Manchester United (Red Devils) | Special Thread

  • Group L: Man Utd, Astana, Partizan, AZ Alkmaar

Kwa uzembe wa timu yetu unaweza kukuta tunacharazwa hapo na hizo timu maana wakina gomes watapata namba hapo sasa huyo astana na az alkmaar wapo vizur si wabovu
 
Mi mwenyewe naona kwa smalling kidogo tumekurupuka hii safar ilikuwa ya jones kwanza
Inabid ufurahi deadwoods zinapoondoka ,maana wanaokuja ni upgrade ,

Asipondolewa sasa unaweza shangaa akawekewa mkataba wa miaka 4
 
Hakuna kitu Rudiger anachomzidi Lindelof,,ukaachana na urefu na aggresiveness isiyokuwa na maana
Rudiger nachomkubali ni umakini wakati wa kulinda lango na uwezo wake kwenye kumalizana na Forward anaekokota mpira kwenda kufunga
 
Wote waliongezwa mkataba, Jones na Smalling Mkuu

Ila Jones alipaswa kuwa wa kwanza kutolewa kabla ya Smalling (Itakuwa wateja wamekosekana)

Nadhani Rojo haondoki sababu ya cover ya left back na kati sio mnajua Shaw ana miguu ya glass
Rojo alitaka kuondoka na Everton walikuwa interested United wakablock deal,kama angepata timu nje ya England wangemuachia
 
Rojo alitaka kuondoka na Everton walikuwa interested United wakablock deal,kama angepata timu nje ya England wangemuachia
Everton walikuwa wanamtaka kwa mkopo, na United walikuwa wanataka kumtemana naye moja kwa moja

Japo uturuki huko wanamtaka, kwa sasa ni ngumu kumuondoa kutokana na hali ya kikosi
 
Kwa uzembe wa timu yetu unaweza kukuta tunacharazwa hapo na hizo timu maana wakina gomes watapata namba hapo sasa huyo astana na az alkmaar wapo vizur si wabovu
Mkuu Radika umekata tamaa kabisa na timu yako dah.
 
Hata Lingard unamtetea?

Tena kwa hoja dhaifu hivi?
 
Hana impact yeyote.

Angekuwa na impact angeleta matokeo uwanjani.

Huko kukimbia hata mi naweza.
 
Kwa uzembe wa timu yetu unaweza kukuta tunacharazwa hapo na hizo timu maana wakina gomes watapata namba hapo sasa huyo astana na az alkmaar wapo vizur si wabovu
Timu yetu haina uhakika wa ushindi inapocheza na timu yoyote ile,hamna cha timu ndogo wala kubwa.

Tukikutana na timu inayozuia sana basi ni sare tunaambulia, hakuna mbinu ya kupata ushindi kwa kupenya ukuta.

Tukitangulia kufungwa basi hapo ni sare au kufungwa.
 
Hata Lingard unamtetea?

Tena kwa hoja dhaifu hivi?
Kucheza chini ya makocha wa 4 na wote wakakuchagua uwe kikosi Cha kwanza Ni hoja dhaifu?

maybe mtuambie nyie kwanini Hawa makocha wanapiga benchi wachezaji wengi tu kwa ajili yake? Tena world cup ndio kabisaa piga ua anacheza
 
Ukirudi misimu 10 nyuma tulikuwa na number 10 bora kuliko Lingard. Na mchango wao uwanjani unaonekana.

Sio huyo Lingard wa kumuangalia kwa jicho la 3.

Hovyo kabisa.
 
Ndio ndio.

Mimi Mwanzoni nilikuwa simpi umhimu sana Pamoja na Milonjo miguu ya kwale Fletcher.


Fletcher nilikuwa simkubali yeye mpaka anaoondoka sijawahi kupenda uchezaji wake.
 
Virgil Van Dijk was the most expensive defender last year and won the UEFA mens player of the year award!

Over to you Harry Maguire.
Mr. P & Mr.J----Awards.

Mr. P "Hawa Mabwana wamechukua Zawadi sana,Wametawala sana,kila siku wao tu,Tumewachoka sasa.Tunataka sura Mpya"

Mr.J "Lakini kwa sasa sioni Mtu wakuwavuta shati,Naona Mtu Mita kumi kurudi nyuma,kama wanauwezo wapewe hata Miaka 20"

Mr.P " Hawana jipya saizi,yote Marudio,Wakae pembeni,Hapa tunataka sura mpya..Over."

Mr.J "Basi na iwe hivyo..Over"




"I love Football"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…