Yaani gemu ya Man city pale old Traford inatakiwa washinde maana watamchomoa nani kati ya Tottenham na Nyie?? Tottenham hata akipigwa na man City bado anakuwa juu ya man Utd kwa goal difference na nakwambia man utd ya msimu huu haina ubavu wa kupambana na Spurs kwenye magoli
Kama Alexis na Lukaku hawapati chance Leo, watakuwa na haki 100% ya kutaka kuondoka OT. Yaani OGS anamuamini Dalot kuliko wao tena kwenye game inayohitaji magoli 4 ndani ya nusu SAA kwa Barca?
Kuna mtu man u lia lia leo aliniambia final ucl ni man u na juve,sijui ana hali gani huko aliko,maana hapa naziona hamsaa zile zinakuja,hapa cha kufanya ni kumuomba "magician" messi awe na roho ya huruma kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.