ChickMagnet
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,702
- 3,553
Transfer deadline day huwa na drama nyingi . Nakumbuka Rooney tulimsajili dakika zamwisho kabisa
Mkuu Ollachuga Anapaswa kieleweshwa kuna mambo mengi sana kwenye soka (hata yanayohusu Chelsea) huwa anaenda chakaEngland hajabeba 1996 Ni 1966 na wachezaji wa Man U waliokuwepo Ni Kama
1. Mzee mwenyewe Sir Bobby Charlton
2. John Connelly
3. Nobby Stiles
Source
en.m.wikipedia.org/wiki/1966_FIFA_World_Cup_squads
Na hi ndio All star team ya hio World cup
View attachment 1173751
Charlton unamuona Hapo?
Mwaka 1966 Charlton ndio alikuwa mchezaji Bora akachukua Hadi Uefa player of the year akimpita Eusebio.
Na amepewa Hilo jina Sir na malkia wa Uingereza sababu ya Hio world cup.
Mkuu upo sawa kabisa hapo juuOle ana mifumo miwili Mara nyingi.
4-2-3-1 na 4-3-3
Kama dyabala angekuja Ina maana Moja kwa Moja tungecheza 4-2-3-1 sababu mfumo huu unatumia no 10.
Na Kama mtu Kama Bruno ama midfiled nyengine inayopanda na kushuka anakuja pamoja na pogba ili uwachezeshe wore inabidi ucheze na midfield watatu yaani 4-3-3.
Yeye Ni kocha anajua zaidi japo sisi Mashabiki tuna mapenzi yetu pia ila tumpe nafasi, Mimi naamini OLE amepata support kubwa Kushinda LVG, Mou na Moyes, tumpe nafasi tuone atakavyofanya.
Duh Bob Charlton kacheza 1996Mkuu kweli unaipenda Man United lakini kuwa Mkweli Mchezaji wa Man United aliyekuwa anacheza panga pangua katika World Cu ya 1996 ni Mmoja tu Sir Bobby Charlton.
Kwa ujumla Katika Top 6 hii ya sasa waliokuwa First XI ni:-
1) Bobby Charlton (Man United)
2) Roger Hunt (Liverpool)
3) Jimy Greaves (Spurs)
4) George Eastham (Arsenal)
Chelsea na Man City hazikuwa na mchezaji aliyekuwa akicheza hata sabs.
Na hizo 4 nilizozitaja zilikuwa na mchezaji mmoja tu kila timu ambaye alikuwa akipata namba, Waliobakia wote wanatoka Midtable teams ambazo kwa wakati huo zilikuwa Timu kubwa.


Bolingoli huyo inter milan..
Don't we need a replacement??
Italia huko atakimbiza sanaBolingoli kawasili Inter, kapokelewa na fans zaidi ya 200! It is great welcome, great pleasure!
Sure hata ile tu fans kukupokea inaonyesha imani waliyonayo kwako, achilia mbali conte kumuhitaji mda mrefu ikionyesha jamaa ana potential na conte kaiona na anajua namna ya kui-release hiyo potential kutoka kwa bolingoli.Italia huko atakimbiza sana
Trust meHuu mtindo wa kuweka release clauses unaumiza wachezaji wengi sana.
Watu wanaojua kufanya replacement.The swap deal of the summer is complete!
Man City have signed Joao Cancelo on a six-year deal with Danilo going to Juventus![]()
Taarifa nyingi za magazeti zinazoihusisha man united kwenye usajili ni fake news
Sisi kwa tetesi ni hatari, city ukisikia wanamtaka mchezaji ujue wanamchukua.
Oi mmesikia tunamtaka Williams ..striker wa Athletic Bilbao..!?..ni replacement ya lukaku.. Dogo ni mzuri kwa kiasi chake..ana release clause ya £81Mill
Huyo dogo wa bilbao rashford akasome..Nimemtazama huyu dogo mkuu, United ingekuwa makini ingeongeza hiyo pesa ya Lukaku imchukue. Sioni tukifanya lolote kwa kumtegemea Rashford.
Hahaha..Naona macho ya OLE yako kwa Mandzukic-33 yrs kama replacement ya Lukaku..!
According to Cooper ole alidemand Beki wa kulia, wa kati, creative midfield na winga wa kulia. Kama kawaida Woodward kazingua Tena, maana hata hizo 100 zilizokuwa Tetesi hazijatumika.Mkuu upo sawa kabisa hapo juu
Ila hiyo Para ya mwisho, nina wasiwasi. So far Ole ni kama amepewa £140m kwa wachezaji 3
Lakini bado tuna mahitaji makubwa kwenye nafasi kadhaa, hasa kwenye creative midfielder position na right wing lakini dalili inaonesha hatutasajili mtu hapo.
Halafu £140m ni danganya toto, maana Rom anaondoka kwenda Inter kwa £70+ hivyo, net spending yetu itarudi £70 unless tusajili leo
Kwangu mimi amount iliyotengwa kununua Wachezaji sio hoja sana, hoja ni kupata watu tunaowahitaji katika nafasi husika
Kwa upande wa beki ya imani kuongezeka kwa Maquire na Wan Bissaka kutatusaidia sana. Ila going forward bado hatupo vizuri kiivyo, Dan James ataongeza kitu lakini tukumbuke ana miaka 21 tu, ametokea championship hivyo bado atakuwa na kaushamba flani
Naona macho ya OLE yako kwa Mandzukic-33 yrs kama replacement ya Lukaku..!
Huyo dogo wa bilbao rashford akasome..