mr94
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 286
- 309
Bado unaitamani???
Sent using Jamii Forums mobile app
good to see Mata on the bench
naitamani Barca.
Sent using Jamii Forums mobile app
good to see Mata on the bench
naitamani Barca.
lakini mkuu hata ukiangalia hao wachezaji aliowaleta wakati wa utawala wake pindi alipokuja jose mourinho ni wachache sana walioingia kwenye kikosi cha kwanza huku wengi wao wakiwa ni failure.Lvg hakupewa hela za usajili wa kuimarisha Timu bali za kureplace wachezaji, anapewa timu hali ya kuwa mabeki watatu wa kutegemewa ndani ya club wanaondoka kwa mpigo, Vidic, Rio na Evra, midfield nao wanaondoka kina scholes, fletcher etc alibaki carrick, Giggs kastaafu, timu haina quality kabisa, ukiangalia usajili wa LVG alileta tu squad players kina shaw, Herrera, blind etc hao kina Di maria, Falcao etc waliletwa tu na timu kocha alikuwa na Target zake Muller, Robben Etc.
Ha ha haAcha kumdanganya mwenzako.
Jana nilikua naangalia gemu yenu na mwenzenu wa Man U. Ikaja ile faulo ambayo refa akatoa red.
Akaanza "Yule kapewa red kwakua alikua beki wa mwisho" nikamwambia "Red itatoka kokote kutegemea na dhamira ya mcheza faulo. Mfano kama huyu angefuata mpira angepewa njano"
Akaanza makelele. Sa mi si nnajua man u wengi mpira hamjui mmezoea kubebwa na marefa nikamuacha. VAR ikaonyesha ile ni yellow.
Akaanza tena "Ujue kagewa yellow kwakua alikua kakunja miguu hakuikunjua"
Tukamfukuza.
Kinachokwamisha mpaka sasa asipewe mkatàba ni nin?
Katika gem zake zote kashinda kapigwa gemu mbili tu ..hivyo ni wastanu mzuri apewe timu tu ili tuendelee kufurahi zaid..
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Lvg hakupewa hela za usajili wa kuimarisha Timu bali za kureplace wachezaji, anapewa timu hali ya kuwa mabeki watatu wa kutegemewa ndani ya club wanaondoka kwa mpigo, Vidic, Rio na Evra, midfield nao wanaondoka kina scholes, fletcher etc alibaki carrick, Giggs kastaafu, timu haina quality kabisa, ukiangalia usajili wa LVG alileta tu squad players kina shaw, Herrera, blind etc hao kina Di maria, Falcao etc waliletwa tu na timu kocha alikuwa na Target zake Muller, Robben Etc.
2.Hio 600 unayoitaja ina double counting kibao, mfano Di maria kanunuliwa kwa 60m kisha kauzwa kwa 45m hela yake ikanunuliwa mtu kama Depay na martial kwa around 60m again, huwezi kusema eti tumespend 120m kununua wachezaji watatu, ni hela ile ile imezungushwa.
3. Huu ni ushahidi wa uhuni wa Glazer na Woodward.
-miaka 10 iliopita Man U ndio timu ilioingiza hela nyingi zaidi ligi ya Uingereza kutokana na Activities mbalimbali. 1.3B pounds, kwa comparison timu ya pili ni Arsenal around 700m pounds, hivyo uone gap la hela baina ya Man U na timu nyengine, Man city ni around 140m tu.
![]()
-pamoja na kuingiza hela nyingi hawa jamaa wanazichota zote na kulipia Madeni ya Mmiliki, ikumbukwe kabla ya Glazer Man U ilikaa miaka zaidi ya 70 bila deni, ilikuwa ni Timu ya kuigwa Ila jamaa walivyofika na kuinunua Club wakahamishia Deni lao Binafsi kwenye Timu na kisha Wanatumia Hela zetu kulipia Deni lao.
![]()
Ukiangalia hizo data utaona kati ya 1.3B ilioingia almost 800m inalipa madeni na Riba.
-Hili graph linaelezea zaidi
![]()
Ukitoa spurs na arsenal, Man U ni timu ya tatu kutoka mwisho kwenye kutoa hela zake inazoingiza kwenye usajili. Imagine mkuu club tajiri zaidi duniani inashika nafasi ya tau toka mwisho kwenye kutoa hela za usajili unategemea nini?
Na bora hata hizo hela za timu wangeziweka kwenye cash ungesema labda wanasave for future na kuweka reserve kubwa,
Kiufupi mkuu tumepatikana sana, na sijui nani wa kututoa hapa, matajiri wengi wana Approach kuirudisha Man u ila jamaa wanatoa Unrealistic figures ili timu iendelee kuwa yao.
Mkuu Ishu siyo kufungwa bali mmechezaje kwa mfano mechi dhidi ya Asenane japo tulifungwa ila matumaini yalikuwepo tulicheza soka safi na lakueleweka ila mechi ya jana karibia timu nzima ilicheza kiwango kibovu hata kupiga pasi 5 za mbele bila kunyang'anywa mpira ilikuwa ishu vle vle hata mchezaji mmoja mmoja uwezo wa kumiliki na kukaa na mpira japo dk 2 ilikuwa shida cha ajabu kocha alishindwa kufanya hata subs mapema hicho ndo kinachokatisha timu nzima walikuwa hawana mbinu mbadala kuhusu kufungwa siyo ishu kubwa ila ishu mmefungwaje na mmechezajeWolves 2 - 1 United
Haya ni matokeo mabaya kuwahi kutokea katika zama za OGS, lakini si mabaya kuwahi kutokea kwa klabu yetu pendwa ya Manchester United
Nikumbushe tu, msimu huu tulitolewa hatua ya awali kabisa na timu inayoitwa Derby County katika kombe la Carabao, Derby ni timu ambayo hata haipo EPL. Pia hatupaswi kusahau kuwa hawa Wolves waliotufunga jana (sijui ni jana au leo) walilazimisha kutoa draw dhidi yetu pale OT msimu huu
Ieleweke, hapa silengi kufananisha kocha aliyepita na huyu aliyopo. Hapa nataka kuonesha kwamba kupigwa na hizi timu type ya akina Wolves inawezekana.
Labda ili kuwafahamu vizuri Wolves, hawa ndio walio toa draw na City mwaka jana, wakaifunga Arsenal, wakaifunga na ku draw na Chelsea na pia waliifunga na kuitoa Liverpool katika kombe la FA. Kwa hiyo si wabovu kiivyo, lakini kwa kuwa sisi ni Manchester United hatupaswi kuridhika kufungwa, eti kwa kuwa timu nyingine zilifungwa na hii timu
OGS ana kubarua kizito, kuna watu wataanza kuhoji uwezo wake hususani kutokana na hivi vipigo viwili vya karibuni alivyopata mfululizo. Lakini itakuwa ni makosa ku judge kwa matokeo ya mechi hizo, itakuwa ni busara ku judge kipindi cha May (hata huko nyuma nimewahi kulisema hili)
Kama kuna jambo OGS anapaswa ku improve katika kutafuta umeneja wa United ni kuondoa emotion linapokuja suala la ku deal na hawa watoto (Martial na Rashford). Anapaswa kuwaambia ukweli ili wa improve. Kusema hivyo, sio kusema kwamba hawa watoto hawana uwezo. Awaeleze wawe wanatoa pasi kwa wakati, wasiwe wachoyo wa pasi (Rashford na Martial) na wajitume zaidi (Martial)
Jambo lingine ambalo OGS anapaswa ku improve ni kuwa bold enough, kuwaambia ukweli Board na wamiliki kuhusu mapungufu yaliyopo pale United ili apewe fedha asajili. Kuna wakati OGS anaongea kauli zinazoonesha anabembeleza kazi, mfano juzi nilimuona anasema timu iongeza mtu mmoja au wawili ili kuboresha kikosi (kwa kweli sikumuelewa)
Vipigo si vizuri, lakini kuna msemo unasema kwenye kila jambo kuna jambo chanya ndani yake. Labda kwenye haya matokeo Board itaona Man Utd tuna mapungufu na tunahitaji kusajili. Pengine Board itaona Jose was right na hivyo kutoa mpunga wa maana kwa ajili ya usajili
OGS bado hajapata kazi. Hivyo anapaswa kukaza. Lakini hakuna kocha ambaye huwa hapotezi mechi.
Jose alikuwa right kuhusu bodi. Mpaka sasa eti inaendelea kutafuta Director of Football. Angekuwepo DoF angeweza anza mikakati ya usajili hata kama meneja bado hajatajwa. United kuna tatizo kubwa zaidi ya individual players, zaidi ya kocha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ishu tulishaiongeaga humu mkuu,ishu hapa ninayoiona kwa mtizamo wangu ni kwamba hatakama coach angekuwa amepewa
budget ya matrilioni kama wachezaji watakao sajiliwa sio sahihi au Coach sio sahihi haitakuwa na maana yoyote,yaani hata
tumnunue Messi leo kama kocha anamifumo ambayo haiendani na mchezaji ni kazi bure,Kwa pesa ambazo UTD tumeshatumia
sahv ilitakiwa tuwe level sawa kabsa na City kwa kikosi lakin angalia tofauti iliyopo kati yetu hyo nikutokana na usajili mbovu na
kuwa na macoach ambao sio sahihi hvyo tusisingizie wakina Glazier wanaifilisi Klabu wakati hela inatolewa wananunua
wachezaji wa level za chini kwa bei mbaya!
Glaziers ndio wanatumia hela nyingi sana kwasababu Club ni yakwao, wale ni wafanyabiashara hawakuinunua Manchester
utd ilitushinde makombe mengi,waliinunua iliwapige hela,Club kama madrid zinazomilikiwa na mashabiki ndo zimekaa
kimichezo zaidi ndo maana wao wako tayari kununua mchezaji hata kwa bei mbaya sana coz mashabiki ndo wanapenda
hvyo,hvo hatuwezi jilinganisha na wale sema vile vile hizo pesa zinazotolewa na kina Glazier kwaajili ya Budget zinatosha
kabsa sema tu matumizi yamekuwa sio mazuri,tukipata Director of Football mzuri yeye ndo ataweza kutatua hilo tatizo la
matumizi mabaya ya kununua wachezaji wasio level ya UTD.
Mkuu, toka msimu wa 2014 Hadi Leo Man U wametumia zaidi ya 600 milions pound, Man City wametumia 680 milion, Chelsea na Liverpool wote chini ya 500 milion
Mbona watu bado wanalalamika kuwa Man U/ Edwoord& Glazer hawatoi fedha za usajili...
Walimu wote waliopita Moyes,LVG na Mou mamesajili wachezaji wa milion 600ambao ufanisi wao haonekani Kama wenzao City (tofauti ya city na man u KWENYE usajili Ni 80milion pound, tofauti ya ubora wa timu hizo wote tunajua)
Wamiliki wa man u Ni wafanyabiashara(investors) lazima washawishiwe kuwa Ni Nini kimebadilika isijekuwa wachoma hela Kam kwa DEPAY,DE MARIA, BLIND, LUKAKU, SANCHEZ, POGBA, HENRICH, BASTIAN, na nk wote hao wakiuzwa/wameuzwa kwa nusu Bei ya kusajiliwa ndani ya miaka 2.5 wakiwa hawajazalisha kulingana na hell walizo nunuliwa
Afu bado wanaaambiwa wawekezaji/glazer/bodi watoe hela zaidi za usajili.... Duh
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao makocha unaosema sio sahihi walipewa hiyo kazi na nani ?
Na hao wachezaji wasio sahihi hawawezi sajiliwa bila approval ya CEO
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Ishu siyo kufungwa bali mmechezaje kwa mfano mechi dhidi ya Asenane japo tulifungwa ila matumaini yalikuwepo tulicheza soka safi na lakueleweka ila mechi ya jana karibia timu nzima ilicheza kiwango kibovu hata kupiga pasi 5 za mbele bila kunyang'anywa mpira ilikuwa ishu vle vle hata mchezaji mmoja mmoja uwezo wa kumiliki na kukaa na mpira japo dk 2 ilikuwa shida cha ajabu kocha alishindwa kufanya hata subs mapema hicho ndo kinachokatisha timu nzima walikuwa hawana mbinu mbadala kuhusu kufungwa siyo ishu kubwa ila ishu mmefungwaje na mmechezaje
The main problem ni WoodwardPoint yako hapo haswa ni ipi mkuu? nenda straight kwenye point...mada yangu mimi ni kwamba Pesa zinazotolewa zinatosha kufanya usajili mzuri sema tunafeli kusajili wachezaji wazuri na tunasajili wachezji wa kawaida kwa bei mbaya, anaehusika kuleta wachezaji pale ni Woordward, ila Coach ana suggest wachezaji anao wataka kutokana na recommendation za mascout wa Club.
1. Lvg hakupewa hela za usajili wa kuimarisha Timu bali za kureplace wachezaji, anapewa timu hali ya kuwa mabeki watatu wa kutegemewa ndani ya club wanaondoka kwa mpigo, Vidic, Rio na Evra, midfield nao wanaondoka kina scholes, fletcher etc alibaki carrick, Giggs kastaafu, timu haina quality kabisa, ukiangalia usajili wa LVG alileta tu squad players kina shaw, Herrera, blind etc hao kina Di maria, Falcao etc waliletwa tu na timu kocha alikuwa na Target zake Muller, Robben Etc.
2.Hio 600 unayoitaja ina double counting kibao, mfano Di maria kanunuliwa kwa 60m kisha kauzwa kwa 45m hela yake ikanunuliwa mtu kama Depay na martial kwa around 60m again, huwezi kusema eti tumespend 120m kununua wachezaji watatu, ni hela ile ile imezungushwa.
3. Huu ni ushahidi wa uhuni wa Glazer na Woodward.
-miaka 10 iliopita Man U ndio timu ilioingiza hela nyingi zaidi ligi ya Uingereza kutokana na Activities mbalimbali. 1.3B pounds, kwa comparison timu ya pili ni Arsenal around 700m pounds, hivyo uone gap la hela baina ya Man U na timu nyengine, Man city ni around 140m tu.
![]()
-pamoja na kuingiza hela nyingi hawa jamaa wanazichota zote na kulipia Madeni ya Mmiliki, ikumbukwe kabla ya Glazer Man U ilikaa miaka zaidi ya 70 bila deni, ilikuwa ni Timu ya kuigwa Ila jamaa walivyofika na kuinunua Club wakahamishia Deni lao Binafsi kwenye Timu na kisha Wanatumia Hela zetu kulipia Deni lao.
![]()
Ukiangalia hizo data utaona kati ya 1.3B ilioingia almost 800m inalipa madeni na Riba.
-Hili graph linaelezea zaidi
![]()
Ukitoa spurs na arsenal, Man U ni timu ya tatu kutoka mwisho kwenye kutoa hela zake inazoingiza kwenye usajili. Imagine mkuu club tajiri zaidi duniani inashika nafasi ya tau toka mwisho kwenye kutoa hela za usajili unategemea nini?
Na bora hata hizo hela za timu wangeziweka kwenye cash ungesema labda wanasave for future na kuweka reserve kubwa,
Kiufupi mkuu tumepatikana sana, na sijui nani wa kututoa hapa, matajiri wengi wana Approach kuirudisha Man u ila jamaa wanatoa Unrealistic figures ili timu iendelee kuwa yao.

Mkuu hata Mimi ndo nmetoka kuandika kitu ka hiki hapo juu........Hii ishu tulishaiongeaga humu mkuu,ishu hapa ninayoiona kwa mtizamo wangu ni kwamba hatakama coach angekuwa amepewa
budget ya matrilioni kama wachezaji watakao sajiliwa sio sahihi au Coach sio sahihi haitakuwa na maana yoyote,yaani hata
tumnunue Messi leo kama kocha anamifumo ambayo haiendani na mchezaji ni kazi bure,Kwa pesa ambazo UTD tumeshatumia
sahv ilitakiwa tuwe level sawa kabsa na City kwa kikosi lakin angalia tofauti iliyopo kati yetu hyo nikutokana na usajili mbovu na
kuwa na macoach ambao sio sahihi hvyo tusisingizie wakina Glazier wanaifilisi Klabu wakati hela inatolewa wananunua
wachezaji wa level za chini kwa bei mbaya!
Glaziers ndio wanatumia hela nyingi sana kwasababu Club ni yakwao, wale ni wafanyabiashara hawakuinunua Manchester
utd ilitushinde makombe mengi,waliinunua iliwapige hela,Club kama madrid zinazomilikiwa na mashabiki ndo zimekaa
kimichezo zaidi ndo maana wao wako tayari kununua mchezaji hata kwa bei mbaya sana coz mashabiki ndo wanapenda
hvyo,hvo hatuwezi jilinganisha na wale sema vile vile hizo pesa zinazotolewa na kina Glazier kwaajili ya Budget zinatosha
kabsa sema tu matumizi yamekuwa sio mazuri,tukipata Director of Football mzuri yeye ndo ataweza kutatua hilo tatizo la
matumizi mabaya ya kununua wachezaji wasio level ya UTD.
Mkuu mou aliliweka wazi kwamba anasajiliwa na hawataki kumpa wachezaji anaowataka pale alipoanza ugomvi na Woodward, anaesajili hao wachezaji wabovu ni nani? Kama sio Woodward? Na wewe unasema wabovu ila mwenzako anasajili kibiashara. Wewe sanchez unamuona flop mwenzako anaona bonge la success, woodward ni mfanyabiashara sio mwanasoka, kila siku anajisifia jinsi sanchez alivyovunja record ya twitter na mauzo ya jezi, wachezaji wengi wetu wamesajiliwa kwa.motives ya kuingiza hela zaidi ya kuperform uwanjani.Hii ishu tulishaiongeaga humu mkuu,ishu hapa ninayoiona kwa mtizamo wangu ni kwamba hatakama coach angekuwa amepewa
budget ya matrilioni kama wachezaji watakao sajiliwa sio sahihi au Coach sio sahihi haitakuwa na maana yoyote,yaani hata
tumnunue Messi leo kama kocha anamifumo ambayo haiendani na mchezaji ni kazi bure,Kwa pesa ambazo UTD tumeshatumia
sahv ilitakiwa tuwe level sawa kabsa na City kwa kikosi lakin angalia tofauti iliyopo kati yetu hyo nikutokana na usajili mbovu na
kuwa na macoach ambao sio sahihi hvyo tusisingizie wakina Glazier wanaifilisi Klabu wakati hela inatolewa wananunua
wachezaji wa level za chini kwa bei mbaya!
Glaziers ndio wanatumia hela nyingi sana kwasababu Club ni yakwao, wale ni wafanyabiashara hawakuinunua Manchester
utd ilitushinde makombe mengi,waliinunua iliwapige hela,Club kama madrid zinazomilikiwa na mashabiki ndo zimekaa
kimichezo zaidi ndo maana wao wako tayari kununua mchezaji hata kwa bei mbaya sana coz mashabiki ndo wanapenda
hvyo,hvo hatuwezi jilinganisha na wale sema vile vile hizo pesa zinazotolewa na kina Glazier kwaajili ya Budget zinatosha
kabsa sema tu matumizi yamekuwa sio mazuri,tukipata Director of Football mzuri yeye ndo ataweza kutatua hilo tatizo la
matumizi mabaya ya kununua wachezaji wasio level ya UTD.
Tatizo nyie mnaona mambo juu juu, pep did nothing at Man city,kuna mtu man city walim recruit toka barcelona amefanya kazi yote kuibadili timu ya man city, kujenga academies na mifumo mingine.Mkuu hata Mimi ndo nmetoka kuandika kitu ka hiki hapo juu........
Glazer wahatakiwa kulaumiwa maaana hela wametoa nyingi TU za usajili sasa Kama makocha wananunua wachezaji wanna feli au wanashindwa kuwatumia to their potentials wao wafanyeje.....
Hela waliyotumia city na utd tofauti Ni ndogo Sana kwa misimu 3 iliyo pita.....
Na hapa ndipo nakula kweli Pep ni kocha Bora maana kaunda timu mbili pale man City na zote Ni Bora kuliko utd kwa budget inayolingana.....
Pia kitu kingne uingereza kocha Ni manager, hivyo Ana maamuzi ya juu na makubwa Sana kwenye NANI ASAJILIWE, ACHEZE/BENCHI, AUZWE/AKOPESHWE ndio maana Pogba 80+ plus Mou alianza kugibisha bench TU hamna wa kumalizia, Chelsea Conte alimfukuza DCoasta alikuwa top scorer wa timu ikabeba kombe, na n.k,
hivyo kwa hela utd imesha zitumia wakulamiwa Ni makocha na wamiliki wa utd...
Sent using Jamii Forums mobile app
Dof tu hapoTatizo nyie mnaona mambo juu juu, pep did nothing at Man city,kuna mtu man city walim recruit toka barcelona amefanya kazi yote kuibadili timu ya man city, kujenga academies na mifumo mingine.
Pep amekuja pale sababu ya huyo jamaa, baada ya kuona amesharahisishiwa kila kitu, nipo njiani siwezi kutype sana unaweza ukagoogle zaidi, ila ukiangalia backbone ya man city, Aguero, silva, de bruyne, Fernandinho etc wote kawakuta tayari ameandaliwa.
Na hivyo ndio football club inavyotakiwa kuwa
Acha unaa aiseeTatizo nyie mnaona mambo juu juu, pep did nothing at Man city,kuna mtu man city walim recruit toka barcelona amefanya kazi yote kuibadili timu ya man city, kujenga academies na mifumo mingine.
Pep amekuja pale sababu ya huyo jamaa, baada ya kuona amesharahisishiwa kila kitu, nipo njiani siwezi kutype sana unaweza ukagoogle zaidi, ila ukiangalia backbone ya man city, Aguero, silva, de bruyne, Fernandinho etc wote kawakuta tayari ameandaliwa.
Na hivyo ndio football club inavyotakiwa kuwa
Tuwape timu waarabu.1. Lvg hakupewa hela za usajili wa kuimarisha Timu bali za kureplace wachezaji, anapewa timu hali ya kuwa mabeki watatu wa kutegemewa ndani ya club wanaondoka kwa mpigo, Vidic, Rio na Evra, midfield nao wanaondoka kina scholes, fletcher etc alibaki carrick, Giggs kastaafu, timu haina quality kabisa, ukiangalia usajili wa LVG alileta tu squad players kina shaw, Herrera, blind etc hao kina Di maria, Falcao etc waliletwa tu na timu kocha alikuwa na Target zake Muller, Robben Etc.
2.Hio 600 unayoitaja ina double counting kibao, mfano Di maria kanunuliwa kwa 60m kisha kauzwa kwa 45m hela yake ikanunuliwa mtu kama Depay na martial kwa around 60m again, huwezi kusema eti tumespend 120m kununua wachezaji watatu, ni hela ile ile imezungushwa.
3. Huu ni ushahidi wa uhuni wa Glazer na Woodward.
-miaka 10 iliopita Man U ndio timu ilioingiza hela nyingi zaidi ligi ya Uingereza kutokana na Activities mbalimbali. 1.3B pounds, kwa comparison timu ya pili ni Arsenal around 700m pounds, hivyo uone gap la hela baina ya Man U na timu nyengine, Man city ni around 140m tu.
![]()
-pamoja na kuingiza hela nyingi hawa jamaa wanazichota zote na kulipia Madeni ya Mmiliki, ikumbukwe kabla ya Glazer Man U ilikaa miaka zaidi ya 70 bila deni, ilikuwa ni Timu ya kuigwa Ila jamaa walivyofika na kuinunua Club wakahamishia Deni lao Binafsi kwenye Timu na kisha Wanatumia Hela zetu kulipia Deni lao.
![]()
Ukiangalia hizo data utaona kati ya 1.3B ilioingia almost 800m inalipa madeni na Riba.
-Hili graph linaelezea zaidi
![]()
Ukitoa spurs na arsenal, Man U ni timu ya tatu kutoka mwisho kwenye kutoa hela zake inazoingiza kwenye usajili. Imagine mkuu club tajiri zaidi duniani inashika nafasi ya tau toka mwisho kwenye kutoa hela za usajili unategemea nini?
Na bora hata hizo hela za timu wangeziweka kwenye cash ungesema labda wanasave for future na kuweka reserve kubwa,
Kiufupi mkuu tumepatikana sana, na sijui nani wa kututoa hapa, matajiri wengi wana Approach kuirudisha Man u ila jamaa wanatoa Unrealistic figures ili timu iendelee kuwa yao.