Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Kwa kweli Luck Shaw final balls zake ni mtihanisipingani na wewe mkuu ila offensive Digne yupo miles za mbali kuliko Shaw
Kwa kweli Luck Shaw final balls zake ni mtihanisipingani na wewe mkuu ila offensive Digne yupo miles za mbali kuliko Shaw
Kwa namna ya United wanavyosajili sasa hiviSasa tumeuza CF bila mbadala sasa c bora hata tungemleta Mauro? Halafu inategemeana na management pia, so naamini huenda angebadilika. Kuna wakati mchezaji anaweza kubadilika tabia kutokana na management. Aweza badilika positively au negatively
Mashabiki wa man u hatupaswi kuwa kama binti aliyechelewa kuolewa anajikuta anatamani kila anayeitwa mwanaume awe mme wake.
Haiwezekani.kila mchezaji anayeonekana kuwa ni mzuri anaweza kusajiliwa na man United.
Mauro icard na Adrien Rabiot na pogba ni watoto wa baba mmoja kitabia.
Lini tena ? Kwan hakusaini?De Gea amegoma Ku saini mukataba ..tunafanyaje sasa mazee?
De Gea amegoma Ku saini mukataba ..tunafanyaje sasa mazee?
Balaa hii.Blame Solskjaer if Manchester United do not compete for the Premier League title this season - Matic
Mpka sasa De Gea ajasaini mukataba na management imeanza mchakato wa kumtafuta mthiri wake ikihofia endapo ataondoka mwishon mwa msimu huu..Ya lini hii
Aja saini mpka sasa mkuu na timu ishaanza kumtafuta m'badala wake ..Romeo pia anafaa ..Lini tena ? Kwan hakusaini?



What if Manchester without De Gea?De gea sio manchester united
Mpka sasa De Gea ajasaini mukataba na management imeanza mchakato wa kumtafuta mthiri wake ikihofia endapo ataondoka mwishon mwa msimu huu..
Ni kweli De gea sio kama tulivyomzoea..lakini sioni kipa mwingine wakuletwa na kufanya tumsahau de gea kwa haraka..hata huyo Pickford kuna magoli anafungwa ambayo ni ya kawaida sana..Mimi Manchester united kuna wakati nawaonea wivu Everton, Leicester na vilabu vingine kwa makipa fighters sana.
De Gea ana mchango mkubwa Man U ila naona kiwango kinapungua. Mipira ya chini haidaki vizuri. Lile goli la Messi asee! Goli la pili la Palace. Hapana bora tulete kipa mpya mdogo fighters kama Pickford, Yule wa Leicester.
Ukweli ni kuwa Pickford huwa ananikosha aje tumpe na upiga penati maana ile penati ENGLAND vs Nimesahau UEFA national league haidakiki.
Anyway ni maoni yangu, wakuu chambua tujue kipa gani anakuja kuwa Ukuta wa Zege.
Ni kweli De gea sio kama tulivyomzoea..lakini sioni kipa mwingine wakuletwa na kufanya tumsahau de gea kwa haraka..hata huyo Pickford kuna magoli anafungwa ambayo ni ya kawaida sana..
Mpaka sasa nashindwa kuelewa Wanaosema Pogba aondoke huwa aanatania au?
Bora hata tuuziane wachezaji ili mutuuzie Pogba!
Pogba ni mchezaji aisee
Pogba akiondoka unafanya replacement ya kufa mtu na sio kubaki hivyohivyo..unapata viungo wengine watakaokupa balance nyingine nzuri mpya..Mpaka sasa nashindwa kuelewa Wanaosema Pogba aondoke huwa aanatania au?
Bora hata tuuziane wachezaji ili mutuuzie Pogba!
Pogba ni mchezaji aisee
Mimi Manchester united kuna wakati nawaonea wivu Everton, Leicester na vilabu vingine kwa makipa fighters sana.
De Gea ana mchango mkubwa Man U ila naona kiwango kinapungua. Mipira ya chini haidaki vizuri. Lile goli la Messi asee! Goli la pili la Palace. Hapana bora tulete kipa mpya mdogo fighters kama Pickford, Yule wa Leicester.
Ukweli ni kuwa Pickford huwa ananikosha aje tumpe na upiga penati maana ile penati ENGLAND vs Nimesahau UEFA national league haidakiki.
Anyway ni maoni yangu, wakuu chambua tujue kipa gani anakuja kuwa Ukuta wa Zege.
Na hii ilikuwa point yangu pia..Toka msimu uliopita kiwango cha De Gea kimepungua ukichangia na ubovu wa timu yetu ndiyo balaam.
Jordan Pickford ni mzuri ila siyo level ya Degea.
Casper schmeichel ni mzuri ila siyo kiwango cha Degea.
Golikipa aliyepo sokoni uwezo wa kubattle na Degea ni Jan Oblack wa Atletico Madrid.