Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,236
- 5,332
Fimbo za ole zinaendelea leo
GGMU
GGMU
Acheze no ya nani hapo??
Hakuna cha mganga. Usajili. Unafikiri wangesajil mchezaj ile nafasi lingard angekuwepoMganga wa jessey lingard yupo vizuri sana
mkuu kwani kigwangwala amewaweka mnadani hao mbwa mwitu?
Dhidi ya WolvesView attachment 1185593
Kama kawa 4-2-3-1
Hivi Fred ana tatizo lolote? | |
Smalling na wala jamaa zake sub ishakuwa kazi kuonekana ha aahaa
Hivi Fred ana tatizo lolote?
nimeanza kuamini wallahi.Mganga wa jessey lingard yupo vizuri sana
Probably kwa kuwa pre season haku participate fully, kutokana na ndoa yake
Hivi Fred ana tatizo lolote?
Unaitwaje mkuu?Kwa link ya mech kaangalieni kwenye uzi wa link
Kazi anayofanya inafanana sana na kazi ya Ji Sung Park wa enzi hizoNadhani hawa ni aina ya wachezaji ambao kwa jicho la kishabiki tunaweza tusione umuhimu wake,
Lakini kwa jicho la kiufundi kuna kazi anayopatiwa uwanjani na anaitimiza vyema