Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilijua "Majinun" kama wewe huwezi kuacha kuja kumponda Lukaku bila facts
Anhaa...umajinuni pia kujifanya hujui kuwa Lukaku ni trash. Angekuwa fundi ungesikia wanamtaka wanaojua mpira. Si wanasema ukipenda chngo huona kengeza.
 
Wachezaji wa kiingereza wanapewa airtime sana lakini ni wakawaida sana, mbaya zaidi Man united ndo ina idadi kubwa ya wachezaji hao. Hata Magwaya anaeza kuja zingua apo mbeleni ila kwa sababu ni English man akapewa shavu na media. Bissaka kwa mbali anaeza leta matumain kweli back line yenu..
Usisahau pia majority ya "world class" players na wachezaji wazuri wa kingereza pia Wanatoka Man U, kuanzia kizazi Cha Kina Charlton na George best, Cha kina Giggs, Beck na Scholes, Cha kina Rooney, Carrick na Rio, mpaka Sasa Cha kina Rashford, AWB na Maguire.

Hata Mafanikio Yao ya Uingereza yanatokana Man U, World cup pia ilitokana na sisi ile trio yetu (wawili England)
 
Dybala haitowezekana. Ameshakaata katu. Man wenyewe wamemaliza interest na dybala. Labda ericksen
Dybala anataka Kuja Man U shida ameuza imaging rights, na deal linasema akiondoka Juventus inabidi awalipe hao walionunua imaging rights. Ndio maana unaona anataka mshahara mkubwa Bila Kodi, agent naye anataka hela nyingi ambazo raiola mwenyewe angejishtukia kuomba.

Na Woodward anavyopenda hela hawezi kubali 3rd party wachukue hela za Dybala na timu isifaidike nae.

Kama ameweza kuvumilia Turin (sio mji mkubwa Italia na Kuna baridi) anaweza pia kuvumilia Manchester naamini Hilo.
 
Habari za mchana wakuu..

1.Dybala anataka kurudi mezani na man Utd ili kuhamia Old trafford..why!? Kwa sababu "mr.masigara-Sarri" amemwambia hayupo kwny mipango yake..

2.Bruno fernandez atakuwa mchezaji wetu kabla dirisha halijafungwa..

3.Eriksen ananyemelewa na utd lkn sioni hiyo deal ikifanikiwa..
 
Tukielekea siku za mwisho mwisho wa dirisha la usajili kwa wachezaji kusajiliwa na vilabu vya England... Naona kuna mind Games (kamchezo) kati ya Manchester united na Tottenham.

Awali vyombo vingi vya kuaminika viliripoti kuhusiana na Manchester kutaka kumsajili BRUNO FERNANDES ila siku kadhaa nyuma ikatoka ripoti kwa mwandishi wa BBC sports kuwa hizo habari za Manchester kuwa na interest na BRUNO FERNANDES ni uzushi since day one. Hasa ikizingatiwa BRUNO anasajiliwa kama kuleta uhai katika kiungo ikiwa Pogba kama atashindwa kutulia na Manchester.

Hatujakaa vizuri siku kadhaa nyuma vyombo vya habari vya kuaminika (Sky sports) wakaripoti kuwa Tottenham wameingia katika mbio za kutaka kumsajili BRUNO FERNANDES na wametuma tayari dau lao. Kumbuka Manchester united hawakuwahi kutuma official bid ya usajili wa BRUNO FERNANDES.

Jana zikaibuka tetesi kuwa ikiwa Tottenham watafanikiwa kumsajili BRUNO FERNANDES basi Eriksen kiungo wao watamuweka sokoni ikizingatiwa yupo mwishoni mwa mkataba wake.

Wakati hayo yakiendelea habari zingine zikaibuka kuwa Manchester wapo tayari kumsajili Eriksen ikiwa Tottenham watakuwa tayari kumuachia.
 
Tukielekea siku za mwisho mwisho wa dirisha la usajili kwa wachezaji kusajiliwa na vilabu vya England... Naona kuna mind Games (kamchezo) kati ya Manchester united na Tottenham.

Awali vyombo vingi vya kuaminika viliripoti kuhusiana na Manchester kutaka kumsajili BRUNO FERNANDES ila siku kadhaa nyuma ikatoka ripoti kwa mwandishi wa BBC sports kuwa hizo habari za Manchester kuwa na interest na BRUNO FERNANDES ni uzushi since day one. Hasa ikizingatiwa BRUNO anasajiliwa kama kuleta uhai katika kiungo ikiwa Pogba kama atashindwa kutulia na Manchester.

Hatujakaa vizuri siku kadhaa nyuma vyombo vya habari vya kuaminika (Sky sports) wakaripoti kuwa Tottenham wameingia katika mbio za kutaka kumsajili BRUNO FERNANDES na wametuma tayari dau lao. Kumbuka Manchester united hawakuwahi kutuma official bid ya usajili wa BRUNO FERNANDES.

Jana zikaibuka tetesi kuwa ikiwa Tottenham watafanikiwa kumsajili BRUNO FERNANDES basi Eriksen kiungo wao watamuweka sokoni ikizingatiwa yupo mwishoni mwa mkataba wake.

Wakati hayo yakiendelea habari zingine zikaibuka kuwa Manchester wapo tayari kumsajili Eriksen ikiwa Tottenham watakuwa tayari kumuachia.
Na wakati huo huo...
"Dybala anataka kurudi mezani na man Utd ili kuhamia Old trafford..why!? Kwa sababu "mr.masigara-Sarri" amemwambia hayupo kwny mipango yake.."
 
Dybala anataka Kuja Man U shida ameuza imaging rights, na deal linasema akiondoka Juventus inabidi awalipe hao walionunua imaging rights. Ndio maana unaona anataka mshahara mkubwa Bila Kodi, agent naye anataka hela nyingi ambazo raiola mwenyewe angejishtukia kuomba.

Na Woodward anavyopenda hela hawezi kubali 3rd party wachukue hela za Dybala na timu isifaidike nae.

Kama ameweza kuvumilia Turin (sio mji mkubwa Italia na Kuna baridi) anaweza pia kuvumilia Manchester naamini Hilo.
Kuja aji mkuu. United wametoa official announcement kuwa wame end interest na dybala
 
Tukielekea siku za mwisho mwisho wa dirisha la usajili kwa wachezaji kusajiliwa na vilabu vya England... Naona kuna mind Games (kamchezo) kati ya Manchester united na Tottenham.

Awali vyombo vingi vya kuaminika viliripoti kuhusiana na Manchester kutaka kumsajili BRUNO FERNANDES ila siku kadhaa nyuma ikatoka ripoti kwa mwandishi wa BBC sports kuwa hizo habari za Manchester kuwa na interest na BRUNO FERNANDES ni uzushi since day one. Hasa ikizingatiwa BRUNO anasajiliwa kama kuleta uhai katika kiungo ikiwa Pogba kama atashindwa kutulia na Manchester.

Hatujakaa vizuri siku kadhaa nyuma vyombo vya habari vya kuaminika (Sky sports) wakaripoti kuwa Tottenham wameingia katika mbio za kutaka kumsajili BRUNO FERNANDES na wametuma tayari dau lao. Kumbuka Manchester united hawakuwahi kutuma official bid ya usajili wa BRUNO FERNANDES.

Jana zikaibuka tetesi kuwa ikiwa Tottenham watafanikiwa kumsajili BRUNO FERNANDES basi Eriksen kiungo wao watamuweka sokoni ikizingatiwa yupo mwishoni mwa mkataba wake.

Wakati hayo yakiendelea habari zingine zikaibuka kuwa Manchester wapo tayari kumsajili Eriksen ikiwa Tottenham watakuwa tayari kumuachia.
Habar za hii timu yetu n tetesi tupu wazee, sioni kama kutakuwa na ingizo jipya lolote with just two days left dirisha lifungwe
 
Tukiendelea kufuatilia Transfer Saga ya BRUNO FERNANDES... Na mtifuano kati ya Manchester united na Tottenham katika mbio za kumsajil Huyu fundi.

Katika kufuatilia tetesi za usajili kuna mambo kadhaa ya kuzingatia ili kuipa uhalali na ukweli wa habari yako lazima ucheki TIER ya chanzo cha habari.. TIER zipo (1 mpaka 5) TIER 1 best wakati TIER 5 ni worst. Kwahiyo habari au tetesi ikitoka katika chanzo chenye TIER 1 au 2 basi hapo hiyo habari ina kaukweli ndani yake.

Kitu kingine cha kuzingatia ni LOCAL NEWSPAPERS NA MAGAZINES ambazo zinaheshimika katika nchi husika kwa habari za michezo. Mfano ujerumani kuna BILD.. Spain kuna MARCA Portugal kuna BOLA kama sijakosea na UK kuna SKYSPORTS na kadhalika.

Kuhusiana na local NEWSPAPERS za ureno kuhusu usajili wa BRUNO FERNANDES wameripoti JORGE MENDEZ (super Agent) nae ameitwa na Manchester united kuja kutia nguvu ili BRUNO FERNANDES atue Manchester united baada ya kuona Spurs wanataka kukomaa.

MENDEZ inasemekana yupo Jijini Manchester kwa kukamilisha usajili wa Jao Cancelo beki wa Juventus kutua Manchester city ila Manchester united wamemuomba akimaliza hilo dili aje kuongeza nguvu katika kukamilisha usajili wa BRUNO.

Ikumbukwe MENDEZ ana rekodi nzuri ya kimahusiano na Manchester united tangu enzi za Babu Ferguson.





IMG_20190806_155441.jpeg
 
Kama kweli man utd inasajili kwa malengo,dybala hakuwa kwenye mipango yetu,imetokea bahati tu. Lakini Bruno alistahili kuja,tatizo la ole hapigi kelele asikike pamoja na sapoti kubwa ya mashabiki wanayompa kuhusu kumpata Bruno.

Ila akishakuja ndio anajisemesha,mwoga sana huyu jamaa. Lakini kuna ile kauli yake moja maarufu tangu julai anaisema 1 or 2 more signings,will be good to go.
Sijakuelewa unaposema OLE apigi kelele asikike. Unataka naye alielie kwenye vyombo vya habari kama MOU. Au unatka aandike twitter kama Mashabiki tunavyofanya.

Unasahu kuwa OLE ni muajiriwa, kuna means of communication anatakiwa kuzitumia pale anapotaka kuwasiliana na mabosi wake.

Kocha yeyote akianza kufanya hivyo unavyotaka, tayari fahamu kuwa uhusiano wake na mabosi wake si mzuri. Na hii ni hatari kwa ustawi wa timu.
 
Haha wa hovyo. Ww na wenzio mliwacheka sana liverpool wkt wanamsajili vvd for 75m$. Leo kawa beki bora.
Sasa mkuu vvd uwezo wake kitambo tu ulionekana, hata sisi Chelsea tulianza mfukuzia kitambo tu. Club nying kubwa zilimtaka..sasa kwa magwaya naona mumelamba garasa kimtindo, japo kuna game ana perform vizuri tu ..ila Bissaka apo uhakika anaeza kuja kuwa Patrice Evra kama Ole akimtumia vizuri.
 
Usisahau pia majority ya "world class" players na wachezaji wazuri wa kingereza pia Wanatoka Man U, kuanzia kizazi Cha Kina Charlton na George best, Cha kina Giggs, Beck na Scholes, Cha kina Rooney, Carrick na Rio, mpaka Sasa Cha kina Rashford, AWB na Maguire.

Hata Mafanikio Yao ya Uingereza yanatokana Man U, World cup pia ilitokana na sisi ile trio yetu (wawili England)
Kombe la dunia walilobeba England 1996 ivi, kuna mchezaji wa kiingereza aliyecheza Man united alikiwepo? naomba nitajie kikosi kizima cha timu ya taifa ya Uingereza walichobeba WC.
 
Sijakuelewa unaposema OLE apigi kelele asikike. Unataka naye alielie kwenye vyombo vya habari kama MOU. Au unatka aandike twitter kama Mashabiki tunavyofanya.

Unasahu kuwa OLE ni muajiriwa, kuna means of communication anatakiwa kuzitumia pale anapotaka kuwasiliana na mabosi wake.

Kocha yeyote akianza kufanya hivyo unavyotaka, tayari fahamu kuwa uhusiano wake na mabosi wake si mzuri. Na hii ni hatari kwa ustawi wa timu.
Nimekuelewa sana tu mkuu. Ila kuna namna ya kulisema wakati wa mahojiano na waandishi wa habari lisilete taswira mbaya kati yake na mwajiri wake.

Mara nyingi swali la usajili linapoulizwa,yeye huwa anakimbilia kusema wachezaji alionao wanamtosha,matokeo yake inafikirika kuwa usajili wa Bruno au kiungo yeyote unachagizwa zaidi na fans au media kuliko mahitaji yake. Ndio maana ed alikuwa atuletee dybala na inshu ya kiungo/Bruno ingesahaulika.

Yeye ole huwa anasema one or two more signings is enough. Hayuko specific sana na eneo letu la kati kuwa kuna void pale.
Sijawahi kusikia akionekana kuongelea shida ya nafasi yetu ya kiungo.
 
Nimekuelewa sana tu mkuu. Ila kuna namna ya kulisema wakati wa mahojiano na waandishi wa habari lisilete taswira mbaya kati yake na mwajiri wake.

Mara nyingi swali la usajili linapoulizwa,yeye huwa anakimbilia kusema wachezaji alionao wanamtosha,matokeo yake inafikirika kuwa usajili wa Bruno au kiungo yeyote unachagizwa zaidi na fans au media kuliko mahitaji yake. Ndio maana ed alikuwa atuletee dybala na inshu ya kiungo/Bruno ingesahaulika.

Yeye ole huwa anasema one or two more signings is enough. Hayuko specific sana na eneo letu la kati kuwa kuna void pale.
Sijawahi kusikia akionekana kuongelea shida ya nafasi yetu ya kiungo.
Mimi nadhani kama OLE anakaa chini na ED, na wanaongea mapungufu ya timu, hakuna haja ya kuja kwenye vyombo vya habari kusema, haina msaada wowote.

Mwaka jana MOU kasema sana, mwisho wa siku haikusaidia chochote , zaidi ya kuharibu morali ya timu.
 
Kombe la dunia walilobeba England 1996 ivi, kuna mchezaji wa kiingereza aliyecheza Man united alikiwepo? naomba nitajie kikosi kizima cha timu ya taifa ya Uingereza walichobeba WC.
England hajabeba 1996 Ni 1966 na wachezaji wa Man U waliokuwepo Ni Kama

1. Mzee mwenyewe Sir Bobby Charlton
2. John Connelly
3. Nobby Stiles

Source
en.m.wikipedia.org/wiki/1966_FIFA_World_Cup_squads

Na hi ndio All star team ya hio World cup
Screenshot_20190806-165904__01.jpg

Charlton unamuona Hapo?

Mwaka 1966 Charlton ndio alikuwa mchezaji Bora akachukua Hadi Uefa player of the year akimpita Eusebio.

Na amepewa Hilo jina Sir na malkia wa Uingereza sababu ya Hio world cup.
 
Nimekuelewa sana tu mkuu. Ila kuna namna ya kulisema wakati wa mahojiano na waandishi wa habari lisilete taswira mbaya kati yake na mwajiri wake.

Mara nyingi swali la usajili linapoulizwa,yeye huwa anakimbilia kusema wachezaji alionao wanamtosha,matokeo yake inafikirika kuwa usajili wa Bruno au kiungo yeyote unachagizwa zaidi na fans au media kuliko mahitaji yake. Ndio maana ed alikuwa atuletee dybala na inshu ya kiungo/Bruno ingesahaulika.

Yeye ole huwa anasema one or two more signings is enough. Hayuko specific sana na eneo letu la kati kuwa kuna void pale.
Sijawahi kusikia akionekana kuongelea shida ya nafasi yetu ya kiungo.
Ole ana mifumo miwili Mara nyingi.

4-2-3-1 na 4-3-3

Kama dyabala angekuja Ina maana Moja kwa Moja tungecheza 4-2-3-1 sababu mfumo huu unatumia no 10.

Na Kama mtu Kama Bruno ama midfiled nyengine inayopanda na kushuka anakuja pamoja na pogba ili uwachezeshe wore inabidi ucheze na midfield watatu yaani 4-3-3.

Yeye Ni kocha anajua zaidi japo sisi Mashabiki tuna mapenzi yetu pia ila tumpe nafasi, Mimi naamini OLE amepata support kubwa Kushinda LVG, Mou na Moyes, tumpe nafasi tuone atakavyofanya.
 
Back
Top Bottom