Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,019
Mkuu tushafungwa 2 bila bora tufungwe tu tupate mda wa kujiandaa vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tushafungwa 2 bila bora tufungwe tu tupate mda wa kujiandaa vizuri
RelaxWatu kimyaaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mendy angekuwa mzuri kiasi hicho City wasingeingia sokoni kumtaja Ben chill well na kitakacho kuniweka mendy sokoni..... Mnabwabwaja hamjui soka wala nini wakuu mnaongea kishabiki sana.... Mendy ni kati ya weakness kubwa ya city jamaa hawezi defend kwakiasi hicho na anaassist nyingi sababu ya mchezo wanaocheza city tu ila sio Kama anauwezo wa juu
Sent using Jamii Forums mobile app
2-3 mkuu, hutaamini
Hii MUFC inayopata ushindi wa kubahatisha kwa West ham ndio ikatoe upinzani kwa Barca?
Wote tulijua nini kitatokea.
Hali ni tete. Mess anaonyeshwa kuliko Young
Mkuu tushafungwa 2 bila bora tufungwe tu tupate mda wa kujiandaa vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Never ob earthNyinyi man u tuliwaambiaga mourinho si tatizo, tatizo ni michezaji yenu hiyo haina viwango
sasa leo munabugizwa 6-0
Presha but still naiamini Man u
Ni sawa na kuamini wanasiasa wa TanzaniaImani nyengine zinataka moyo!



Dakika ya 35' 2-0, mpira si siasa...unakumbuka game ya kwanza ya PSG ?