Man U ya mwaka gani ingeifunga Barcelona?Guys tupumzike ili kesho watakaopata nafasi wanaweza kuichambua hii game hatua kwa hatua japo mimi nilikuwa siamini kabisa kama Barca wanaweza kutufunga kwa idadi ya mabao yoyote, kama tungefungwa hii game basi ingekuwa kwa matuta baada ya ubao kusoma dk 120.
Niliamini game ingekuwa ngumu sana, hii Barca iliyotufunga sio ile ambayo naijua mimi... Barca hii ni dhaifu ikikutana na timu inayoweza kutulia na mpira, Barca wanakufa!
United kinachotugharimu ni uzembe na kukosa utulivu kwa wachezaji, kuna wakati na miss sana life style aliyokuwa anaishi Jose pale United, watu wanajiandaa kwenda kwenye game, lakini hakuna mchezaji mwenye uhakika wa kuanza kikosi cha kwanza... Yale maisha ya Jose ni bora kuliko maisha tunayoishi sasa hatuna amani, ukiona list ya kikosi cha kwanza unabaki mdomo wazi. Wachezaji wanaotakiwa kupewa nafasi kwenye game muhimu wanachomeshwa mahindi dah leo nimepata maumivu makubwa sana!
Dunia ikasimama?Leo dunia itasimama, nadhani kitendo cha Barcelona watu hawataamini pamoja na ubovu wa timu ila leo Barca hachomoki, GG Man United!
whaaaaaaat?Leo dunia itasimama, nadhani kitendo cha Barcelona watu hawataamini pamoja na ubovu wa timu ila leo Barca hachomoki, GG Man United!
Lingard nilikuja kumuona wakati anatoka tuLukaku kwanza anajitahidi kiasi mkuu,,,,,,,,,,,,,,Kuna watu kama Lingard, Phil jones, Smalling aisee ni shida
Leo dunia itasimama, nadhani kitendo cha Barcelona watu hawataamini pamoja na ubovu wa timu ila leo Barca hachomoki, GG Man United!
Hahahaha utoe draw na Barca unapogba anaanzishiwa mpira na degea anapiga shuti kumjaribu terstergen?Guys tupumzike ili kesho watakaopata nafasi wanaweza kuichambua hii game hatua kwa hatua japo mimi nilikuwa siamini kabisa kama Barca wanaweza kutufunga kwa idadi ya mabao yoyote, kama tungefungwa hii game basi ingekuwa kwa matuta baada ya ubao kusoma dk 120.
Niliamini game ingekuwa ngumu sana, hii Barca iliyotufunga sio ile ambayo naijua mimi... Barca hii ni dhaifu ikikutana na timu inayoweza kutulia na mpira, Barca wanakufa!
United kinachotugharimu ni uzembe na kukosa utulivu kwa wachezaji, kuna wakati na miss sana life style aliyokuwa anaishi Jose pale United, watu wanajiandaa kwenda kwenye game, lakini hakuna mchezaji mwenye uhakika wa kuanza kikosi cha kwanza... Yale maisha ya Jose ni bora kuliko maisha tunayoishi sasa hatuna amani, ukiona list ya kikosi cha kwanza unabaki mdomo wazi. Wachezaji wanaotakiwa kupewa nafasi kwenye game muhimu wanachomeshwa mahindi dah leo nimepata maumivu makubwa sana!
2-3 mkuu, hutaamini
Mbwa ukimjua jina hata hakusumbui
Walivyomtoa damu Messi game ya Kwanza si mlisikika mkisema waongezewe mshahara na wapewe mikataba mipyaNitaacha kushabikia Man Utd msimu ujao kama Young, Jones na Smalling wataendelea kuwa mabeki wa timu yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu asee
Hahaha wanajua kweli kupamba mavi mauaUtaskia wanasema Herrera ni said ya Hazard
Messi anatapa sifa za bure tu kwa mabao ya kisenge dah nimeumia sana!
Alafu uwanja kama uliongezwa ukubwaBarcelona kama wamezidi uwanjani
Leo tuna nini guys, mabao yote ya kisenge dah ndani ya dk 20 tumekufa kifo cha mende!
Presha but still naiamini Man u