Ishu ya lukaku inabdi iwe solved kesho completely kama united inataka kufaidika kibiashara na kama wamenuia kweli kumtoa lukaku kweny mipango ya timu!
Nahic kama lukaku mustakabal wake hautapatikana kesho wakat dirisha la usajili kwa engalnd linafungwa compared na wa ligi zingine, kwa namna moja au nyingine basi "Market value" ya lukaku inaweza kuathirika kama united hawana mpango naye really!
Hii ishu wa-sort out mapema lukaku aondoke kama wamenuia! La sivyo, atauzwa £60m-£50m tena kwa kuomba wakat haikua plan zao kwa bei hiyo!
Haohao inter lukaku atanganganiza aende kwao akijua value ime-flop na hataki kubaki pale Theatre!