Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni kweli LvG alisema hayo maneno na ni kweli alikuwa anamaanisha Woodward sema ishu sio kwamba Woodward alikataa

kuwaleta bali alishindwa kuwaleta kipindi hicho UTD ilikuwa haina mvuto kuja na tulikuwa hatuna uhakika wa CL,hata hvyo

process ni kwamba Coach anakuwa na List ya wachezaji anaowataka so mfano ikishindikana kumpata mchezaji A" wanasajili

alternative/Mbadala wake kutokana na List aliyotoa Coach mfano hata Moyes alikuwa anamtaka Fabregas kipindi alivyokuwa

Barca sema baada ya FAB kukataa kuja Moyes akasema hata Fellaini sio mbaya na ndo hyo alieletewa,so unatakiwa uelewa

kwamba sio simple tu kwamba ukimtaka flani basi atakuja No wachezaji pia wanaangalia wanaenda kumchezea nani hapo UTD

na atacheza mfumo gani..

LVG alimtaka Bastian akaletewa wote tukaona kilichotokea,Alimtaka Falcao wote tuliona kilichotokea,Valdes,Di Maria etc na wote humu na uhakika tulifurahia sana huo usajili walivyokuwa wanakuja.
Hapana lvg hakuhusika na usajili wa di maria, falcao, shaw na Herrera. Ilikuwa ni kazi ya woodward na lvg yeye ali approve tu kama kocha ndio maana di maria akaondoka. Philosophy za lvg siku zote haziendani na masuper star wa south America ni nadra kukuta anawasajili.

Kiufupi Woodward alitaka kuiga "Galactico" policy ya madrid kumsajilia kocha ma superstar kisha yeye ndio awahandle. Kuna source mbalimbali zina indicate hili suala.

Kuna jamaa ana claim pia Woodward ametoa order ya galactico ili timu ishinde champions league. Hii ndio type ya mtu mwenye hatma ya timu yetu. Anaweza akasajili hata watu wa 5 position moja as long as ni masuper star, utajua mwenyewe kocha unawatumia vipi.

'I know agent who met Man Utd to discuss transfers... FIVE Galacticos mentioned'

Ni quote maneno yake

I know an agent who met Man City and Man United on the same day," Mitten told the Beyond the Pitch podcast.

"He's got good players this lad. He said City were very specific about what they wanted in each position for the next year and two years.

"And he went to United and it was all about names.

"It was all 'if we have five Galatico-style players, that's how you win the European Cup'."
 
Hope anaitwa Tixi begiristan tena sio peke yake city walivuta wawili yupo na executive wa zaman wa Barça nae so Wenzetu walijua kuplan the future

Sent using Jamii Forums mobile app
Yap Tixi na Ferran Soriano. Tixi amejiunga man City 2012 na wanaokumbuka ndio mwaka wa kwanza wanabeba ndoo. Ukiangalia kabla yake Man city walikuwa wanasajili bora liende kina robinho, tevez, milner etc ila angalia usajili baada ya yeye kuja, wote ni wachezaji ambao wananunuliwa kwa lengo maalum la mfumo fulani.
 
Hapana lvg hakuhusika na usajili wa di maria, falcao, shaw na Herrera. Ilikuwa ni kazi ya woodward na lvg yeye ali approve tu kama kocha ndio maana di maria akaondoka. Philosophy za lvg siku zote haziendani na masuper star wa south America ni nadra kukuta anawasajili.

Kiufupi Woodward alitaka kuiga "Galactico" policy ya madrid kumsajilia kocha ma superstar kisha yeye ndio awahandle. Kuna source mbalimbali zina indicate hili suala.

Kuna jamaa ana claim pia Woodward ametoa order ya galactico ili timu ishinde champions league. Hii ndio type ya mtu mwenye hatma ya timu yetu. Anaweza akasajili hata watu wa 5 position moja as long as ni masuper star, utajua mwenyewe kocha unawatumia vipi.

'I know agent who met Man Utd to discuss transfers... FIVE Galacticos mentioned'

Ni quote maneno yake

I know an agent who met Man City and Man United on the same day," Mitten told the Beyond the Pitch podcast.

"He's got good players this lad. He said City were very specific about what they wanted in each position for the next year and two years.

"And he went to United and it was all about names.

"It was all 'if we have five Galatico-style players, that's how you win the European Cup'."

Shida ni kwamba mnafatisha kila source inachosema kuhusu UTD,timu kubwa kama UTD lazima iongelewe sana na sio kila kitu kinachongelewa kina ukweli, kuna magazeti mengine wanaongea Rumors tu ili wauze.tafuta reliable source ndo uamini
kinachosemwa, vitu vingine unajiongeza hata ww mwenyewe,ni Kocha gani hapa duniani asiependa top players labda?

Hata Guadiola anatamani City wawe na Messi sema ndo haiwezakani,Woodward hajui mpira lakin sio mjinga kwenye maswala ya pesa atanunuaje wachezaji zaidi ya watano wakubwa wanaocheza nafasi mmoja??.. kuondoka Di maria hakuhusiani na usajili wake bali nikutokana na kushindwa kusettle pale Manchester baada ya nyumba yake kuvamiwa na majambazi (familia yake ikiwa ndani) na kushindwa kuadopt physical nature ya PL.


LVG alisema hivi tulivyo msajili Falcao "When a player of this calibre becomes available, it is an opportunity not to be missed."

Na akasema hivi tulivyo msajili Dimaria: "A world-class midfielder he is a team player there is no doubting his immense natural talent he is a tremendously fast and incisive left-footed player who puts fear into the most accomplished defence. His dribbling skills and his ability to take on and beat opponents are a joy to watch. He is an excellent addition to the team."

Kama alisema haya maneno maana yake alipenda huo usajili sasa sielewi tunachobishana hapa ni nn, unasema hawanunui wachezaji walinunuliwa hao na kocha akawafurahia na bado wakazingua sasa kosa la Glazers hapo ni nini?

Hii makala pia inasema hivi: Van Gaal has also signed defenders Luke Shaw and Marcos Rojo, midfielder Ander Herrera, and forward Angel Di Maria since he was appointed David Moyes's successor in the summer.

Hapo bado hatujamuongelea Depay na Blind (waholanzi wenzake aliowafundisha Uholanzi World Cup), Darmian ,Bastian (ambae walikuwa nae Bayern) Romero (walikuwa nae AZ alkmaar) Valdes (walikuwa nae Barca) Alafu unamsingizia Woodward ndo aliwataka??

Je Damian,Rojo,Herrera,Depay,Matial,Blind,Luke Shaw,Romero,Schneiderlin ni magalactico hao??

Source ya hizi makala ni BBC SPORTS : Hii ya Falcao na Hii ya Di maria.
 
Back
Top Bottom