Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,042
- 51,593
Udhaifu hauko kwa ole bali timu nzima.
Waingereza tabia ya kuwasifia wachezaji ambao ni average.. akina smalling.. akina rashford na wenzie.
Hawatokaa wafike mahali.
Ed woodward ubahil ubahil ibahil.. endelea kuleta uchaga kwenye timu iendeleee kufa... uliambiwa usajili wachezaji wakueleweka.. umesajili akina lukaku.. matokeo yake ndio haya.
Time to swallow your pride and take the pill man
Sent using Jamii Forums mobile app
Waingereza tabia ya kuwasifia wachezaji ambao ni average.. akina smalling.. akina rashford na wenzie.
Hawatokaa wafike mahali.
Ed woodward ubahil ubahil ibahil.. endelea kuleta uchaga kwenye timu iendeleee kufa... uliambiwa usajili wachezaji wakueleweka.. umesajili akina lukaku.. matokeo yake ndio haya.
Time to swallow your pride and take the pill man
Ukweli ni kwamba Barca wametuzidi kila kitu mkuu.
Udhaifu wa Ole ni kuviamini sana hivyo vitoto.
Sent using Jamii Forums mobile app