mkuu inaonekana wewe ni mgeni katika huu uzi?? mbona unayoongea wewe ndio yanayojadiliwa humu siku zote
of course tuna timu mbaya mbovu na haifai machoni kwa watu but huwezi ku offload eight or nine average players then ukapata eight or nine top players kwa wakati mmoja
kuwaondoa Smalling, Jone na Young kwa pamoja ni kitu ambacho hakiwezekani look Valencia na Darmian wataondoka wanahitaji replacement zao sasa imagine hao wengine waondoke maana yake msimu ujao tutahitaji wachezaji wasiopungua watano kwa nafasi ya ulinzi tu, sijui kama umenotisi concern yangu? tena kumbuka hiyo ni sehemu ya ulinzi tu