ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Daah misimu saba bila epl na bado tena tusubiri misimu mitatu ya rebuilding bila epl so misimu kumi bila epl.....
Kazi ipo..
Mi namlaumu fergie tu kwa kuacha timu iliyojaa deadwoods players haya mateso yasingetupata......
Mizee ya zamani ovyo sana kagoma kuacha legacy yake asije kuitembelea kocha mwingine ......ubinafsi tu
Kazi ipo..
Mi namlaumu fergie tu kwa kuacha timu iliyojaa deadwoods players haya mateso yasingetupata......
Mizee ya zamani ovyo sana kagoma kuacha legacy yake asije kuitembelea kocha mwingine ......ubinafsi tu
Opinion yangu naona Klopp hajawa successful within EPL sababu miaka minne hujachukua kombe lolote la ndani it's a kind of failure, yaani hata Carabao tu
Ila kwa upande wa kuijenga timu aisee kafanikiwa sana maana Liverpool yake tishio sana huku akiwa katumia Pesa kiasi tu sokoni, mafanikio yake mengine ni kuimaintain Liverpool ndani ya top four katika miaka yake yote hivyo UEFA football sio changamoto tena na kuipa Liverpool mafanikio ya kimapato(income kubwa) sababu mauzo ya Jezi yamekuwa makubwa sana chini yake na pesa za Runinga nyingi zaidi sababu ya performance UEFA na hata katika EPL
Kifupi Klopp alishajulikana kabla ya kuja Liverpool kuwa ni kocha world class
Kujenga timu sidhani kama OGS atapata muda huo , tukumbuke yaliyomtokea Luis Van Gaal. Miaka mitatu ya kuijenga timu ila akawa bado anastruggle kuijenga timu miaka mitatu imeisha bado anajenga timu


