Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu samahani nieleweshe hapo nilipobold.

Maguire £85m
AWB £?
DJ £?

Sasa kivipi hazijafikia £100m kutumika?

Kuuliza si ujinga
Chukua total ya kuwanunua wote hao Kisha toa iliyoingia kutokana na Mauzo ya Lukaku Kisha utapata net balance.

So utaona kwamba hata ile 100 tu Kama gossip zinavyodai kuwa ndio ilikuwa budget ya usajili toka Glazer's family bado haijafikiwa as total spending ya MAN U Kwa usajili msimu huu, Ni approximately 30 ndio imetumika so far.
 
Kuna midfielders wengi sana Man united ambao hata last season hawakutumika hivyo nadhani Ole anataka kutumia squad aliyonayo badala ya kulundika watu bila kuwatumia.
Hata sisi fans tunapotezwa vibaya. Nadhani hawa jamaa wameamuakujilipua kwa kuamini watoto wa miaka 17 na midfield ya tallents za Tominay na Pereira km compli. kwa Pogba, Matic na Fred
 
Ukuta wa chuma Man United

https://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/5226350/highRes/2414552/-/maxw/600/-/o0ee9cz/-/pic+chuma.jpg
 
Net spending, ulichonunua toa ulichouza

Mimi si mtaalamu wa Biashara coz sijasomea shule za Biashra.

Lakana Tukizungumzia Bajeti tunazungumzia kilichotengwa ambacho ndiyo kinachotumika kazi tayari kipo katika Mpango kazi.

Kwahiyo kinachoingia kwa kuuza wachezaji kinaingia moja kwa moja katika Account kwa ajili ya New Financial year!

Haimaanishi kiwa akiuzwa Pogba leo hela itaingizwa moja kwa moja kwa kuchanganywa na ile iliyobajetiwa £100m katika mfuko wa manunuzi bila ya kupita kwenye bodi ya Wakurugenzi kuidhinisha Matumizi.

Kwahiyo kilichobajetiwa ndiyo kinachotumika hata kama mutaingiza £200m.

Hakuna Kampuni/Taasisi/System yoyote inayotumia zaidi ya kilichobajetiwa kwenye Mfumo, lakini inaweza kutumia bila ya kufikia kilichobajetiwa.

Na habari za kuwa bajeti ni £100m hiyo sio kweli bali ni Rumours za twitter tu kwani Timu yoyote haitangazi Bajeti yake halisi kama vile Arsenal walipovumisha bajeti ya £45m.
Ukitangaza kuwa unabajeti ya £300m mawakala wanachangamkia Fursa kwani hata yule AWB wangetaka kumuuza kwa £80m, Maguire wangetaka £120m si time zitakuwa zinajua kuwa bajeti yenu ni kubwa!!
Lakini kitendo cha kuvumisha bajeti ya £100m timu zinajuwa wazi kiwa Hatakama nyinyi ni matajiri wakubwa lakini Hamuwezi kutumia nje ya Bajeti so, Wataishia kudai hela Ndefu huku wakitegeshea kwani wanajua kuwa Bajeti yenu sio £100m lakini hawajui ni ngapi.

Kwahiyo kulingana na Matumizi Bajeti yetu ni zaidi ya £150m au zaidi ya £200m.

Net spending haikalkuletiwi na mashabiki bali ni Mhasibu wa timu ndiye anayecalculate na kuiwasilisha kwa Bodi ya Wakurugenzi kila ifikapo new financial year ambapo ndiyo hutangazwa.

Kwahiyo mumeshazidi £100m katika hiyo bajeti yenu.
 
KUNA KITU WENGI WATU BADO HAWAJUI,HIZ TABU MAN UTD ANAPATA SAIZ KATIKA USIJAL ATA MSIMLAUMU ED WOOD ILA IKO HV WAMILIKI WA TEAM GLAZER FAMILY NDO WANASTAHILI HIZ LAWAMA WAKAT MA BOSS WA MAN CITY WANAWEKEZA 1B USD KUIJENGA TEAM WAO WAMETOA 1B USD KATKA MFUKO WA MAN UTD KWENDA KWENYE MATUMIZ YAO BINAFS NDIO MAANA USAJIL UMEKUA VERY LIMITED SANA
 
Tatizo la United hakuna Director of Football.

Ndio maana kila mchezaji anayehusishwa na United tunaenda nae, akitajwa Joao tumo, akitajwa Yeder sisi tumo, Bruno tumo, Dyabala sisi tunaimba mziki uleule.

Tutafukuza makocha kila siku kama Chelsea, akija kocha mwingine atawauza wachezaji wote wa Ole atataka wa aina yake.

Tatizo sio pogba, tatizo sio Lukaku, tatizo sio Rashford. Tatizo ni Management inayotakiwa kuitengeneza Man Utd nje na ndani ya uwanja.

Timu haina philosophy, haina direction yani ipo ipo tu, ina survive kwa jina lililotengenezwa na SAF. SAF alivyoondoka alirecommend Pep ndo aje kuwa mrithi wake, ona sasa Ed alichotuletea mpaka sasa.

Unaanza msimu huna key players kwenye key positions. Huna replacements. Man City wameshamleta mrithi wa Vicent Kompany sisi hatuna mrithi wa Herera, wachezaji wagonjwa msimu wa nne wapo kwenye timu, wachezaji vimeo wapo kwenye timu toka SAF alivyowaacha.

Sioni Ole akimaliza msimu ujao akiwa kocha wa United na hata akimaliza basi timu itakuwa chini ya nafasi ya 6.

United haipo serious.
 
Back
Top Bottom