Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_0104.JPG


Aisee
 
Waarabu wapo waje kuinunua hii timu....kama utajiri washaupata vya kutosha wale wamarekani wasepe
Mimi nilisema toka wiki mbili zilizopita kuwa man u haitasajili mtu mwingine zaidi ya Maguire.

Katika kipindi cha Woodward ni msimu mmoja tu man u iliweza kusajili wachezaji zaidi ya watatu msimu mmoja
Dirisha la July 2014, tulimsajili. Daley Blind, Morgan Shenerndalin, Dimaria, Memphis Depay, Marcos Rojo,,Ander Herera Victor Valdez.
 
Mi namshangaa sana anaona soka la leo ni kama lile la miaka ya fergie....kwa sababu tu kule molde alisajili vitoto vikampa ubingwa
Ole mwenyewe bado yuko kwenye pilot phase hajui anachokipigania nini pale Man u.

Katika media anaongea as if timu inaperform magically lakini kwenye vision yake anaichukulia Manchester ina ndoto sawa na Burnley.
 
Back
Top Bottom