Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,352
Maddison >>>>>>>>>>>> Fraserila kiuwezo Maddison yupo mbali sana
Maddison >>>>>>>>>>>> Fraserila kiuwezo Maddison yupo mbali sana
Siyo complete midfielder yule wanatuzingua tu. Kwa Work rate ya pogba sidhani kama kuna kiungo ktk nafasi yake anayemzidi. Ukiondoa tuvisigino anatopigaga, Naamini viungo wote wanamzidi pogbaHapana kitu, Timu tu inambeba pale. Binafsi Mimi nashindwa kufahamu Pogba sifa yake ni nini ndani ya uwanja. hufahamu jamaa ni midfield wakushambulia kuzuia wala kuchezesha. Hana sifa ya popote.
Mjomba utaongea tu. Ni suala la muda tu,labda pogba aondoke hapoBinafsi nimejizuia sana kuongea kuhusu OGS, Pogba na Lukaku kama ilivyokuwa kwa Mourinho.
Hivi huyu icardi tulimwacha hivihivi tu daaa!
Ed anaangalia mauzo ya jezi ya Pogba, usitegemee kama ataondoka pale.Pogba ni moja ya sajili mbovu kabisa Man Utd walizowahi kufanya, Kinachonishangaza mimi nikua bado club inamng'ang'ania badala ya kumpiga bei akenda kuripukia mbele.
Management ya Man UTD ina matatizo sana aisee
Ed anaangalia mauzo ya jezi ya Pogba, usitegemee kama ataondoka pale.
Hili la pogba kupoteza mipira ni kweli kabisa jamaa anapoteza mpira sana game moja hata mara 4 au 5 halafu kizembe tu.Siyo complete midfielder yule wanatuzingua tu. Kwa Work rate ya pogba sidhani kama kuna kiungo ktk nafasi yake anayemzidi. Ukiondoa tuvisigino anatopigaga, Naamini viungo wote wanamzidi pogba
We jamaa unajielewa kweli..eti unasema???Siyo complete midfielder yule wanatuzingua tu. Kwa Work rate ya pogba sidhani kama kuna kiungo ktk nafasi yake anayemzidi. Ukiondoa tuvisigino anatopigaga, Naamini viungo wote wanamzidi pogba
Katoto haka kapuuzi kweli kweli!!
Kwanini simpendi Rashford. View attachment 1196661
Katoto haka kapuuzi kweli kweli!!
Kanajiona Ronaldo. Timu ina safari ndefu sana kwa aina hii ya wachezaji. Pogba si ndio kashaumia sio eeh? Hahaha,napenda kuona tukumaliza nafasi za chini sanaa ili wafanyabiashara wazinduke. | |
Man U - 159M - Point 5
Chelsea - OM - Point 5
Kuna tatizo mahali
Tunaweza kusema mpira unadunda ila kwa United kuna tatizo kubwa sana hasa kwa wachezaji. Chelsea wana wachezaji ambao mawazo yao yote yapo Chelsea na wanapambana. Tazama viungo wao watatu. Kante-Jorginho- Kovacic. Hawa akili zao zipo Chelsea na wanapambana. Hebu njoo United uone kisanga kilichopo upande wa viungo. Pogba kivuli chake kipo United lakini mwili na akili vipo nje ya united. Sijajua Chelsea ukiacha kuuza Hazard kama wana tatizo kuubwa sana. Ni Lampard atulie tu,Chelsea inaweza kumaliza juu ya United. |
Pogba ni moja ya sajili mbovu kabisa Man Utd walizowahi kufanya, Kinachonishangaza mimi nikua bado club inamng'ang'ania badala ya kumpiga bei akenda kuripukia mbele.
Management ya Man UTD ina matatizo sana aisee
Mkuu Ulaya pia matapeli wapo. Hicho ndicho walichofanyiwa Arsenal.
ila kiuwezo Maddison yupo mbali sana
Hivi huyu icardi tulimwacha hivihivi tu daaa!
Kanajiona Ronaldo.
Timu ina safari ndefu sana kwa aina hii ya wachezaji.
Pogba si ndio kashaumia sio eeh? Hahaha,napenda kuona tukumaliza nafasi za chini sanaa ili wafanyabiashara wazinduke.
Kwanini simpendi Rashford. View attachment 1196661
Tunaweza kusema mpira unadunda ila kwa United kuna tatizo kubwa sana hasa kwa wachezaji.
Chelsea wana wachezaji ambao mawazo yao yote yapo Chelsea na wanapambana. Tazama viungo wao watatu. Kante-Jorginho- Kovacic. Hawa akili zao zipo Chelsea na wanapambana.
Hebu njoo United uone kisanga kilichopo upande wa viungo.
Pogba kivuli chake kipo United lakini mwili na akili vipo nje ya united.
Sijajua Chelsea ukiacha kuuza Hazard kama wana tatizo kuubwa sana. Ni Lampard atulie tu,Chelsea inaweza kumaliza juu ya United.