Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
Ushabiki ni subira ushabiki ni uvumilivu tuisapoti timu yetu pendwa leoHmm noma mkuu, kwa mara kwanza hata game sitaangalia,
Game imekuja worst time everrrrrrrrrrrr
City lazima afe
Ushabiki ni subira ushabiki ni uvumilivu tuisapoti timu yetu pendwa leoHmm noma mkuu, kwa mara kwanza hata game sitaangalia,
Game imekuja worst time everrrrrrrrrrrr
Achana naye jamaa anazingua, "brand is an assurance level of deliverance" inajukuwa muda Hadi watu kuja kukuamiani kuwa unaweza kudeliver what u are promising, getting people's loyalty is'nt easy, na kuendelea kuwa mantain was loyal u need to deliver(uzuri wa hatua hii,unakuwa hutumii nguvu nyingi Sana Kama wapinzani wako) yaaaani man utd tutaendelea kuvumilia(kwa muda wa Kati) city akingua TU kidogo (let say 6yrs) atapoteza washabiki(maaana bado hawajawa loyal)..... Ila in long run(20/30 yrs) man utd azingua na city afanye vizuri... Utd ataingia makumbusho (yaaaani timu ya mafinikio ya Zama zile) which won't be helping winning business deals with companies that want attention to sell theirs products/services........ Mfano timu za Milan ( zitakuwaje 10 yrs Kama zikiendelea na Hali hizo)WTF is brand/branding?
Doesn't coca cola don't have a big brand? Then why the hell are they keep on wasting money on advertisements?
Then what about Pespsi?
Ommo (soap)?
Blue band?
Etc.
Brand my ......
Hamna kitu kama hicho hamuwezi ku compete ata na real zaragozaGLORY GLORY MAN UNITED
Yaani unaangalia mechi kwa amani ukifungwa unashangilia na ukishinda unashangilia piaDooh, Leo nacheka sana.
Kati ya siku ambayo sijisumbui kubana nanilii zangu ili tushinde ni Leo.
Liverpool watafanya hivyo badala yangu.
ED hayupo serious na mambo ya mpira Bali biashara zaidiMechi ya leo imekaa hovyohovyo sana
√Tukishinda Liverpool anakuwa kwenye position nzuri ya kubeba EPL..tukidraw itakuwa hivyo hivyo pia
√Tukifungwa,top four is over and no UCL next season
Kwa form tuliyonayo kama timu kuifunga City itakuwa ni kazi ngumu sana,City ashatoka UCL so EPL ndo jicho lao kuu kwa sasa..
Anyway..mimi tukishinda,tukifungwa,tukidraw sitajali..cha msingi ninachosubiri kwa sasa ni dirisha la usajili lifunguliwe nione Ole atafanya nini ili nijiandae kwa next season
√Martial,Jones,Young,Darmian,Lukaku,Matic hawa jamaa naona ni wakuondoka haraka sana pale United
√Smalling,Baily,Rashford..wanaweza kukaa benchi wakati tukiendelee kujenga kikosi
√Hivi Pogba ni mchezaji ambaye ameilekeza akili yake United 100℅??..Sitojali akiondoka,maana naona uwepo wake unaweza kuwa unatuzuia kufika sehemu fulani..na naamini kuna wachezaji tunaweza kuwachukua na timu ikacheza vizuri zaidi
√Naskia Ed Woordward anataka kumchagua Phelan kuwa DOF....can we say Ed anapenda Simple and Cheap options??..Though naheshimu kazi ya Phelan aliyoifanya pale OT
Hamna kitu kama hicho hamuwezi ku compete ata na real zaragoza
Tupaki basi (hatuna uweza wa kuchezea mpira dhidi ya City)
Then
Tuwapige counter attack, other than that tutaabishwa
Mbinu ya counter attack itafanya kazi kwa kuwa City wapo desperate kupata goli (ushindi)
Tutaweza kushinda kama OGS ataacha upimbi wake wa kuchezesha English FC, aweke English players who deserve to start
Kutokuwepo kwa De Bruyne itakuwa ni plus kwetu
Kurudi kwa Shaw kutatusaidia sana
Midfield napendelea iwe Fred, Tominay na Pgba
Positive record, ndani ya mechi 15 za mwisho pale OT hatujafungwa hata game moja, tumeshinda 9 na kutoa draw mechi 5
Tupo tunasubiri usikuMbona jukwaa limepoa sana, wenyeji mpo kweli?
Umehamia man u kwa muda? Leo man u anapigwa,,bora aende futuhi kuliko kuwapa EPL, liver ndivyo furaha yao, kama unataka kuamini man city akishinda ,mashabik WA man u watafurahi kama walivyofanya WA Everton dhid ya cityNina uhakika leo tunashinda au kudroo, hawa City hawawezi kutupiga nje ndani.
Wajipange.
Ndiyo maanayakeYaani unaangalia mechi kwa amani ukifungwa unashangilia na ukishinda unashangilia pia

Man u brand kubwa mkuu wew huoni mwenyewe unakuja uzi wa Man u kubishana hahahahahahaha.... This is Manchester United hahahaha ni kama maji usipokunywa utayaogaYani swala la madogo ndo usiseme
Maana amna dogo anaeweza kushabikia man u.
Ni barca na city kwa sasa
Leo tunahitaji man u afungwe ila 1-0 itapendeza,Ollachuga
Aaroon
Southern Highland
Ile kamati yetu ya Mazishi msibani leo mnatusika wenyewe Mimi leo naisapoti timu ya kwenye Damu Sitahusika na mazishi yenu lakini kama ni mazishi ya Manchester city hapo tuko wote kama ni ya Manchester United HAPANA.