Aman iwe nanyi
Endapo kesho kutwa man united akikubali kupokea kichapo cha haja mbele ya wababe wa Stanford basi ajiandae kushuka daraja
Hakuna asiyejua kuwa Chelsea ndo team yenye hali mbaya zaid ulimwengun kwa sasa, ndo team ambayo imeuza mchezaji tegemeo na imezuiwa kusajili
Ndo team ambayo imeamua tu liwalo liwe baada ya kocha wake kutimukia juventus na kumuita kocha ambaye hana uzoef kabisa Frank lampard
Ndo team ambayo imeita madogo ambao walikuwa wanakipiga huko ndondo kama akina mason mont na akina tamy Abraham na akina batshway ambao hata hawajulikan walikuwa wanacheza wapi
Ndo team ambayo wachezaji wake wote ni majeruh kama akina rudiger, wiliam,odoi,ngolo kante na cheek
Endapo man united aki suluhu au kufungwa bas ajiandae kushuka daraja
LONDON BOY