tatizo linakuja kwenye market.
unataka kumuondoa smalling na jones kwa wakati mmoja halafu bajeti yako ya usajili ni paundi millioni 200.
unahitaji winga
unahitaji kiungo wa chini baada ya kuondoka herrera
unahitaji playmaker
unalalamika striker wako ni butu
unahitaji mlinzi wa kati
unahitaji mlinzi wa kulia
hatuna jeuri ya kufanya mabadiliko makubwa kama hayo, ni man city pekee ndio wenye jeuri hiyo.
picha linaanza Napoli imekataa paundi 96 mililioni LEO kwaajili ya Kolidou Koulibaly narudia tena paundi milioni 96 zimekataliwa leo kwaajili ya beki.
 
Hata tungemchukua Poch na akafanya yanayofanyika sahivi mtaishia kusema hamna imani nae.

As long as nimeshajua matatizo ya United ni wamiliki na CEO Woodward, kila atakachofanya kocha namuunga mkono kwasababu naamini ana nia ya kuifanya United bora.

Ila kama msimu ujao tutaanza tupo na Smalling, Jones na Young sitaangalia mechi yeyote ya United hadi hao jamaa waondoke.
halafu mbaya zaidi hakuna atakejali kwamba umeangalia au LA
 
tatizo linakuja kwenye market.
unataka kumuondoa smalling na jones kwa wakati mmoja halafu bajeti yako ya usajili ni paundi millioni 200.
unahitaji winga
unahitaji kiungo wa chini baada ya kuondoka herrera
unahitaji playmaker
unalalamika striker wako ni butu
unahitaji mlinzi wa kati
unahitaji mlinzi wa kulia


hatuna jeuri ya kufanya mabadiliko makubwa kama hayo, ni man city pekee ndio wenye jeuri hiyo.
Binafsi naona beki ndo cha kwanza kabisa kukirekebisha, winger wanafuata.

Naamini Lukaku ni striker bora kabisa.

Tunahitaji beki ya kulia, weka Young nje.

Beki ya kushoto yupo Shaw.

Namba 4 atacheza Lindelof, tununue namba 5, Smalling na Jones weka nje.

Tunahitaji winger wa kushoto na kulia.

Tunahitaji namba 6, namba 8 atacheza Pogba.
 
What should we learn from those scums? +10yrs without trophy ?
I'm talking bout their playing styles!
Being trophless is another issue!
You may be crayz after every single seconds when Liverpool players touch the ball.
Their determinations, ambitions and hunger for achievements is very impressive.
Massive jobs have been done in their sides!
Why not us????
They are playing modern football, in modern era's!!!
How many times Liverpool styles embrassed united? Think on it
 
wakuu kama tunahitaji kumsaidia OGS ajenge timu ya muda mrefu kwa kukusanya vijana wenye vipaji basi tunapaswa tukamng'oe michael zorc pale borussia dortmund, jamaa anafanya kazi nzuri mnooo..

leo hii dortmund wamekalisha usajili wa wachezaji wawili wenye ufundi kuliko..........…
 
wakuu kama tunahitaji kumsaidia OGS ajenge timu ya muda mrefu kwa kukusanya vijana wenye vipaji basi tunapaswa tukamng'oe michael zorc pale borussia dortmund, jamaa anafanya kazi nzuri mnooo..

leo hii dortmund wamekalisha usajili wa wachezaji wawili wenye ufundi kuliko..........…
Mkuu hawa dortmund wana'skauti ya hatari sana maana wachezaji wao huwa wanawaokota mafichoni huko lakini wanakuja kuwa moto wa kuotea mbali.
 
wakuu kama tunahitaji kumsaidia OGS ajenge timu ya muda mrefu kwa kukusanya vijana wenye vipaji basi tunapaswa tukamng'oe michael zorc pale borussia dortmund, jamaa anafanya kazi nzuri mnooo..

leo hii dortmund wamekalisha usajili wa wachezaji wawili wenye ufundi kuliko..........…

ManU hawana patience ya kujenga timu na kumvumilia kocha
OGS hatamaliza the coming season
 
Man U wametoa kit mpya ya 2019/2020. It is as if is an embarrassing Kit though it looks good!!! Hii new Kit ni kama vile ina lengo la celebration ya Treble winning season of abt 20yrs ago yan ile 1999! Wameweka "90+1" , "90+3" upande wa kushoto na kulia wa sleeve.
Man U wamekosa cha kujivunia saiv hadi inabd itumie mashindano yaliyopita kuji-encourage na vitu vya 20yrs ago! Huu ni utan mana hata hatuja-qualify kwa tulichoshinda kipind kile, na wachezaji walioko now hawastahili hata kuvaa kit za namna hiyo, I cant feel how they will feel, so embrrassing
Kwa mawazo ya haraka, united inawaza watauza jezi za kutosha, ok wanaweza fanya kama wakizid kuleta star atakayeuza sana!! Embarrassing kit
 
Kwa hizi tetesi na sajili za united siioni timu kuinuka ... Huu ni ukweli mchungu...


Mimi ni mshabiki lialia wa ligi ya German, Spain na Italy.


Kuna wachezaji ninawafahamu (Average) players kutoka kwenye hizo ligi sioni hata wakihusishwa ... Unabaki kusikia wakina James Rodriguez etc .

Anyway Ngoja tuone ila kama kinachoendelea kwenye tetesi ndicho kitafanyika tusitarajie lolote next season .
Team yetu haina tofauti na ndanda mkuu
 
Back
Top Bottom