Mbavu mbili
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 1,457
- 874
Nikisema nikutajie orodha ya wachezaji wenye kariba ya Cr7 yule wa Sporting Lisbon (Kwa maana ya umri wake kipindi yupo sporting Lisbon ) wapo lukuki ... Ukisema nikutajie cr7 wa Manchester united na real Madrid hataweza kutokea tena ...
Sasa nikuulize wewe unataka nikutajie Ronaldo yupi kati ya hao Wawili ?? ...
NB : Sisi tulimsajili cr7 wa kariba ya Sporting Lisbon na Sio real Madrid .. Na kusajili pia inabidi tusajili cr7 wa kariba ya Sporting Lisbon ..
Logic hii hii ioanishe pia kwa Rooney.
Niko tayari kuja na maelezo zaidi ukihitaji.
Warmest Regards.
Zaha atakua pogba mpya,maringo na mbwembwe za hapa na pale endapo atarudi utd.Zaha amecheza EPL,
Unataka tumlete Morata mpya aje ajifunze maisha mapya pale EPL?
Zaha atakua pogba mpya,maringo na mbwembwe za hapa na pale endapo atarudi utd.
Delight naye inaweza kuwa so bora sanaMkuu Maguire ni zinga la beki, pace yake ndio inanipa mashaka, ila kiujumla bora niwe naye kuliko kutokuwa naye
Wanaomtangulia yeye ni, Koullibaly, Skriniar, De Ligt
Umenifananisha na mtu mwingine, ni kweli kuhusu Zaha simwamini lakini hiyo conversation nyingine siyo yanguBado hatujaelewana Mkuu!
Kuna mahali umembeza Zaha,
Ukikumbushia uwepo Wa akina Rooney na Cr7
Nikakuambia jambo la maana,
Soko na vipaji vyabwachezaji Wa sasa vimeharibiwa mno!
Wachezaji kariba ya Rooney, Cr7
Bei zao hazitajiki na wala hawapo kwa sasa!
Kavivu na hakana nguvuMartial anataka kuaminiwa, apangwe tu hata akivurunda. Anahitaji kujengewa confidence
Tuongezee na zingine 100 kabisaMara mia tumuuze Rashford na Lingard tumnunue Mbappe.
Umenifananisha na mtu mwingine, ni kweli kuhusu Zaha simwamini lakini hiyo conversation nyingine siyo yangu
Anyway akina CR7 na Rooney watabaki kuwa wao tu lakini haimaanishi hakuna vipaji vingine sokoni, na sio lazima hivi vipaji viwe na ufanano kiuchezaji na wale waliopita
Walikuwepo akina Pele, Charlton, Maradona, Zico
Lakini kwa sasa kuna akina CR7, Messi na wengineo, hapo kati Walikuwepo akina Zizou na Dinho
Sasa hivi kuna watu wapo, japo hawajafikia bado uwezo wa akina CR7. Mfano Neymar (angeacha utoto) , Hazard
Kuna watoto wanakuja, akina Karamoko Dembele(tembelea academy ya Celtic, juzi amepewa debut kwenye ligi), akina Joao Felix n.k
Vipaji havitaisha mkuu, tuombe uzima tu
hahahaaa! We noma sana.Naheshimu Mawazo yako pia ila amini ninachokwambia ... Mbape ana uwezo wa kawaida mno , acha kumlinganisha na Loionel Messi "La Pulga"...
Kitendo cha kusema kuwa Mbape anafuata nyayo za Messi huku ni kututukana hadharani... Bodaboda haikimbizi treni.. Mbape ni Bodaboda na messi ni pikipiki.
Kwa umri wa mbape Messi alikuwa ameshafanya mambo makubwa ambayo hata wewe mpaka kizaZi chako cha 10 hakitakuja kushuhidia kiumbe mwingine Mwenye huo uwezo ..
Let's End the story this, ukiniwekea mchezaji kutoka EPL kama hazard na mbape kutoka ligi ya ndondo cup .. Nambeba Hazard ... Huu ni mtazamo wangu.
Huyo mbape mlinganishe na wakina Lingard.
Kwa sasa tunahitaji wachezaji wenye vipaji lakini wanaojituma, sio wanaocheza ki father, sio wanaodhani wao ni wakubwa kuliko Club, si ma instagrmmer, sio wapenda publicity, sio wanaoiongelea Real Madrid wakati wapo United. Tunahitaji wachezaji wenye attitude ya kufia timu.Dembele sawa Mkuu!
Wala hujafanya kosa kujibu mkuu!
Tukubaliane na mahitaji ya soko la wachezaji!
Kwa tulipofikia
Tunahitaji wachezaji gani?
Hahaha Wamejaaaaa tereeeeee kwenye average clubs Kijana ... Fuatilia hizi league ..Taja wakiwa Sporting na Everton!!!!
Nani kakwambia Zaha ni MuingerezaHana hiyo mentality, muingereza yule,
Namfananisha na Raheem Sterling
Nimeona mahala release clause ya Thomas partey ni dollar 43.6M nikashangaa united haina habari naye ila imekomaa na declan rice.Huyu Odegaard si yule Norwegian aliyekuwa Madrid
Siku hizi yupo Ufaransa kumbe
Rice simkubali kiivyo, kwangu badala yake bora awekwe Neves/Ndidi/Partey,
Ila Pepe ni mtu mwingine yule jamaa
Ndombele naye ni mwiba ila sijui kama ana mpango kucheza Europa League
Lakini hicho kikosi kimesimama mkuu
Ongezea na Gomes na Greenwood reserves
Tumtoe hata kwa mkopo tuanze upya,hana shukraniJuventus wanakaribia kumsajili Sergej Milinkovic Savic ,Toni Kroos ameongeza mkataba Real Madrid na PSG wanakaribia kumsajili Alan toka Napoli so kuna posibility kubwa ya Pogba kubaki United.Timu ambazo zilikuwa zinataka kumsajili Pogba ni PSG,Juventus na Real Madrid
Mane,divock,giorgio na firmino wametengenezwa anfield kuwa walivyo sasa. Achilia mbali akina TAA na Robertson. Jamaa nastahili sifa zake hata kama ni mpinzani wet.Ukweli ni kwamba Liverpool haina average players.
Moh Salah
Sadio Mane
Giorgio
Djick
Alison
Fabinho
Firiminho
Hii siyo average squad
Ni Mwingereza.Ila asili yake ni Ivory CoastNani kakwambia Zaha ni Muingereza
Alikuwa United na kilivhomwondoa ni kujifanya Ronaldo mpya.Hana hiyo mentality, muingereza yule,
Namfananisha na Raheem Sterling
Mane na Giorgio hawakuwa wa kawaida sema walikuwa katika average teams.Mane,divock,giorgio na firmino wametengenezwa anfield kuwa walivyo sasa. Achilia mbali akina TAA na Robertson. Jamaa nastahili sifa zake hata kama ni mpinzani wet.