joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,843
- 39,470
Ed Woodward kawageuza mashabiki wa Man kama vifaranga vya kuku ,kesho kesho zimekuwa nyingi na bado masaa machache dirisha lifungwe,poleni majirani.
Official we will not sign anyone now maybe january
Mandzukic yupo Menopause ya mpira. Ila tuliambiwa anatafuta vijana asuke kikosi.tetesi:
Man Utd wapo kwenye mazungumzo ya kumnasa Mario Mandzukic kutoka Juventus kuziba pengo la Romelu Lukaku aliyetimkia Inter Milan.
baadhi ya wadau walitwambia ya kwamba bwana ole gunnar havutiwi na style ya uchezaji ya lukaku, swali la kujiuliza mario mandzukic ana utofauti gani na lukaku?
Zlatan ni bora mara mia kuliko Mandzukic.Mkuu mandzukic akija Ni aina ya mchezaji ambae hatachukia kukaa benchi, amebeba makombe yote club level, kacheza ligi mbalimbali, na ana fainali ya world cup, experience yake itawasaidia chipukizi kujifunza zaidi. Akija atakuwa tu impact sub na kucheza makombe ya mbuzi.
Labda Fred atafufuka..Hapa nakubali mkuu, tunamiss midfield ya kufanya tumchezeshe pogba Kama 10, Kuna sehemu niliona stats za pogba ana contribution 1.4 ya Goli Kama no 10, Ina maana either anafunga ama anatoa pasi ya goli Kila mechi.
Labda Fred atafufuka mkuu, acheze na McTominay chini na pogba apande.
Hahahahahahahahah...........Hapana ,mbona Liverpool hawaja spend kabisa hii Transfer inamaana nao wanazidiwa Ambition na A Vila.Mwaka Jana Fulham wali tu outspend na mwaka Huu Aston Villa, rekodi yetu inaendelea, Timu zinazopanda daraja Zina ambition kuliko sisi.
Nyie Timu yenu Haina pressure kivile, mmezoea kutochukua makombe,Hahahahahahahahah...........Hapana ,mbona Liverpool hawaja spend kabisa hii Transfer inamaana nao wanazidiwa Ambition na A Vila.
Haikutumika kwa Wan Bissaka japo Palace walitaka kukiondoa hicho kipingeleInasemekana hiyo 25% Edwood aliitumia Katika harakati za kumchukua Wan Bisaka pale Crystal Palace.. Kwahiyo tunaweza kupata chochote kitu ila sio completely 25% yote!!
Kuna wachezaji wanadeserve second chance mkuu, lindelof msimu wa Kwanza alizingua pia ila Sasa Hivi amekaa vizuri, Fred msimu huu ana nafasi ya mwisho kuprove, maana msimu wa kwanza tunasema anazoea ligi.Labda Fred atafufuka..
Bro, dunia ya leo unaishi kwa labda?
It's either aoneshe kiwango au aoneshwe mlango wa kutokea.
Ndio maana tunajaza deadwoods kwenye timu.
Nawapa Arsenal heko kwa usajili wa Pepe na Tierney lakini sio David LuisSo far Arsenal wamesajili vizuri sana msimu huu.
Kwa jicho Kali kabisa na hiyo Sio dalili njema kwa timu inayojipambanua kutafuta makombe.Mwaka Jana Fulham wali tu outspend na mwaka Huu Aston Villa, rekodi yetu inaendelea, Timu zinazopanda daraja Zina ambition kuliko sisi.



Yes Ni kawaida mkuu kwa timu kununua impact sub/ mchezaji wa bench, mifano halisi kwenye timu yetu Ni kocha wetu wa Sasa ambae hajawahi kuwa na namba ya kudumu kikosi chetu, Pia Tedy sherigham alikuwa Hivi Hivi wote walikuwa wanasubiria kwa Andy Cole na Yorke, Alikuwepo Chicharito, Henrik Larson, Saha (sio wakati wote) etcZlatan ni bora mara mia kuliko Mandzukic.
Unanunua mchezaji atakaekaa benchi??