D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
ili pengo la lukaku lisionekane hao watakaoziba nafasi yake wanapaswa wafunge magoli yao pamoja na magoli ya lukaku.Wakuu Licha ya wengi kulaumu kuhusu kuuzwa lukaku Mimi nilivyomuelewa solskjaer ni kuwa lukaku hakuwadanganya anafutilia kwenye pressing style yetu, kocha anahaki ya kumkubali na kumkataa mchezaji kwasababu anazoona yeye zinafaa.....mwisho tusubiri ligi ianze ndo tulaumu maamuzi ya solskjaer ila Mimi naamini pengo la lukaku halitaonekana labda pengo katika midfield
ishu iko hivi:
kama rashford, martial, greenwood wana uwezo wa kufunga magoli 15 kwa msimu kwa kila mmoja pia wanatakiwa wamfungie lukaku magoli yake 25 ya msimu.
je uwezo huo wanao kwa kuangalia hizo mechi za preseason pamoja na viwango vyao vya msimu uliopita?
kama uwezo huo wanao basi tutakuwa na safu kali ya ushambuliaji kuliko utatu mtakatifu wa liverpool ambao kabla ya lukaku kuondoka hatukuweza kuwafikia kwa magoli.
siwezi kuishi na mgonjwa kwa kuhofia nitasababisha apoteze uhai wake mapema kwa kukata kwangu tamaa
