Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Yawezekana Man u inawachezaji wenye viwango vizuri tu ila hawako organized as a team na huenda ikahitaji squad overhaul kutengeneza timu nzuri tofauti na hapo tutaendelea kupotea kadri siku zinavyokwenda.Hofu yangu ilikua ni united ile tunayoijua, ikatufanya tutambe, tushinde mataji ya ligi consecutively, mfululizo, ile united yenye timu ya kuaminika, haitakuja kurudi kamwe!! Na kama ikirudi basi itakuwa baada ya miaka ambayo tutakuwa wazeee kabisa, wasiwasi wangu ni kwamba we are doing a liverpool, na pengine tutakuwa zaidi ya walivosota liverpool,
Hofu yangu naiona ikisogea kuwa kweli, taratibu, ni vema sasa tukakubaliana na hali halisi,
Inaumiza sana pale ambapo unalipa wachezaji mapaundi ya pesa kila wiki, halafu wanakua-outclassed na wachezaji wanaolipwa hata robo ya mshahara wao haufiki, hii ni game ya nne sasa tunacheza hovyo, hata vs watford tulikua hovyo,
We need a miracle kuwafikia city na liverpool ya msimu huu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini tutambue pia EPL inaendelea kuwa ligi ngumu sana kadri siku zinavyokwenda timu zimewekeza nyingi kiasi cha kubadili kabisa atmosphere ya ligi.
Hebu tuangalie the Ferguson Era kulikuwa na top four contenders wanne tu Liverpool, Man u Arsenal na Chelsea Leo hii kuna contenders sita kwa hali ya kawaida lazima kuwe na mtifuano mkubwa.
By the way msimu huu tuliupoteza from the beginning tukubali kuretreat na kwenda kujipanga upya.
Sent using Jamii Forums mobile app