Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,020
- 51,542
Pogba pale kati kawekewa Scott McTominay dogo ambae kwa kweli sio wa kumtegemea kukaba kwa mafanikio makubwa na hata kucheza nane bado pasi zake sio zile za mantiki yaani kifupi bado sana ana safari ndefu
Lingard afadhali dunia leo imemuona maana tuliokuwa tunamshambulia tulionekana tunabwabwaja
Dah na mimi ninechoka Mkuu, yaani boko ametoa Pogba lawama wanapewa wenzake eti sio world class players. Na Pogba sio mara ya kwanza kupoteza mpira either ukai cost timu au ukakaribia kui cost timu.
Na kutokana na hilo mimi naona it's not a good idea kumchezesha Pogba nyuma yeye na Scot, achezeshwe kule mbele kama ilivyokuwa msimu uliopita OGS alipopewa timu. Kuchezeshwa nyuma, inasababisha anapopoteza mpira kuwa na risk zaidi ya kufungwa goli kuliko akichezeshwa mbele
Lingard pia anapaswa kubadilika especially kwenye kuimprove his attacking ability (creating chances and scoring goals). Kutokana na uwezo wa Gomes au Mata katika kutengeneza nafasi kuliko Lingard, na kutokana na Cristal Palace kutokuwa timu kubwa yenye kuleta hatari sana, sikuona sababu ya kumuanzisha Lingard na ukawaacha wachezaji creative zaidi yake.
Lukaku was still clinical compared to Tony na Rashy. Ninakubali huko duniani wapo kweli wachezaji clinical kuliko Rom lakini si wengi kama watu wanavyosema. Hata yule Inaki wa Bilbao sio clinical kiivyo, na asingeweza kufanya jambo tofauti sana na akina Tony. Kwa sasa duniani sidhani kama kuna ma strikers zaidi ya 15 wanaomzidi Lukaku uwezo wa ku score.
Hili nalo wazo mkuuFact
Unaumwa wewe.Pogba amemzidi mbali Gerlad
ujio wa maguire, james na bissaka kwa kuziangalia hizi mechi tatu tulizocheza wameonyesha kiwango chenye kuleta matumaini makubwa sana pia wamechangia kwa kiasi kikubwa sana kuziba baadhi ya nyufa zetu zilizokuwa zinatishia kuiangusha nyumba yetu ya matofali.
eneo linalotufanya tuonekane kwa mara nyengine tena ni underdog mbele ya wapinzani wetu ni middle third, hii ndio sehemu nyengine tuliopaswa kuifanyia uwekezaji mkubwa sana kama zinavyofanya timu nyenginezo lakini kwa bahati mbaya au kwa makusudi tumeshindwa kufanya hivyo kana kwamba klabu ya manchester united wana umasikini wa fedha.
ukiziangalia hizi mechi zetu mbili za mwisho tunamiliki mpira kuliko hata wapinzani wetu lakini tunashindwa kupata matokeo ya ushindi kwa sababu ya kukosa ubunifu kwa wachezaji wetu tunapofika eneo la adui.
wolves na crystal palace kwa viwango walivyovionyesha kwenye mechi zetu laiti kama nafasi hii wangeliipata liverpool au man city basi wangelipata alama zote sita.
ndio maana nilisema humu ndani tokea mechi za pre season ya kwamba timu yetu bado ipo ovyo, haiwezekani tunamiliki mpira kwa asilimia 60 baadae tunapiga shots on target mbili kwa dakika takribani 70 then tujisifu tumeimarika kiuchezaji, kwangu mimi kumiliki mpira pamoja na kuwa na defence ngumu ya ulinzi bila ya kuwa na safu hatari ya viungo washambuliaji ni kazi bure kwa sababu mwisho wa siku utawafanya mabeki wachoke kwa kukimbia ovyo muda wote na hatimaye kuwafanya waonekane ni vilaza.
tusipobadilika kiuchezaji tutaendelea kupoteza pointi pindi tutakapokutana na timu zinazokaba chini kama walivyotuonyesha wolves na crystal palace na bahati mbaya sana timu nyingi za kiingereza ndio mfumo wao na hazichezi mpira wa pressing kama ule waliocheza chelsea dhidi yetu (wazee wa kuachia nafasi).
hivi tokea tufanye usajili wa henrikh mkhitaryan kuna kiungo mshambuliaji mwengine tuliemsajili?
dirisha lijalo tunapswa tuwekeze eneo la viungo washambuliaji kama tunataka turudishe zama zetu za kufunga wastani wa magoli matatu kwa mechi.
Nadhani umenifananisha au umechanganya mafaili. Ebu quote post yangu yoyote iliyo offensive kiasi cha kunitaja kiasi hiko?Baadhi kama wewe ni wastaarabu ila kuna shida na waliovamia juzi.
MKUYENGE
Steve Mollell
Mkuu Acha iongeleweHii ndiyo imekuwa habari kubwa mitandaoni kwasasa kuzungumzia VVD kupigwa chenga baada ya Mechi 50 za EPL.
Hata hivyo Video yako FA wameshaiblock JF haina Copyright ya kuplay hii video
Uko level moja na Liverpool? Kuna muda unaongea kufurahisha tu akili enh?Timu kubwa tishio kwa United na mapungufu yake ni City. The rest tupo level moja tuu, is a matter of chance
kwaiyo unatakaje wewe kama wewe?Naongelea majibu yako kiujumla kwenye huu uzi hayana staha.
Joao Felix sio strikerJoao felix
Unai katukosea sana , Jana angeanzisha machine , tungejipima vzr , ila basi kocha hatuna bora hata Ole au lampard , tuna kocha asiye na kikosi cha kwanza ,kama pepe Jana peke yake kamsumbua vvd ,alishindwa nn kutuwekea Na laca ,Hii ndiyo imekuwa habari kubwa mitandaoni kwasasa kuzungumzia VVD kupigwa chenga baada ya Mechi 50 za EPL.
Hata hivyo Video yako FA wameshaiblock JF haina Copyright ya kuplay hii video
Chelsea mmeshapata nguvu ya kuzurura kwenye majukwaa ya watu baada ya ushind wa 3-2 dhid ya Norwich ,kweli maisha yanaenda kasi sanaSijui ina ukweli ama!!!
Man United last 15 games under Solskjaer:
Crystal Palace - L
Wolves - D
Chelsea - W
Cardiff - L
Huddersfield - D
Chelsea - D
Man City - L
Everton - L
Barca - L
West Ham - W
Barca - L
Wolves - L
Watford - W
Wolves - L
Arsenal - L
3 W, 3 D, 9L
nmeikuta mahali
Sijui ina ukweli ama!!!
Man United last 15 games under Solskjaer:
Crystal Palace - L
Wolves - D
Chelsea - W
Cardiff - L
Huddersfield - D
Chelsea - D
Man City - L
Everton - L
Barca - L
West Ham - W
Barca - L
Wolves - L
Watford - W
Wolves - L
Arsenal - L
3 W, 3 D, 9L
nmeikuta mahali
Kocha alimkataaa lukaku... lukaku mpuuz tu YuleNajiuliza had muda huu huyu kocha alianzaje kumuacha lukaku toka siku ya kwanza anauzwa niliumia sana najua umuhimu nikiangalia mipira ya juu anavyocheza halafu uje na genge letu tofaut mipira ya juu imechezwa na pogba + maguire zile foward wala hazijagusa
Shocking news.Sijui ina ukweli ama!!!
Man United last 15 games under Solskjaer:
Crystal Palace - L
Wolves - D
Chelsea - W
Cardiff - L
Huddersfield - D
Chelsea - D
Man City - L
Everton - L
Barca - L
West Ham - W
Barca - L
Wolves - L
Watford - W
Wolves - L
Arsenal - L
3 W, 3 D, 9L
nmeikuta mahali