Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man U ya mwaka gani ingeifunga Barcelona?

Tatizo la mashabiki wa Man U ndio hili. Wakifungwa tu wanageuka wachambuzi.
 
Hahahaha utoe draw na Barca unapogba anaanzishiwa mpira na degea anapiga shuti kumjaribu terstergen?
Ndyo ujue uchambuzi wako ni wa kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Messi siku zote anafanya mpiraaa uonekane rahisi,, chuki binafsi haifai.. Kipa gani hajammtoboa hadi sasa?
Messi anatapa sifa za bure tu kwa mabao ya kisenge dah nimeumia sana!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njoo unywe juice...

Kosa lenu ni kutufananisha na psg pumbavu...

Nadhani ulimuona king alivo kuwa anafanya skills za makusudi kuwaonyesha muwe na heshima..


This is BARCA
Presha but still naiamini Man u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…