligi nzima, ndani ya mechi 4 ameshawin 30

-man UTD ndio Wana defense Bora zaidi kwenye ligi na ndio ambao Ni unlikely kuruhusu goli
View attachment 1197824

-timu ya tatu kwa kutengeneza chance nyingi za kufunga.

Kwenye hiyo point Nyekundu:
Crystal Palace Kaconcede 2
Liverpool kaconcede 3
Man City Kaconcede 3
Leicester kaconcede 3
But Man United Kaconcede 4

Sasa naomba unifahamishe ni stats zipi ulizotumia kusema munaukuta mgumu zaidi EPL kuruhusu Magoli kuliko timu nyengine zote! Unless uniambie kipa wenu mbovu kuruhusu magoli 4.
 
Kwenye hiyo point Nyekundu:
Crystal Palace Kaconcede 2
Liverpool kaconcede 3
Man City Kaconcede 3
Leicester kaconcede 3
But Man United Kaconcede 4

Sasa naomba unifahamishe ni stats zipi ulizotumia kusema munaukuta mgumu zaidi EPL kuruhusu Magoli kuliko timu nyengine zote! Unless uniambie kipa wenu mbovu kuruhusu magoli 4.
Hio Ni XG, expected goals, Hapo inaonesha man UTD kafungwa magoli ya kizembe, chance za hatari zilizotengenezwa na wapinzani wa man UTD ni chache alitakiwa awe kafungwa goli chache zaidi lakini ame concede nyingi kuliko alivyotakiwa a concede.

Definition ya xg
Expected goals (xG) measures the quality of a shot based on several variables such as assist type, shot angle and distance fromgoal, whether it was a headed shot and whether it was defined as a big chance.
 
Mkuu kui rebuild utd itachukua no less than 3yrs.......Kama ulivyo ainisha hapo juu

Year 1;cleanse and recruit real good players

Yerar 2; strengthen the squad, recruit top class payers

Year3; contend and win titles....

Note: pep na klopp wote huu ndo msimu wao wa 3,
Tukitaka Mafanikio ya haraka kwa msimu ujao au ule mwingine Ni ngumu Sana labda ma bosi wakubali KU sprung 1bilion + (Messi,mbappe, oblac, Erikson, etc all best players)
Utd wafanye wazungushe kitu inaitwa 'an offer u can't refuse' (Kama utd wababe kweli)
Wewe ndio naonaga peke yako humu unawaza mbele , wengi humu wanalalamika tu hawajui hizi ni project zinahitaji muda ,lazima ufanye usafi kwanza, na kuanza kuleta quality players ,

Sioni ole akifukuzwa kama wengi wanavyodhani, hapo bodi inajua kabisa itapitia ktk wakati mgumu unapojenga timu, kitendo cha dyabala kukataliwa kisa akitaka kuigeuza man u ni sehemu ya kuchota hela ,inaonesha ni jinsi gan man u inajengwa upya ,

Nitoe mfano hata sisi Arsenal tuna project ambayo inafanana na hii ya man u, kwanza kuondoa deadwoods wote na kujenga timu ya ushindani.Mashabiki waliozoea kulalamika tu ndio watapata wakati ngumu sana.
Alichosema G.Nevil kuhusu rebuild ya United

United wanaelekea uelekeo sahihi licha ya matokeo mabaya wanaopata na watakayopata siku za mbele. Ukiwatazama kwa sasa wana timu ya vijana wadogo wenye njaa, wengine wanasajiliwa na wengine kutoka mfumo wa timu ya watoto (academy)

Anachofanya OGS kwa sasa ndicho alichofanya SAF kipindi anatoka Abarden kuja United. Wakati anachukua timu, alilenga kuleta utamaduni mpya kwenye timu changa anayoijenga. Pamoja na kukuta baadhi ya wachezaji wenye vipaji kama Paul McGrath na Norman Whiteside aliamua kuwaondoa ili kuleta sura mpya ambazo zina vipaji lakini zinaendana na kile anachotaka kukianzisha klabuni. Si ajabu sasa OGS amewaondoa Rom, Sanchez, Valencia, Smalling n.k. Na dalili zinaonesha kuna wengine wataondoka madirisha yanayofuata.

Ni ukweli usiopingika kuwa, Pep alipofika City alikuta timu nzuri lakini alihitaji kati ya madirisha 3 na 4 ya usajili kujenga kitu anachotaka kujenga. Kwa upande wa Klop alihitaji kati ya miaka 3 na 4 kujenga timu yenye taswira ya falsafa zake (kwa wale msiopenda kujenga hoja kwa kutaja mifano ya timu nyingine, mtanisamehe hapa )

Usajili wa Wan Bissaka, Maquire na Daniel James unadhihirisha adhma ya OGS kujenga timu kwa taswira/falsafa yake. OGS Anachofanya anahitaji muda, na akipewa muda ataleta mapinduzi ya kiuchezaji ndani ya United, kwani hata sasa timu inaonesha kucheza kwa style inayoeleweka.

Kikubwa OGS anachohitaji ni kupewa muda na Board
Hii kitu tulishasema humu utd tukubali kupitia kipindi kigumu misimu 3, klopp yupo liver mwaka wa nne huu tangu 2016 December nadhani
 
City have Stones, Jesus, Sane, Laporte and Mendy on the Injury list and are still considered title favorites, their squad depth is fuckin ridiculous, if this happened to any other team thats their season done!
 
Hio Ni XG, expected goals, Hapo inaonesha man UTD kafungwa magoli ya kizembe, chance za hatari zilizotengenezwa na wapinzani wa man UTD ni chache alitakiwa awe kafungwa goli chache zaidi lakini ame concede nyingi kuliko alivyotakiwa a concede.

Definition ya xg
Expected goals (xG) measures the quality of a shot based on several variables such as assist type, shot angle and distance fromgoal, whether it was a headed shot and whether it was defined as a big chance.

Nadhani ipo haja ya kuendelea kujadiliana na wewe ikiwa hutojali! Lakini sitopenda Personal attacks kama kuniita - Mjinga, Sijaenda shule, Mpumbavu, Sijui chochote, n.k.

Tirudi kwenye Mada!
YOUR KEY POINTS:

1) Mumefungwa Magoli ya Kizembe
2) Wapinzani wa Man United wametengeneza chance hatari chache
3) Man United alitakiwa aconcede magoli machache zaidi kinyume aliyoconcede

HOJA ZANGU

1) Kwenye hayo magoli ya Kizembe, Uzembe huo ni wanani! Kipa? Mabeki?

2) Kama chansi zimetengenezwa chache lakini wamefungwa magoli mengi kwenye hizo nafasi chache, Je hapo huoni kuwa pana tatizo kwa beki au kwa kipa?

3) Yule ambaye mpinzani wake katengeneza nafasi nyingi hatari (Let's say 20) lakini akaconcede magoli machache (Let's say 3)... Na Yule ambaye mpinzani wake ametengeneza chance hatari chache (Let's say 10) lakini akaconcede magoli mengi (Let's say 4), hapo katika hao Wawili kosa ni la Defenders au la kipa?

Have a good luck
 
Nope , Klopp yupo Liverpool tokea October 2015
Asante,kumbe nmepunguzia mwaka mzima kabisa, miaka 4 anifiled ndo kapata eufa na eufa super cup.....
So ni sawa nawanachofanya utd sahivi, Japo namuona OGS kama inexperienced na mpole sana hivyo sijui Kama ataweza kufanikisha kuirudisha utd kwenye ushindani wa juu na kushinda ndani ya msimu 3 ijayo...
 
Asante,kumbe nmepunguzia mwaka mzima kabisa, miaka 4 anifiled ndo kapata eufa na eufa super cup.....
So ni sawa nawanachofanya utd sahivi, Japo namuona OGS kama inexperienced na mpole sana hivyo sijui Kama ataweza kufanikisha kuirudisha utd kwenye ushindani wa juu na kushinda ndani ya msimu 3 ijayo...
Opinion yangu naona Klopp hajawa successful within EPL sababu miaka minne hujachukua kombe lolote la ndani it's a kind of failure, yaani hata Carabao tu

Ila kwa upande wa kuijenga timu aisee kafanikiwa sana maana Liverpool yake tishio sana huku akiwa katumia Pesa kiasi tu sokoni, mafanikio yake mengine ni kuimaintain Liverpool ndani ya top four katika miaka yake yote hivyo UEFA football sio changamoto tena na kuipa Liverpool mafanikio ya kimapato(income kubwa) sababu mauzo ya Jezi yamekuwa makubwa sana chini yake na pesa za Runinga nyingi zaidi sababu ya performance UEFA na hata katika EPL


Kifupi Klopp alishajulikana kabla ya kuja Liverpool kuwa ni kocha world class

Kujenga timu sidhani kama OGS atapata muda huo , tukumbuke yaliyomtokea Luis Van Gaal. Miaka mitatu ya kuijenga timu ila akawa bado anastruggle kuijenga timu miaka mitatu imeisha bado anajenga timu
 
Nadhani ipo haja ya kuendelea kujadiliana na wewe ikiwa hutojali! Lakini sitopenda Personal attacks kama kuniita - Mjinga, Sijaenda shule, Mpumbavu, Sijui chochote, n.k.

Tirudi kwenye Mada!
YOUR KEY POINTS:

1) Mumefungwa Magoli ya Kizembe
2) Wapinzani wa Man United wametengeneza chance hatari chache
3) Man United alitakiwa aconcede magoli machache zaidi kinyume aliyoconcede

HOJA ZANGU

1) Kwenye hayo magoli ya Kizembe, Uzembe huo ni wanani! Kipa? Mabeki?

2) Kama chansi zimetengenezwa chache lakini wamefungwa magoli mengi kwenye hizo nafasi chache, Je hapo huoni kuwa pana tatizo kwa beki au kwa kipa?

3) Yule ambaye mpinzani wake katengeneza nafasi nyingi hatari (Let's say 20) lakini akaconcede magoli machache (Let's say 3)... Na Yule ambaye mpinzani wake ametengeneza chance hatari chache (Let's say 10) lakini akaconcede magoli mengi (Let's say 4), hapo katika hao Wawili kosa ni la Defenders au la kipa?

Have a good luck
Mkuu kwanza ili kuelewa hio stats inabidi uelewe maana ya expected goal, Hilo Ni goal la kutengenezwa yaani kunakuwa na pasi, ama cross etc vice versa yake Ni defence Kuna defense ambayo hairuhusu hivyo vitu kufanyika.

Then Kuna magoli ambayo hayahesabiki kwenye hii xg mfano kipa karusha mpira ukamgonga forward anafungwa, hii sio expected goal, hakuna chance iliokuwa created na Wala hakuna assist Hapo. Chance ilikuwa sio ya goli beki akafanya uzembe etc?

Ndio maana nikatumia Hilo neno unlikely nilipoeka hio stats.
 
Back
Top Bottom