Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Taja wakiwa Sporting na Everton!!!!


 
Umenifananisha na mtu mwingine, ni kweli kuhusu Zaha simwamini lakini hiyo conversation nyingine siyo yangu

Anyway akina CR7 na Rooney watabaki kuwa wao tu lakini haimaanishi hakuna vipaji vingine sokoni, na sio lazima hivi vipaji viwe na ufanano kiuchezaji na wale waliopita

Walikuwepo akina Pele, Charlton, Maradona, Zico

Lakini kwa sasa kuna akina CR7, Messi na wengineo, hapo kati Walikuwepo akina Zizou na Dinho

Sasa hivi kuna watu wapo, japo hawajafikia bado uwezo wa akina CR7. Mfano Neymar (angeacha utoto) , Hazard

Kuna watoto wanakuja, akina Karamoko Dembele(tembelea academy ya Celtic, juzi amepewa debut kwenye ligi), akina Joao Felix n.k

Vipaji havitaisha mkuu, tuombe uzima tu
 
Dembele sawa Mkuu!
Wala hujafanya kosa kujibu mkuu!


Tukubaliane na mahitaji ya soko la wachezaji!

Kwa tulipofikia
Tunahitaji wachezaji gani?
 
hahahaaa! We noma sana.
 
Dembele sawa Mkuu!
Wala hujafanya kosa kujibu mkuu!


Tukubaliane na mahitaji ya soko la wachezaji!

Kwa tulipofikia
Tunahitaji wachezaji gani?
Kwa sasa tunahitaji wachezaji wenye vipaji lakini wanaojituma, sio wanaocheza ki father, sio wanaodhani wao ni wakubwa kuliko Club, si ma instagrmmer, sio wapenda publicity, sio wanaoiongelea Real Madrid wakati wapo United. Tunahitaji wachezaji wenye attitude ya kufia timu.

Namba zinazohitaji wachezaji pale United ni karibu zote ila hapa nitaweka vipaumbele.

Ni winger ya kulia, (ikibidi hata kushoto), midfielder angalau mmoja anayekichafua pale kati, (tukipata 2 itasaidia zaidi maana Herrera ameondoka ), midfielder mchezeshaji pia anahitajika (tunamtegemea sana Pogba kwenye creativity).

Pia tunahitaji Central Defender angalau 1 (tukipata 2 itafaa zaidi), pia tunahitaji full back angalau mmoja hasa wa upande wa kulia

Wachezaji Winger: Pepe, Ziyeck, (tukipata winger mzuri asiye na jina pia sio mbaya)

Midfielder mchafuaji: Pellegrin wa Roma, Partey wa Atletico, Ndidi, Neves, (au mwingine yoyote mwenye uwezo asiye na jina)

Midfielder mchezeshaji: Bruno Fernandes, Ndombele, Madison, Ericksen n.k

Beki wa kati: Koullibaly, Maguire, Toby, (kipaji chochote kilichojificha huko mafichoni)

Beki wa pembeni: Bissaka, Munier, Concelo, Ssegnon, (kipaji kilichojificha huko mafichoni)
 
Juventus wanakaribia kumsajili Sergej Milinkovic Savic ,Toni Kroos ameongeza mkataba Real Madrid na PSG wanakaribia kumsajili Alan toka Napoli so kuna posibility kubwa ya Pogba kubaki United.Timu ambazo zilikuwa zinataka kumsajili Pogba ni PSG,Juventus na Real Madrid
 
Taja wakiwa Sporting na Everton!!!!
Hahaha Wamejaaaaa tereeeeee kwenye average clubs Kijana ... Fuatilia hizi league ..

1.Ligi ya Uholanzi

2. Belgium

3. German ( Hususan timu ya Leverkusen, Stuttgart na Wazee Mercedes )

4. Italy.

5. Brazil

6. Ile ulaya mashariki yoooote (Sebia , Czech, etc)


Halafu uje hapa uniambie hakuna wachezaji kama cr7 na r10 wa Everton na sporting Lisbon....



Wachezaji wako saaaana issue ni Manchester united umebadiri Sera za usahiri kutoka kusajiri Average players na wengine wasio na majina kama chicharito na kuhamia katika Sera za kusajiri Majina makubwa ... Ile scouting ya Manchester chini ya Kaka yake Sir Fergie Haipo tena...



Ukiicheki Ajax na timu yake nzima utaelewa ninachokizungumza... Ukiicheki Atalanta utajua ninachozungumza...
 
Nimeona mahala release clause ya Thomas partey ni dollar 43.6M nikashangaa united haina habari naye ila imekomaa na declan rice.
 
Tumtoe hata kwa mkopo tuanze upya,hana shukrani
 
Ukweli ni kwamba Liverpool haina average players.
Moh Salah
Sadio Mane
Giorgio
Djick
Alison
Fabinho
Firiminho
Hii siyo average squad
Mane,divock,giorgio na firmino wametengenezwa anfield kuwa walivyo sasa. Achilia mbali akina TAA na Robertson. Jamaa nastahili sifa zake hata kama ni mpinzani wet.
 
Sisi Man united tunatakiwa kihakikisha tunawapa mikataba minono akina PP, Sanchez, Lukaku, Rashford, Degea & their company ..ci unaona wameipleka timu yetu kwnye nafasi yetu pendwa ya sita!!

Tusipofanya hivyo msimu ujao tutaburuzwa adi nafasi y kumi...
 
Mane,divock,giorgio na firmino wametengenezwa anfield kuwa walivyo sasa. Achilia mbali akina TAA na Robertson. Jamaa nastahili sifa zake hata kama ni mpinzani wet.
Mane na Giorgio hawakuwa wa kawaida sema walikuwa katika average teams.
Kwa Firiminho na hao defenders ni sahihi jamaa kawabadilisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…