Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huu utani wa kutukanana ufe. Sina mazoea ya hivyo mkuu

Nilishakwambia hujui kitu unababaika sana iga wenzio wana hoja bila matusi
njoo unywe juice...

Kosa lenu ni kutufananisha na psg pumbavu...

Nadhani ulimuona king alivo kuwa anafanya skills za makusudi kuwaonyesha muwe na heshima..


This is BARCA
 
Baadhi ya watu hawaelewi kununua na kuuza mchezaji ni long process

Baadhi wana suggest tuuze hata wachezaji 8

Na tununue hata wachezaji 6

Kuuza na kununua ni kitu kinachohitaji a lot of work, series of negotiations n.k

Sasa ndani ya msimu mmoja ufanye deals znayohusu wachezaji zaidi ya 10, na hapo unafanya negotions za kununua wachezaji muhimu katika timu nyingine na kuuza wachezaji ambao huwahitaji (pengine hawauziki)

Mfano kwa wale wenye kumbukumbu nzuri wanakumbuka Pogba's saga, Lindelof tulimtaka January tukampata summer, Fredy, Bailly wote hawakuwa rahisi kuwapata. Sasa kama wachezaji wachache tu walitupa tabu kuwapata, je reshaffle ya wachezaji zaidi ya kumi.

Mfano mwingine summer iliyopita tulitaka kum offload Darmian na Rojo lakini haikuwezekana

Hapo sijazungumzia negotiation na wachezaji tunaotaka kuendelea kuwa nao kama Degea n.k

Sio rahisi kiivyo
mkuu inaonekana wewe ni mgeni katika huu uzi?? mbona unayoongea wewe ndio yanayojadiliwa humu siku zote

of course tuna timu mbaya mbovu na haifai machoni kwa watu but huwezi ku offload eight or nine average players then ukapata eight or nine top players kwa wakati mmoja

kuwaondoa Smalling, Jone na Young kwa pamoja ni kitu ambacho hakiwezekani look Valencia na Darmian wataondoka wanahitaji replacement zao sasa imagine hao wengine waondoke maana yake msimu ujao tutahitaji wachezaji wasiopungua watano kwa nafasi ya ulinzi tu, sijui kama umenotisi concern yangu? tena kumbuka hiyo ni sehemu ya ulinzi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo mkishinda game mbili tu haya yote mnayasahau na hao hao wachezaji mnaanza kuwasifu
Hapana. Ndio maaana washabiki wametofautiana. Wako wanao ukubali ukweli( hawa ni wachache).. wako wanaokataa ukweli na kuishia kusifu.. hawa nddio wengi.
This time nimewaasa waukubali ukweli tu kuwa man u haina kikosi cha ushindani. Wanahitaj masssive revamp

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima tuheshimiane kwa kweli..

Ni kawaida yako kubwabwaja kujikuta mjuajivna siku zote uunapriviw wrong..
Huu utani wa kutukanana ufe. Sina mazoea ya hivyo mkuu

Nilishakwambia hujui kitu unababaika sana iga wenzio wana hoja bila matusi
 
Lingard nilikuja kumuona wakati anatoka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Martial ulimuona muda gani?

Manyumbu nzima alieonekana ni De Gea tu! Tena wakati anakojolewa hizo bao 3.

Pogba mpira ukamshinda akaanza kucheza kareti, mara anajitafutisha red ili atolewe Manyumbu yaanze kusema angekuepo Pogba tungeshinda
 
GGMU kama umeumia pole still am Man u fan haibadiliki hio.

Hii ni mara ya mwisho kukujibu popote pale JF coz hujui kitu unapanic mno,cheki hadi unakosea spelling

narudia tena BADO NAIAMINI MAN U.

Lazima tuheshimiane kwa kweli..

Ni kawaida yako kubwabwaja kujikuta mjuajivna siku zote uunapriviw wrong..
 
Tofauti ni kuwa furgie alikuwa na wachezaji wa kigeni wenye kueleweka. Hawa walifunika madudu ya waingereza pale man u. Ole hana wachezaji wa kigeni wa kueleweka ambao wanaweza funika man u.
Waingereza hawana vipaj vya kudumu sikuzote. Na hili nimekuwa nikisema siku zote. Wachezaji wakishasifiw na bbc tayari vichwa vinajaaaa kiwango kinakufa.

United lazima wakubai kuwa wanahitaji total overhaul ya team nzima. Hamna namna. Oherwise wataendelea ku struggle hiv hiv
Na ole ni shenzi pia ana viimani vya Ferguson vya kukumbatia vichezaji vya kiingereza visivyo na vipaji vikubwa. Ndio mana hadi sasa kila siku unasikia main target za man u kwenye dirisha kuu la usajili ni Sancho,Rice na Wan-Bisaka na hao ndio tuwategemee waje wajenge timu ya kiushindani Fuc...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasubiri kwa hamu kukesha jukwaa la liver na ule msemo wako wa kuita wachezaji usiowapenda mashoga mara lawama kwa kocha.

Anyway ASANTE ndo mpira ulivyo
Naona umetoka nje ya Rely!

Enewey pole sana kwa kuchakazwa
 
Pogba na degea wote hamna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana degea yuko vizuri.. ila angalia defence iliyokaa mbele yake.. defence ya kina smalling .. jones.. young..? Unatarajia messi akuache kweli?

Degea akipata defence kama ya liverpool..mancity..hutomfunga kirahis. Man u hawana defence ya kueleweka.

Pogba nae hana hawez kucheza mwenyewe pale middle. Lazima tukubaliane kuwa fred sio kiungo mkabaji. Ni namba nane kama pogba. Halaf mkabaji unategema tominay na wenzie? Kweli?

Hawa wachezaj ni wazuri ila wamezungukwa na shit players.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manyumbu mpira ukwashinda wakaanza kucheza kareti mara Pogba anarukia watu mateke.

Upande huu huku kuna mbuzi alivaa usongo kama steringi wa kihindi anahangaika kumsukuma Messi.

Halafu refa hakutoa kadi ili wajione walivyo wajinga
 
Mourinho alionewa tu kufukuzwa Man Utd, lkn kikosi chote ni uozo mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes indeed. Mou huendakuwa alikuwa haelewani na wachezaji lakin he had a point.
Man u hakuna wachezaji wa kushindania ubingwa. Bunch of average players.
Nusu ya timu ni uozo.. kuanzia defence na attack . Hakuna mchezaji wa kueleweka.
Lazima wasajili kama wanataka kushindana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe uwe man u uwe nani... Hainihusu.

Tatizo lako wewe mwanamke unajikuta mjuaji sana, naona umeamua kuamia kwenye typing error hahaha..

Sasa hivi utaamia kwenye avatar... Tulia dawa ikuingie.

Ujibu usijibu haitobadilisha kitu wala hainyimi usingizi..

Heshima lazima iwapo

THIS is BARCA
GGMU kama umeumia pole still am Man u fan haibadiliki hio.

Hio ni mara ya mwisho kukujibu popote pale JF coz hujui kitu unapanic mno,cheki hadi unakosea spelling

narudia tena BADO NAIAMINI MAN U.
 
Back
Top Bottom