Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

View attachment 823085
Full name: Manchester United Football Club

Nickname(s): The Red Devils

Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.

League: Premier League

Website: ManUtd.com


View attachment 823091
Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m


View attachment 827629
Co-Chairmen: Joel na Avram Glazer

View attachment 975419
Manager: Ole Gunnar Solskjaer

Manchester United Trophies:
League Tittles: 20

First Division/Premier League Champions: 20 (1907/08, 1910/11, 1951/52, 1955/56, 1956/57, 1964/65, 1966/67, 1992/93, 1993/94, 1995/96, 1996–97, 1998/99, 1999/2000, 2000/01, 2002/03, 2006/07, 2007/08, 2008/09, 2010/11, 2012/13)

European Trophies: 6
UEFA Champions League: 3 (1967/68, 1998/99, 2007/08)
UEFA Europa League: 1 (2016/17)
UEFA Super Cup: 1 (1991)
UEFA Cup Winners': 1 (1990/91)

FA Cup Trophies: 12 (1908/09, 1947/48, 1962/63, 1976/77, 1982/83, 1984/85, 1989/90, 1993/94, 1995/96, 1998/99, 2003/04, 2015/16)

League Cup: 5 (1991/92, 2005/06, 2008/09, 2009/10, 2016/17)

Community Shield: 21
FA Charity Cup/FA Community Shield: (1908, 1911, 1952, 1956, 1957, 1965, 1967, 1977, 1983, 1990, 1993, 1994, 1996, 1997, 2003, 2007, 2008, 2010, 2011, 2013, 2016)

Other Trophies
Second Division Championship: 2 (1935/36, 1974/75)
Intercontinental Cup: 1 (1999)
FIFA Club World Cup: 1 (2008)

View attachment 827615
Manchester United Trophies' Cabinet

View attachment 514134
Manchester United Football Club celebrate as they Crowned Europa League Winners(2016/17)

Follow this thread for team updates!
Kiungo wa Manchester United na timu ya taifa ya Ufaransa Paul Pogba, 26, ambaye bado anahusishwa na Real Madrid anataka mshahara wa pauni 500,000 ili kuendelea kubaki Old Trafford. (Sun

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiungo wa Manchester United na timu ya taifa ya Ufaransa Paul Pogba, 26, ambaye bado anahusishwa na Real Madrid anataka mshahara wa pauni 500,000 ili kuendelea kubaki Old Trafford. (Sun

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamruhusu aondoke huyu dogo asijione yeye ni kubwa kuliko team messi mwenyewe halipwi huo mshahara iwe pogba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pogba anaumwa ugonjwa wa kupenda hela. Moneyphiliosis.
Hahaha,Dunia ya sasa watakwambia Pesa Kwanza.

Kwanini tusikifirie labda Paul anatumia Mawazo ya bwana Mholanzi Rud van, Kwamba Man united haina mpango wa kushindana bali inampango wa kushiriki.

Jambo la Muhimu na kubwa kwa wachezaji walio wengi ni kunyakua mataji na medali.

Man United kipindi cha mpito sasa kimeonekana kuzoeleka na hakina suluhisho.
Hivi sasa Ukimuuliza shabiki wa Man u kama klabu kubwa duniani lini inaweza kutwaa Epl au UEFA,kinabaki ni kigugumizi.

Paul labda anaiona AC Milan,Arsenal,liver na inter Mpya ndani ya OT imeshawadia.

Familia ya glazer na Mwenzie Ed Wanatufanyia Uhuni hawa Watu.

Kama timu haina mwelekeo wala mipango ya kueleweka,yanini kupoteza Kipaji na muda...??

Asilimia 75 ya Wachezaji( kwa uchache darmian,Smalling,Jones,Young,)wa Man united hawapaswi kuwapo hapo mpaka hivi sasa peleka Ipswich na Blackburn Rovers wasaidie jahazi huko.


Ole kwa Mtazamo Wangu ni Mr.Yes Man.

Degea na Pogba wakiona wanapoteza muda na vipaji vyao OT,Mimi nawaunga mkono Asilimia zote.

Uhuni wa familia ya Glazer inamwisho.
Young Mkataba
Jones Mkataba
Smalling Mkataba, WTF..??????Oooh shittty.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wanaoendelea kumtetea Woodward, Kocha msaidizi Mike phelan amekataa kusaini hadi mfumo wa management ubadilishwe.
https://www.dailymail.co.uk/sport/f...agreeing-stay-Ole-Gunnar-Solskjaers-No-2.html

So moyes, lvg, Mou, na sasa Phelan wote wanaongea same thing bado mnafikiri tatizo ni makocha wetu?

Anataka
-mascout wapunguzwe
-mawasiliano yanayoeleweka baina ya benchi la ufundi na wamiliki na uongozi wa utd.
-director wa football etc
 
Wapuuzi sana hawa waingereza na Media zao
1063394
media zao pamoja na wachambuzi wao wa soka wenye ufahamu na wale wanaojitoa ufahamu kwa mapenzi yao binafsi ya timu zao walizowahi kuzichezea pamoja na utaifa wao kwa kiasi kikubwa wanawafanya raia wao wawe na sifa takribani tatu.
  1. wawe na gharama kubwa unapowahitaji hususani timu kubwa.(overpriced)
  2. wengi wao wanawapa sifa nyingi pasina ukweli wa sifa hizo.(overrated)
  3. wanawatangaza sana japo hili si vibaya kwa sababu ni wachezaji wa nyumbani (overhyped)
mchezaji wa kiingereza akiwa na kipaji kidogo cha soka bei yake inakuwa kubwa sana kwa sababu vijana wengi wa kiingereza hawana vipaji halisi vya soka, inamaana kama uzalishaji wa vipaji ni mdogo na mahitaji ni makubwa lazima bei iwe kubwa halafu kwa mujibu wa sheria ni lazima uwe na wachezaji 8 waliokulia uingereza kama nitakuwa nipo sahihi.

naamini kama utawakusanya wachezaji 20 wa kiingereza wanaochipukia ambao wanacheza eneo la kiungo basi utapata mchezaji mmoja tu mwenye skills, intelijensi ya soka na kwa taifa kubwa huu ni udhaifu mkubwa wa kimfumo.

lakini ukienda nchi kama spain, brazil, germany, netherland na nchi nyenginezo wanazalisha vipaji mara kwa mara na si kwamba eti hawana media za kuwapa promo wachezaji wao wawe ghali bali wanafanya hivyo kupunguza mzigo wa wachezaji wasiokuwa na timu za uhakika za kuchezea, hivi jamani utawasifu akina neymar wangapi nchini brazil kila baada ya muda mchache?

tukija kwenye ishu ya man united binafsi sichukizwi na wachezaji wa kiingereza wenye vipaji (technically gifted or talented) ambao wana kitu muhimu zaidi wanachoweza kukupa ndio maana sijawahi kuwaponda wayne rooney, paul scholes, steven gerrard, frank lampard, joe cole, ferdinand, terry, robbie fowler, michael owen, shearer, andy cole na wote hao nimewashuhudia wakicheza tokea mwaka 2001.

nachukizwa na wale wasiokuwa na maajabu makubwa ya kisoka either technically or talent , ni ujinga kulipa hela nyingi sana kwa mchezaji wa kiingereza ambaye uwezo wake wa kisoka hauna tofauti na mchezaji wa nchi za dunia ya tatu, ni lazima kama tunataka tuondoke kwenye huu mkwamo tunahitaji kuacha huu utamaduni wetu wa kukumbatia wenye underdog mentality kwa sababu ya utaifa na man united utaifa upo tokea nyakati za fergie japokuwa mwenyewe hajawahi kukiri hadharani.

jaribu kuangalia timu kama barcelona, bayern munich zote hizi zimejaza wachezaji wazawa wenye uwezo wa kujisimamia bila ya kutegemea msaada mkubwa kutoka kwa wageni tofauti na wachezaji wengi wa kiingereza ambao wengi wao wanasukumwa zaidi na wachezaji wa kigeni.

wakati wewe unalipa paundi millioni 35 kwa ajili ya mpuuzi andy carroll mwenzako analipa paundi millioni 27 kwa ajili ya robert lewandowski yule mwenye miaka 24 je nani ameramba dume?
wakati wewe unahangaika kumsajili declan rice or eric dyer kwa pound millioni 40 haliyakuwa hawana utofauti wowote na scott mctominay kimpira mwenzako anakwenda kumsajili ndombele, pjanic, koke, matuidi, de jong je yupi amepata zaidi?

ashley young, phil jones, smalling, luke shaw, scott mctominay, jesse lingard, marcus rashford, angel gomez na gardner jamani tayari tushatimiza wachezaji 8 wa kiingereza na wameshatosha kwenye kikosi chetu cha kwanza tusitafute wengineo waliojaaliwa zaidi kipaji cha kupiga square pass kama mchezaji wa uswahilini kwetu labda awe jadon sancho kidogo ana muelekeo ikiwa hatovimba kichwa hapo mbeleni.

wakati wenzetu liverpool wameshachoshwa na captain henderson cha ajabu sisi bwana phil neville anatuvumishia stori za eric dyer, kadri tutakavyowakumbatia wachezaji aina ya dyer, rice ndivyo tutakavyozidi kudhalilishwa na timu zinazoweza kumiliki mpira na pressing ya hali ya juu kama liver, city, psg,barcelona.

tujisahihishe bado hatujachelewa naamini sheria bado hazijalazimisha wachezaji wa kiingereza wacheze kikosi cha kwanza kwa takwimu maalum.



 
Kocha wa Man United Ole Gunnar Solskjaer anapendelea kusajili wachezaji wengi zaidi kutoka Uingereza. Na mpaka sasa anawanyemelea kiungo wa West Ham Declan Rice, 20, winga kinda wa Chelsea Callum Hudson-Odoi 18, pamoja winga wa Crystal Palace Aaron Wan-Bissaka, 21. (Times)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
media zao pamoja na wachambuzi wao wa soka wenye ufahamu na wale wanaojitoa ufahamu kwa mapenzi yao binafsi ya timu zao walizowahi kuzichezea pamoja na utaifa wao kwa kiasi kikubwa wanawafanya raia wao wawe na sifa takribani tatu.
  1. wawe na gharama kubwa unapowahitaji hususani timu kubwa.(overpriced)
  2. wengi wao wanawapa sifa nyingi pasina ukweli wa sifa hizo.(overrated)
  3. wanawatangaza sana japo hili si vibaya kwa sababu ni wachezaji wa nyumbani (overhyped)
mchezaji wa kiingereza akiwa na kipaji kidogo cha soka bei yake inakuwa kubwa sana kwa sababu vijana wengi wa kiingereza hawana vipaji halisi vya soka, inamaana kama uzalishaji wa vipaji ni mdogo na mahitaji ni makubwa lazima bei iwe kubwa halafu kwa mujibu wa sheria ni lazima uwe na wachezaji 8 waliokulia uingereza kama nitakuwa nipo sahihi.

naamini kama utawakusanya wachezaji 20 wa kiingereza wanaochipukia ambao wanacheza eneo la kiungo basi utapata mchezaji mmoja tu mwenye skills, intelijensi ya soka na kwa taifa kubwa huu ni udhaifu mkubwa wa kimfumo.

lakini ukienda nchi kama spain, brazil, germany, netherland na nchi nyenginezo wanazalisha vipaji mara kwa mara na si kwamba eti hawana media za kuwapa promo wachezaji wao wawe ghali bali wanafanya hivyo kupunguza mzigo wa wachezaji wasiokuwa na timu za uhakika za kuchezea, hivi jamani utawasifu akina neymar wangapi nchini brazil kila baada ya muda mchache?

tukija kwenye ishu ya man united binafsi sichukizwi na wachezaji wa kiingereza wenye vipaji (technically gifted or talented) ambao wana kitu muhimu zaidi wanachoweza kukupa ndio maana sijawahi kuwaponda wayne rooney, paul scholes, steven gerrard, frank lampard, joe cole, ferdinand, terry, robbie fowler, michael owen, shearer, andy cole na wote hao nimewashuhudia wakicheza tokea mwaka 2001.

nachukizwa na wale wasiokuwa na maajabu makubwa ya kisoka either technically or talent , ni ujinga kulipa hela nyingi sana kwa mchezaji wa kiingereza ambaye uwezo wake wa kisoka hauna tofauti na mchezaji wa nchi za dunia ya tatu, ni lazima kama tunataka tuondoke kwenye huu mkwamo tunahitaji kuacha huu utamaduni wetu wa kukumbatia wenye underdog mentality kwa sababu ya utaifa na man united utaifa upo tokea nyakati za fergie japokuwa mwenyewe hajawahi kukiri hadharani.

jaribu kuangalia timu kama barcelona, bayern munich zote hizi zimejaza wachezaji wazawa wenye uwezo wa kujisimamia bila ya kutegemea msaada mkubwa kutoka kwa wageni tofauti na wachezaji wengi wa kiingereza ambao wengi wao wanasukumwa zaidi na wachezaji wa kigeni.

wakati wewe unalipa paundi millioni 35 kwa ajili ya mpuuzi andy carroll mwenzako analipa paundi millioni 27 kwa ajili ya robert lewandowski yule mwenye miaka 24 je nani ameramba dume?
wakati wewe unahangaika kumsajili declan rice or eric dyer kwa pound millioni 40 haliyakuwa hawana utofauti wowote na scott mctominay kimpira mwenzako anakwenda kumsajili ndombele, pjanic, koke, matuidi, de jong je yupi amepata zaidi?

ashley young, phil jones, smalling, luke shaw, scott mctominay, jesse lingard, marcus rashford, angel gomez na gardner jamani tayari tushatimiza wachezaji 8 wa kiingereza na wameshatosha kwenye kikosi chetu cha kwanza tusitafute wengineo waliojaaliwa zaidi kipaji cha kupiga square pass kama mchezaji wa uswahilini kwetu labda awe jadon sancho kidogo ana muelekeo ikiwa hatovimba kichwa hapo mbeleni.

wakati wenzetu liverpool wameshachoshwa na captain henderson cha ajabu sisi bwana phil neville anatuvumishia stori za eric dyer, kadri tutakavyowakumbatia wachezaji aina ya dyer, rice ndivyo tutakavyozidi kudhalilishwa na timu zinazoweza kumiliki mpira na pressing ya hali ya juu kama liver, city, psg,barcelona.

tujisahihishe bado hatujachelewa naamini sheria bado hazijalazimisha wachezaji wa kiingereza wacheze kikosi cha kwanza kwa takwimu maalum.

wakuu munakumbuka kipindi kile sheikh rio ferdinand mnamo mwaka 2004 amefungiwa miezi 8 nafasi yake ikawa inazibwa na wes brown, neville brother😛😛😛(flashback)




Mkuu Eric Dier ni mmoja katika viungo wazuri sana na wenye vipaji vikubwa ambao ni waingereza
 
Back
Top Bottom