Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Udhaifu hauko kwa ole bali timu nzima.
Waingereza tabia ya kuwasifia wachezaji ambao ni average.. akina smalling.. akina rashford na wenzie.
Hawatokaa wafike mahali.
Ed woodward ubahil ubahil ibahil.. endelea kuleta uchaga kwenye timu iendeleee kufa... uliambiwa usajili wachezaji wakueleweka.. umesajili akina lukaku.. matokeo yake ndio haya.

Time to swallow your pride and take the pill man
Ukweli ni kwamba Barca wametuzidi kila kitu mkuu.

Udhaifu wa Ole ni kuviamini sana hivyo vitoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa amken bhana .....wamepigwa tRNA bhana
IMG-20190417-WA0003.jpeg
 
Wakati timu zimepangwa nani akutane na nani kuna hii kitu ikatokea Man U vs Barca. Naimani kila mmoja wetu alitegemea haya yaliyotokea yaani Man kubaki na Barca kuendelea.....

Kinyume na hapo ilikua ni maneno au hisia za kishabiki tu AU kutegemea maajabu ya Soccer kutokea ili Barca abaki na Man kwenda......

Hongereni kwa hatua mliyokua mmefikia maana % kubwa hawakutegemea kama mngefika robo fainal ya UC
 
Mmekuja nyumbani kwa watu tumewaonyesha sebleni, chooni hatukuwaonyesha. Mmeanza ku.nya kwenye maua. Shenzy kabisa na ole wenu tukutane awamu nyingine ngedere nyinyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Smalling akajinadi "Kuna kitu nimekigundua kwa Messi, nimeshapata dawa yake"

Gem inaanza.

Barca wanaoneshwa watatumia 4-3-3.

Mara Man U wanaoneshwa watatumia 4-3-3 pia.

Nikasema "Hawa mbuzi hawaijui Barca"

Gem ikaanza kwa mkwara.

Mambuzi yanajifanya yanashambulia.

Ole Sendeka akaoneshwa anajichekesha nje.

Vyuma vilivyoanza kuingia nikashangaa kugundua kumbe unaweza kupaki basi huku unatumia 4-3-3.

Nafurahi ile penati ilikataliwa ingekubaliwa mbuzi wangeishikilia kama sababu ya kufungwa.

Naomba tukumbuke kua ball possession Barca ni 67% na Man ni 37%. Mpaka dakika ya 75 Barca walikua wamepiga pasi 441 na Man u 224.

Goli la pili alilofungwa De Gea angepiga mchezaji mwingine yeyote yule angedaka. Na sifa angepewa kama kawaida.

Tatizo aliyepiga ni MESSI.

Piga Mbuzi hawa
 
Udhaifu hauko kwa ole bali timu nzima.
Waingereza tabia ya kuwasifia wachezaji ambao ni average.. akina smalling.. akina rashford na wenzie.
Hawatokaa wafike mahali.
Ed woodward ubahil ubahil ibahil.. endelea kuleta uchaga kwenye timu iendeleee kufa... uliambiwa usajili wachezaji wakueleweka.. umesajili akina lukaku.. matokeo yake ndio haya.

Time to swallow your pride and take the pill man

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ole ni shenzi pia ana viimani vya Ferguson vya kukumbatia vichezaji vya kiingereza visivyo na vipaji vikubwa. Ndio mana hadi sasa kila siku unasikia main target za man u kwenye dirisha kuu la usajili ni Sancho,Rice na Wan-Bisaka na hao ndio tuwategemee waje wajenge timu ya kiushindani Fuc...!
 
Smalling akajinadi "Kuna kitu nimekigundua kwa Messi, nimeshapata dawa yake"

Gem inaanza.

Barca wanaoneshwa watatumia 4-3-3.

Mara Man U wanaoneshwa watatumia 4-3-3 pia.

Nikasema "Hawa mbuzi hawaijui Barca"

Gem ikaanza kwa mkwara.

Mambuzi yanajifanya yanashambulia.

Ole Sendeka akaoneshwa anajichekesha nje.

Vyuma vilivyoanza kuingia nikashangaa kugundua kumbe unaweza kupaki basi huku unatumia 4-3-3.

Nafurahi ile penati ilikataliwa ingekubaliwa mbuzi wangeishikilia kama sababu ya kufungwa.

Naomba tukumbuke kua ball possession Barca ni 67% na Man ni 37%. Mpaka dakika ya 75 Barca walikua wamepiga pasi 441 na Man u 224.

Goli la pili alilofungwa De Gea angepiga mchezaji mwingine yeyote yule angedaka. Na sifa angepewa kama kawaida.

Tatizo aliyepiga ni MESSI.

Piga Mbuzi hawa
Mdau sie wabovu sawa ila aseno ni wabovu zaidi yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom