OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Kiungo gani kinamweka benchi Pogba apo LiverpoolNeymar na Pogba ni Celebrities sio hardworking footballers.



Kiungo gani kinamweka benchi Pogba apo LiverpoolNeymar na Pogba ni Celebrities sio hardworking footballers.



Angepewa tu hasa ikizingatiwa ndiye mchezaji aliyekuwa na work rate nzuri kwa kipindi chote alichokuwa united baada ya wazza kwa mtizamo wangu mimi.Tetesi zinasema alitaka 350K ili abaki.
![]()
Man Utd transfer news: Ander Herrera's £350,000 wage demands led to Old Trafford exit | Goal.com
The Spanish midfielder was allowed to leave Old Trafford for Paris Saint-Germain on a free transfer having asked for a bank-busting new contractwww.goal.com
Hapana Aisee, Ukimpa Herrera 350K Pogba na De Gea utawapa ngapi?Angepewa tu hasa ikizingatiwa ndiye mchezaji aliyekuwa na work rate nzuri kwa kipindi chote alichokuwa united baada ya wazza kwa mtizamo wangu mimi.
Hivi nguvu ya fedha ya man utd huwa inatunufaisha vipi kama linapokuja suala la usajili na mikataba tunakuwa bahili hivi?
target ni nyingi ila tunaoweza sajili mpaka sasa ni 3 tu Kati ya Maguire, diop wa Westham hpa tutasajili mmoja na kati ya Bruno Fernandes, Longstaff na adui wa damusin, Rice hapa tu aweza sajili wawili.........ila nnachoona wazi tujiandae kisaikolojia maana tunaweza sajili Maguire, Longstaff na Rice kama tutaendekeza uzawaSaiv target ni kwa nani tena? Mbn kama tetesi zimenyamaza ghafla?
Na Hapo wameona Huruma kuishia 0 wangezieka kabisa hizo negative zionekane. Na wote Wana Wamarekani wenye hizo 0.Incredible stat, no coincidence that Arsenal and United used to dominate the premier league yet have allowed themselves to slip outside the top 4 under current owners. https://t.co/XWUWwRIyVkView attachment 1147280
Ilisemekana mia mbili au nyuma ya pazia ndio ilikuwa hivo? Ila ni sawa tu hata angedai mia nne. Wachezaji wengi wanadai hvo kwa kuangalia work rate ya pogba na hela anazopewa ni tofauti kabisa, Performance ya Alexis na hela anazochukua ni tofauti kabisa. Sasa akijiangalia yeye alivyokuwa anafia timu halafu sijui anchukua 80 huko ni ujinga. Ndio mana hata de gea inasemekana kadai 350 na imebidi wakubaliane nae.Tetesi zinasema alitaka 350K ili abaki.
![]()
Man Utd transfer news: Ander Herrera's £350,000 wage demands led to Old Trafford exit | Goal.com
The Spanish midfielder was allowed to leave Old Trafford for Paris Saint-Germain on a free transfer having asked for a bank-busting new contractwww.goal.com
Liverpool hatuhitaji wachezaji wa aina ya huyo uliyemsema ,mchezaji nusu ya akili yake kichwani inawaza kuvaa hereni, Kubadilisha mitindo ya nywele.Kiungo gani kinamweka benchi Pogba apo Liverpool![]()
Si uliwahi kuwa na baloteli au siyo wewe au utasema kwa sababu hakusajiliwa na klop?Liverpool hatuhitaji wachezaji wa aina ya huyo uliyemsema ,mchezaji nusu ya akili yake kichwani inawaza kuvaa hereni, Kubadilisha mitindo ya nywele.
Na ndio maana leo hayupo Liverpool,hatuna nafasi kwa wachezaji ambao hawana passion ya kuipigania timu nafasi hiyo hatunaSi uliwahi kuwa na baloteli au siyo wewe au utasema kwa sababu hakusajiliwa na klop?
Mkuu Liverpool hatuna nafasi kwa mchezaji ambaye HE DON'T PLAY FOR BADGE mchezaji lazima awe na roho ya upambanaji kwa timu na hii itawagarimu sana.Si uliwahi kuwa na baloteli au siyo wewe au utasema kwa sababu hakusajiliwa na klop?
Mie naamini hata rashford hakustahili £250k kwa wiki. Bado sanaHapana Aisee, Ukimpa Herrera 350K Pogba na De Gea utawapa ngapi?
Issue mkuu sio hela Bali ni kutengeneza Umoja wa kitimu. Kama nilivyosema Comment ya juu huko, Alivyoondoka Ibra na Rooney Timu yetu ilikuwa more balanced kimshahara, wote walikuwa chini ya 300K, Hata matokeo yetu uwanjani yalikuwa mazuri Sana. Alivyokuja tu Sanchez na kupata 400K wachezaji kibao wakaanza kudai nyongeza na wao, alianza Martial, akaja de Gea akataka yeye ndio awe top Earner, Pogba Etc Na huwezi ukawalaumu Sana kwa viwango vyao vs huyo anayepata 400K
Unapomlipa Team player Kama Herrera ambaye Hata haqualify kuitwa world class 350K uta inflate mishahara ya watu wote.
Hapo umemsahau saneView attachment 1147152
Halafu manchester united wanautaka ubingwa wa epl hahahaha tumeachwa mbali sana
Rashford analipwa 200K, na hio inatokana na Martial kulipwa 250K, ambae Alidai nyongeza sababu ya Sanchez.Mie naamini hata rashford hakustahili £250k kwa wiki. Bado sana
Pogba hapati Hela nyingi Sana na No way performance ya Herrera inamzidi Pogba. Unless unafikiri kukaba ndio factor ya mshahara. Kwa hela anazoingiza Pogba ndani na nje ya uwanja mshahara wake ni wa kawaida Sana.Ilisemekana mia mbili au nyuma ya pazia ndio ilikuwa hivo? Ila ni sawa tu hata angedai mia nne. Wachezaji wengi wanadai hvo kwa kuangalia work rate ya pogba na hela anazopewa ni tofauti kabisa, Performance ya Alexis na hela anazochukua ni tofauti kabisa. Sasa akijiangalia yeye alivyokuwa anafia timu halafu sijui anchukua 80 huko ni ujinga. Ndio mana hata de gea inasemekana kadai 350 na imebidi wakubaliane nae.
Hapana Aisee, Ukimpa Herrera 350K Pogba na De Gea utawapa ngapi?
Issue mkuu sio hela Bali ni kutengeneza Umoja wa kitimu. Kama nilivyosema Comment ya juu huko, Alivyoondoka Ibra na Rooney Timu yetu ilikuwa more balanced kimshahara, wote walikuwa chini ya 300K, Hata matokeo yetu uwanjani yalikuwa mazuri Sana. Alivyokuja tu Sanchez na kupata 400K wachezaji kibao wakaanza kudai nyongeza na wao, alianza Martial, akaja de Gea akataka yeye ndio awe top Earner, Pogba Etc Na huwezi ukawalaumu Sana kwa viwango vyao vs huyo anayepata 400K
Unapomlipa Team player Kama Herrera ambaye Hata haqualify kuitwa world class 350K uta inflate mishahara ya watu wote.
Actually Herrera anakula 300K Psg na mkataba wa miaka 5Herrera hajawahi kutaka mshahara wa £350k na hata huko PSG mshahara wake sio huo it's impossible Herrera awazidi kina Silva,Alves,Cavani,Mbappe,Di Maria azidiwe mshahara na Neymar tu (Neymar analipwa €500k)
The main problem ni how unasubiri mkataba wa mchezaji ufike mwisho ndio uanze negotiation mchezaji akifika hatua hiyo anakuwa na offer nyingi sana sababu anakuwa ni cheap hii mistakes imefanyika kwa Fellaini,Mata,Herrera na inaonekana itaendelea PSG wamempa Herrera mkataba wa miaka 4 + 1 year option United wangempa max ni 2 years