Liverpool wanakera, wanabaana utadhani hao ndiyo wanachezaUmeshindwa hahahaha
Timu yenu kumbe inataka ushindi leo



.Ila ngoja tuone.
Liverpool wanakera, wanabaana utadhani hao ndiyo wanachezaUmeshindwa hahahaha
Timu yenu kumbe inataka ushindi leo



.Bora umesema daahHivi kwani ni lazima uandike matusi ?
Shame on you!
Ila ngoja tuone ........Tuone nini????????Liverpool wanakera, wanabaana utadhani hao ndiyo wanacheza.
Ila ngoja tuone.
Yaani wewe unafikiria kuwa wazungu wana bifu na waarabu matajiri?City itarudi kuwa kama Chelsea wakati tajiri ni muarabu au unadhani Waingereza wana uadui kwa waarabu kama ambavyo wanawadiss warusi
Liverpool wanakera, wanabaana utadhani hao ndiyo wanacheza.
Ila ngoja tuone.
Lol!!WTF is brand/branding?
Doesn't coca cola don't have a big brand? Then why the hell are they keep on wasting money on advertisements?
Then what about Pespsi?
Ommo (soap)?
Blue band?
Etc.
Brand my ......
Achieni hizo nanii zenu.Ila ngoja tuone ........Tuone nini????????



Sasa mbona mnakuwa wanafik? Mmesema kuwa favour tujifanyie wenyewe na sio liverpool. Na kama hatujamzuia city leo kombe hamlichukui. 😀Lfc tunatia kambi humu tunaacha uzi wetu tumekuja kuidiscuss UNITED yetu kwa muda come on boys GGMU teh teh teh .
Maisha bila unafiki hayaendi
Yaan leo raha sana washabik wa man u wanakuwa washabiki wa city afuu sisi wa LFC tunakuwa wa MAN U
Mkishinda nitumie namba yako pm nikufanyie Muamala.Mpaka muda huu sisi Man United tuko vizuri.
Yaani wewe unafikiria kuwa wazungu wana bifu na waarabu matajiri?
Chelsea imeshuka sio kwa sababu abramovic ana ban kwenye soka ama anaandamwa. Iweje aandamwe juzi wakati yupo kitambo akiinua timu kutoka uingereza?
Umehamia man u kwa muda? Leo man u anapigwa,,bora aende futuhi kuliko kuwapa EPL, liver ndivyo furaha yao, kama unataka kuamini man city akishinda ,mashabik WA man u watafurahi kama walivyofanya WA Everton dhid ya city
Mkishinda nitumie namba yako pm nikufanyie Muamala.
HahahaSawa sisteri!
Ikumbuke na aseno basi
Hahaha, uchawi anaomroga jirani unamrudia mwenyewe!
Ana moyo dhaifu mno aseno wakifungwa lazima akimbieHahaha, uchawi anaomroga jirani unamrudia mwenyewe!