Kwanza unaamini huu msimamo ndio una reflect uhalisia
Kama una amini hivyo, basi tatizo lipo
Kama unaamini Cristal Palace aliyetumia £0 kwenye usajili ataendelea kuwa hapo alipo, tatizo litakuwepo
Kama unaamini Liverpool aliyetumia chini ya £20m ataendelea kuwa juu ya City aliyetumia £75m ujue tatizo lipo
Kama unaamini United atabaki hapo alipo (namba 8)na Chelsea atabaki hapo alipo (namba 11) ujue tatizo lipo
Au mkuu ulitaka tuangalie Chelsea na United tu, bila kuangalia big picture
Ligi ni kama mbio za marathon mkuu, sio kila aliye mbele dakika mbili za mwanzo atamaliza akiwa mbele na si kila aliye nyuma atamaliza wa mwisho. Nakumbuka mara ya mwisho Chelsea kuchukua EPL ilikuwa chini ya Conte, timu ilianza ligi vibaya mno
View attachment 1196893