Thomas10
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 856
- 2,318
Hapa naweza kosahihisha kidogoLiverpool alishaukosa ubingwa toka alivyoshindwa kumfunga City
Ubingwa wa liver umeingia doa kweny droo mbili alizopata mfululizo kwa Leicester na Everton.
Game ya City si kwa percent hiyo
Kumbuka vizuri