Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naendelea kufatilia hii mechi simwoni mchezaji wetu hata mmoja anaeingia kwenye kikosi cha barca sasa hata mmoja.
Hawa wachezaji wetu hawana uwezo kabisa hawatulii na mpira hawafungui ni kama vile hawajawai kucheza pamoja nk

Barca naomba mtupige vizuri ili mashabiki wafinguke macho na waache kuwapaisha wachezaji wetu wakati ni uozo mtupu man u kutid kwenye ubora inabid tussjili upya


Sent from my iPhone using JamiiForums
Degea anaweza ingia kama goal keeper namba 3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu maneno yako yapi

Mbona unataka uoneshe kama ulitabiri ubora wa Barca wakati hata mtoto mdogo ungemuuliza angesema Barca ni bora

Labda tofauti yako na wengine, ni kwamba wengine wamebaki na imani kwamba lolote linaweza kutokea lakini wewe huamini

Ndio maana mechi PSG pia ulifeli kwenye utabiri wako, ndio maana na Juve kule Italy pia ulifeli kwenye utabiri wako maana kwa mtazamo wako najua ulisema Man atapigwa hizo mechi 2



Sent using Jamii Forums mobile app
Mnagona sababu ya nn wakuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na leo matatizo yameonekana. Niliwaaambia watu hum waishi kwa uhalisia.
Hii ndio man u ilipofikia.. defence ya hovyo.. kiungo hawaelewani.
Attacking ndio usiseme. Kama man u wanataka kushindana lazima waondoe defence nzima isipokuwa shaw na lindelof.
Kiungo wattfutwe wingers wanaoeleweka.
Forwrd yote wafukuzwe. Waafutwe wanaoeleweka otherwise wataishi kujinasib kwenye mageti ya uingereza.. huku wakiambulia aibu.
Mkuu mimi nawaomba barca watupige ata tano ili watu washtuke usingizini man u ya sasa ni uchafu mtupu timu inabid ipigwe ili tujue tuna matatizo kibao leo naomba ata bahati uwe upande wa barca watufunge kisawasawa

Huwezi kuwa mshindani na kikosi na wachezaji wapuuzi kama wetu

Eti huyu young ni wa kumuongezea mkataba mpya kweli??, martial??? Eyi rashford nae anadai mshahara mkubwa shubamiit ungeseungese tu wanafsnya uwanjani!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu maneno yako yapi

Mbona unataka uoneshe kama ulitabiri ubora wa Barca wakati hata mtoto mdogo ungemuuliza angesema Barca ni bora

Labda tofauti yako na wengine, ni kwamba wengine wamebaki na imani kwamba lolote linaweza kutokea lakini wewe huamini

Ndio maana mechi PSG pia ulifeli kwenye utabiri wako, ndio maana na Juve kule Italy pia ulifeli kwenye utabiri wako maana kwa mtazamo wako najua ulisema Man atapigwa hizo mechi 2



Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu wewe endelea kuwa na imani kuwa lolote linaweza kutokea mimi siendeshwi na iman kikosi chetu ni kibovu fungua macho machexaji hsyajitumi bodi nayo ni ungeseungese tu wanafanya.
Ashley young ni wa kumpa mkataba?? Jones?? Kweli martial ni wa kumpa mkataba mnono??? Rashford nae anadai pesa ndefu?? Herera anayepambania timu ni wakukataa kumwongezea pesa?? Na kuwapa hawa waingereza priority?? Ukija kweny media wanasifiwa sana na nyie mashabiki mnaoendeshwa na iman na sio uhalisia.

Nakwambia pia top four hatuingii bado kuna aibu ya man city inakuja wewe endelea kuwa na imani na hawa wapuuz wasiopambana na kujitoa .

Mourinho iman na hawa wapuuzi ilimwishia akawachana ukweli tukamwona mchawi kaja ole anawaamini anawapa moyo anawabembeleza mwanzoni kuonesha morinyo ni tatizo walijitoa sana sasa vibe limekata wameshapata mikataba na ole wao wanachexa ungese tu

Kwa mpira tuliouonyesha leo ni dhahiri kuwa hapa tulipofika tulibahatisha tuna hatukustahili kabisa!!

Sijaona mchezaj yoyote leo wetu anaweza kuanza kwenye kikosi cha barca labda uniambie wewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naendelea kufatilia hii mechi simwoni mchezaji wetu hata mmoja anaeingia kwenye kikosi cha barca sasa hata mmoja.
Hawa wachezaji wetu hawana uwezo kabisa hawatulii na mpira hawafungui ni kama vile hawajawai kucheza pamoja nk

Barca naomba mtupige vizuri ili mashabiki wafinguke macho na waache kuwapaisha wachezaji wetu wakati ni uozo mtupu man u kutid kwenye ubora inabid tussjili upya


Sent from my iPhone using JamiiForums
Inaonyesha timu yetu haifundishi wachezaji kukaa na mpira zaidi Bali kukimbia kimbia zaidi. Hizi ni falsafa za ferg na huyu amezileta kwenye zama hizi,tusitegemee kuwa comfortable tutapocheza na timu zinazomiliki zaidi mpira
 
Back
Top Bottom