Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

√Jamani tunamhitaji Messi ili tuwafunge huddersfield??

√What a shi*t perfomance!!!..these bustard haven't gain any point from their last eight(8) games,yet they did got a point against us

√Rashford naye utasikia anataka £200k..New Welback in Town..hakuna la kutegemea kutoka kwa huyu bwana mdogo..overrated

√Ole ana mipango lakini uwanjani??,,yupoyupo tu kama vile hajui kitu..it's like anasubiri mambo yafanyike yenyewe kwa wachezaji hawa..

√Kama Ole anawapa maagizo na wanashindwa kutimiza basi hao wachezaji wote awatupe nje then apange watoto...kama hawezi ajiuzulu..simple like that
 
DECEMBER 19 / 2018
tusione aibu kutubu dhambi zetu

ewe bwana Mungu si ungelitupa japo kauwezo kidogo wa kujua maisha yetu ya mbeleni sisi binadamu
nilisifia sana ujio wa ole gunnar solskjaer kwa sababu nilikuwa na imani ya kwamba wachezaji walishamchoka jose mourinho ndio maana tulikuwa tunafanya vibaya na nilifikia hatua ya kuandika maneno yafuatayo

kama solkskjaer atafanya vizuri basi klabu impe mkataba wa muda mrefu na isihangaike na makocha wengineo kama zilivyofanya klabu nyenginezo kama barcelona na madrid. hizi si nyakati za kupima ubora wa kocha kwa kutumia hoja ya uzoefu bali mafanikio yake ndio yatazamwe kwa jicho la mwewe, unajua kama kenny daglish ilimshinda liverpool lakini jurgen klopp anaelekea kufanikiwa.

lakini pia nilisisistiza maneno yafutayo ambayo bado yanaendelea kuwa sahihi.​
faida kubwa ya ujio wa ole gunnar solskjaer ni kwamba hatatokea yeyote anayejiita legend ambaye atathubutu kumkejeli mungu mwenye sura ya kitoto, hutomsikia paul scholes, giggs, neville brother,ferdinand na wengineo wakinyanyua mdomo wao kama mambo yatakwenda vibaya, labda awe mzungu asiyependa unafiki kama roy keane.

kama solakjaer atafanya vibaya hao legend wote watamgeuzia kibao ed woodward na watasema ya kwamba yeye ndio tatizo kwa kushindwa kutofautisha soka na biashara, pia watamshambulia paul pogba na wachezaji wengineo ambao watashutumiwa hawaithamini nembo ya klabu bali wanathamini maslahi yao.

mwisho nikamalizia​

kumsubiria ole gunnar solakjaer afanye vibaya ni sawa sawa na kumsubiria kylian mbappe afikishe miaka 20 ya kuzaliwa au kumsubiria romelu lukaku afunge goli mita 30 kama wayne rooney.

radika naomba unisamehe brother, uliona mbali sana pale uliposema tutabadilisha makocha wangapi ikiwa mahitaji ya makocha hayatimiziwi?
 
Binafsi naona Ole hana uwezo wa kuijenga hii timu tena,hata ukiangalia sub zake unaelewa ni kama anacheza kamari tu.
Ole aliharibu tangu alipofika na kuanza kupalilia kiburi cha Pogba na kumfanya Rashford ajione Messi.

Pia wachezaji wote ni kama hawana nia ya kuichezea MUFC.

Swala la kuijenga timu ni bora lianze na kutafuta kocha mzoefu.


😂😂😂Hata Conte anataka kuifunza MUFC.
 
Binafsi naona Ole hana uwezo wa kuijenga hii timu tena,hata ukiangalia sub zake unaelewa ni kama anacheza kamari tu.
Ole aliharibu tangu alipofika na kuanza kupalilia kiburi cha Pogba na kumfanya Rashford ajione Messi.

Pia wachezaji wote ni kama hawana nia ya kuichezea MUFC.

Swala la kuijenga timu ni bora lianze na kutafuta kocha mzoefu.


Hata Conte anataka kuifunza MUFC.
Huwezi kujenga timu na kocha mbahatishaji..unahitaji mwalimu wa soka kwelikweli

Unfortunately,naona pia Ole anauwezo mdogo sana hata nje ya uwanja tu
 
IMG_5185.JPG
 
Back
Top Bottom