Tayari City anaongoza hukoOllachuga
Aaroon
Southern Highland
Ile kamati yetu ya Mazishi msibani leo mnatusika wenyewe Mimi leo naisapoti timu ya kwenye Damu Sitahusika na mazishi yenu lakini kama ni mazishi ya Manchester city hapo tuko wote kama ni ya Manchester United HAPANA.
Pogba yupoMkuu tatzo kubwa mno la utd ni kukosa super strikers wanaoweza kubadl matokeo. Hiv vitoto naona km vishaanza kupoteana
Mkuu tatzo kubwa mno la utd ni kukosa super strikers wanaoweza kubadl matokeo. Hiv vitoto naona km vishaanza kupoteana
Pambaneni na hali yenuMpaka muda huu sisi Man United tuko vizuri.
Labda droo ya kabatiLukaku yupo mkuu, hii mechi inaisha Draw
I hate Ole but for this nampa 100%Mpira ushaisha huo hakuna tena maajabu...
Msimu uliopita mou aligoma kufanywa ngazi ya ubingwa wa city msimu huu ole kakubali kilaiiiiini kufanywa ngazi ya ubingwa wa city
.
Sasa naweza kulala.
Mashabiki wote wa Liverpool, nipm namba yako nitume kifuta machozi.
Glory Glory Manchester United.