Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
Herrera na Mata hawakuwa katika mipango ya Mourinho those days kama kumbukumbu zangu zipo sahihi anko Fella alipewa ofa ya mkataba mpya chini ya MO iliishiaje sikumbuki.Herrera hajawahi kutaka mshahara wa £350k na hata huko PSG mshahara wake sio huo it's impossible Herrera awazidi kina Silva,Alves,Cavani,Mbappe,Di Maria azidiwe mshahara na Neymar tu (Neymar analipwa €500k)
The main problem ni how unasubiri mkataba wa mchezaji ufike mwisho ndio uanze negotiation mchezaji akifika hatua hiyo anakuwa na offer nyingi sana sababu anakuwa ni cheap hii mistakes imefanyika kwa Fellaini,Mata,Herrera na inaonekana itaendelea PSG wamempa Herrera mkataba wa miaka 4 + 1 year option United wangempa max ni 2 years
so kwa scenario kama hiyo nasimama na klabu.
Rashford, Martial, Pereira, Shaw, Jones, Smalling, Mata hawa wote wamepewa kandarasi mpya wakiwa wamebakisha mwaka mmoja katika mikataba yao, De Gea amebakisha mwaka mmoja na mazungumzo yanaendelea hapo.

