GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
It pain to both sides ,man u and liverpoolMnajifariji!!!
Ukweli ni kuwa uwezo wa Man United kama team ni mdogo sana, kiwango kibovu, wachezaji hawajitumi (labda ndo uwezo mdogo wenyewe) na team inacheza bila mipango.
Poor Olesendeka, Poor Manyau.

