Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Yaan sijui kina De ligt wanaopatikana kwa 60, hawaonekan ,Kwa bei ya £75m ni ya kawaida tu kwa Soko la sasa. Ila watu wanachohoji ni uwezo wa Maguire mwenyewe! Wanasema beki huyu katika Maisha Yake yote ya soka kang'ara kwenye Kombe la Dunia tu, lakini baada ya Kombe la Dunia mpaka leo hajacheza vizuri kwenye Timu ya Taifa mpaka Club.
Je haoneshi kuwa ni type ya Lovren ambaye pia alicheza vizuri kwenye Kombe la Dunia mpaka akafikia kujiita Beki bora?
Hayo ni baadhi ya mambo ambayo Washabiki wanayoyahoji Mkuu.
Nimeamini ukiwa na Negotiator na DOF utasajiri vzr bila kupigwa ovyo, na utauza vzr ,
Sasa hivi uwepo wa Michael Edward Mna enjoy ,
