ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Mwenzio nimegeuka kuangalia mechi zilizopita naangalia maufundi ya luis nani dimitri na wengineo
√Man city wanamfukuzia Bruno Fernandez na wamefikia vizuri..timu yenye De bruyne,Bernado Silva,Gundogan,Silva na bado wanachukua kifaa kingine..Kimefunga goli za kutosha kama kiungo kushinda yeyote Europe
Hivi sisi tumelogwa na nani??
Hii timu yetu mbona inaenda kuwa ya kichoko hivi??
Bullshit
