Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

<We just need Chris Smalling to say to Messi in the tunnel before the match in his best broken Spanish "you be careful out there pretty boy" >

Sent using simu mbovu
 
Kama nawaona mnavyoomba Mungu awaepushie hiki kikombe!

Hiki ni cha kwenu.
hahahahaaaaa matokeo yetu dhidi ya PSG na juventus ugenini yametujaza hamasa ya kuwa tuna uwezo wa kuvuka kikombe cha messi,
muda huo huo pia yametujaza ujinga uliochanganyika na upumbavu ya kwamba tuendelee kutegemea comeback kila hatua.
 
hahahahaaaaa matokeo yetu dhidi ya PSG na juventus ugenini yametujaza hamasa ya kuwa tuna uwezo wa kuvuka kikombe cha messi,
muda huo huo pia yametujaza ujinga uliochanganyika na upumbavu ya kwamba tuendelee kutegemea comeback kila hatua.

Kwa kweli kwa zile comebacks mna haki ya kuwa na imani angalau ndogo.

Ila hiyo siyo ya kuitegemea kila mara. Nimawaamini mnapocheza huku odds zikiwa zinawakataa. Ila kwa Messi, mmh!
 
Kwa kweli kwa zile comebacks mna haki ya kuwa na imani angalau ndogo.

Ila hiyo siyo ya kuitegemea kila mara. Nimawaamini mnapocheza huku odds zikiwa zinawakataa. Ila kwa Messi, mmh!
hizi dakika 4 zilizobakia acha nimuombe muumba wa kenge, panya, sungura, nyumbu, twiga na wengineo ajaalie jordi alba apunguze zile kasheshe zake kama ilivyokuwa mechi ya kwanza.
 
LEO NAONA FULL MZIKI...LAZIMA WAKAE. LAKINI HAWA MAKOCHA WANAJITAFUTIA KUTIMULIWA WENYEWE, PALE KWA MARTIAL ANGEMUANZISHA LUKAKU AWASUMBUE MABEKI KWA MIPIRA YA JUU..KWA FORWARD ILIYOPO NAONA MIPIRA YOTE YA JUU PIQUE ATAIMILIKI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom