Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Bado. Kuna wapuuzi watatu kule nyuma wakuwatimua.Kumekucha, naona leo BBC na Sky na magazeti mengine wanaripoti kwamba kuna uwezekano wa Man United akaachana na wachezaji 6 au zaidi katika dirisha la usajili lililo mbele yetu
1. Juan Mata (Barcelona bure)
2. Ander Herrera (PSG bure)
3. Antonio Valencia (Anaondoka Bure)
4. Mateo Darmian ((Hayupo kwenye mipango ya kocha)
5. Rojo (Yupo sokoni)
6. Bailly (Hajamshawishi kocha)
Wengine lakini kuna vikwazo
7. Degea (Makubaliano ya mkataba ndio kikwazo)
8. Alexis (Hauziki sababu ya mshahara mkubwa anaolipwa)
Je hii ndio overhaul tunayoitaka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app