Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo lako wewe huwezagi kujenga hoja bila kutafuta Excuse ya sapoti kwa timu nyingine,Itetee Manchester United bila mgongo wa timu nyingine.
Siku ukijua kufikiria nje ya box utanielewa system yangu ya ujengaji wa hoja (kwanini uone hiyo hoja iliyotolewa ni relevant kwa United lakini isiwe relevant kwa timu nyingine? think outside the box brother)

Hoja ni value for money in relation to on the pitch success

Mimi ni muumini wa kujenga hoja kwa mifano, citation

Wewe endelea kujenga hoja za hewani hewani zisizo na citation
 
Rashford, Martial na Lingard all are poor than Tammy Abraham.
Hapana bwana, Tammy hawezi kuwa bora zaidi ya Rashford au Martial

Hizo goli alizoshinda huko Championship alifunga viClub ambavyo havina beki wakati huku EPL timu bora ni zaidi ya 13 na zina beki kweli, South Hampton, Newcastle, Crystal Palace hazipo top ten ila zina beki

Kutambia Championship sio kutambia EPL bana
 
Ikiwezekana wampe na kitambaa cha unahodha tu
Hiki kitambaa naona huwa wanagawa kulingana na ukubwa wa mchezaji katika timu,nikimaanisha ule muda ameitumikia timu. Kama sivyo basi mtu anayefaa kuwa nahodha pale MUFC ni Harry Maguire pekee, huyu ana uwezo hata wa kumnyang'anya mtu mpira na kumpa mwingine apige penalty (Kumbuka kisanga cha Drogba na Lampard wote kukomalia kupiga penalty,Terry alivyowatuliza)
 
Nadhani wana-fake hawa,si unajua kuna mechi dhidi ya Leicester?
Mkuu kule sio kama bongo

Watu kuchezea National Team ni fahari kubwa

Labda tuombe iwe amejiondoa mapema kama precaution na sio serious sana
 
Hapana msifanye hivyo mtatusababishia matatizo Sisi mashabiki wa timu yetu pendwa.
Juzi baada ya game na Soton kuna mzee niliona anahojiwa analia kabisa.

United ni lazima imalize ligi sehemu mbaya sana ili hawa matajiri waogope.

Fikiria,waliona kabisa Pogba moyo wake haupo tena United, wakapuuzia wamemshikilia tu kama wanamlazimisha hivi. Tazama vituko anavyofanya uwanjani, na hata kumuweka bench kocha haweze maana atampanga nani sasa badala yake?

Wachezaji wengi sana pale United hawapo pale kiakili.
Kama ningekuwa Ole ningeanza kumpumzisha De Gea nimpe nafasi Romero. Huyu nae ni kama hana tena moyo wa kuwa pale.
 
Ubongo wa benteke....
Ile quote naiomba ilitumwa humu alizungumza peter drury kama sijakosea
Kuna nyingine kama hii, dhidi ya Leicester alikuwa anakimbia pembeni kabisa,ana nafasi ya kumpa pasi Mkhitaryan alikuwa peke yake kabisa. Ujinga aliofanya sasa😂😂

Rashford hadi leo bado ana matatizo,hajui wapi anaweza kujaribu na wapi anaweza kutoa pasi mwenzake afunge. Hiki ni kisanga kingine.
 
Maguire akaja kuchomoa dakika za jioni mechi ikaisha sare
Kuna nyingine kama hii, dhidi ya Leicester alikuwa anakimbia pembeni kabisa,ana nafasi ya kumpa pasi Mkhitaryan alikuwa peke yake kabisa. Ujinga aliofanya sasa

Rashford hadi leo bado ana matatizo,hajui wapi anaweza kujaribu na wapi anaweza kutoa pasi mwenzake afunge. Hiki ni kisanga kingine.
 
Man united inateswa na mengi mojawapo nikukosa kiongozi uwanjani.

Anahitajika mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuwapa majukumu wenzake uwanjani na wakatekeleza siyo mtu captain anaonekana wakati wakulalamikia kadi tu.
sivyo kabisa nilivyokuwa nikimchukulia, akiondoka ashley young itapendeza zaidi kama atakuwa nahodha
 
Hapana bwana, Tammy hawezi kuwa bora zaidi ya Rashford au Martial

Hizo goli alizoshinda huko Championship alifunga viClub ambavyo havina beki wakati huku EPL timu bora ni zaidi ya 13 na zina beki kweli, South Hampton, Newcastle, Crystal Palace hazipo top ten ila zina beki

Kutambia Championship sio kutambia EPL bana
Angalia ball control yake, pace yake kama ufungaji wake haujathibitika beyond doubts
 
20190904_085200_rmscr.jpg

Odds za Ole zinazidi kushuka..sasa ana 9/1 yan 10odd akichuana na Javi G wa Watford mweny 2.8odd
Lampard ana hizo 20/1 yan 21odd.

Nataka nijilipue kwa Ole mana ni odd 10 za bure kabsa.
 
ni kweli una
Tunaweza kusema mpira unadunda ila kwa United kuna tatizo kubwa sana hasa kwa wachezaji.

Chelsea wana wachezaji ambao mawazo yao yote yapo Chelsea na wanapambana. Tazama viungo wao watatu. Kante-Jorginho- Kovacic. Hawa akili zao zipo Chelsea na wanapambana.
Hebu njoo United uone kisanga kilichopo upande wa viungo.
Pogba kivuli chake kipo United lakini mwili na akili vipo nje ya united.

Sijajua Chelsea ukiacha kuuza Hazard kama wana tatizo kuubwa sana. Ni Lampard atulie tu,Chelsea inaweza kumaliza juu ya United.
ni kweli kabisa maana Chelesa atakuwa wa 19 na United 20
 
ujio wa Lindélof ulituonesha udhaifu wa Smalling, ujio wa Magiure umetuonesha udhaifu wa Lindelof same to Bissaka kwa Shaw.....hivi hawa scouts wa United hamuoni Digne wa Everton??

tunaoteseka ni sisi mashabiki
Digne wakati anatoka Barca aliikataa Man Utd sio kwamba hawakumuona

Wachezaji wengi tu huzikataa Big Clubs , sio wote washamba wa majina ya Timu
 
Back
Top Bottom