Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hiyo sub ya Alexis nafasi ya Lingard ilikuwa toka dakika ya 50 siyo sasa.
 
1. Ole Gunnar Solskjaer OUUUUT,
2. Tunacheza premier league tunashinda kwa shida dhidi ya West ham, tukiuliza wachezaji wakubwa wako wapi tunaambiwa wanatunzwa kwa ajili ya UEFA .
3. Ikifika siku ya UEFA wanakaa tena benchi, huyu sio kochaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi nawaomba barca watupige ata tano ili watu washtuke usingizini man u ya sasa ni uchafu mtupu timu inabid ipigwe ili tujue tuna matatizo kibao leo naomba ata bahati uwe upande wa barca watufunge kisawasawa

Huwezi kuwa mshindani na kikosi na wachezaji wapuuzi kama wetu

Eti huyu young ni wa kumuongezea mkataba mpya kweli??, martial??? Eyi rashford nae anadai mshahara mkubwa shubamiit ungeseungese tu wanafsnya uwanjani!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni kweli kabisa aise...pesa zipo za kununua classic players sijui tatizo ni nini...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom