Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

jambo moja kubwa ambalo washabiki na wapenzi wa manchester united tunapaswa kushukuru ni kushuhudia timu yetu imewahi kufundishwa na mwanadamu ambaye si mnafiki linapokuja suala lenye maslahi na kazi yake.
achana na madhaifu yake ya kujifanya ni msafi kwa kila jambo analoliamini lakini jamaa kwa kutumia mdomo wake usio ishiwa maneno ndiye aliyetuwezesha kufahamu kiundani madhaifu ya uongozi mzima wa manchester united.

huwa napenda kuzipitia comment zote za wachangiaji ili nipate kujifunza kwa sababu sijakamilika lakini ukizisoma hizi comment wengi wao wanarudi pale pale kwenye msimamo wa jose mourinho ambaye tulimuona shetani hata kwa lile ambalo lipo sahihi.

  1. kuna baadhi ya wachangiaji wanasema hatujawahi kusajili winga wa kulia kwa miaka 5, nadhani watakuwa wamepitikiwa kibinadamu kwa sababu chini ya david moyes tulimsajili wilfred zaha, chini ya LVG tulimsajili memphis depay, dimaria baada ya kumuona wilfred zaha hafai. Ukiifuatilia hii cinema kwa umakini ndio tunarudi pale pale kwenye mijadala yetu ya kila siku ya kwamba tulikuwa tunasajili na kuuza kwa kusikiliza zaidi porojo za walimu hata kama hawapo sahihi.
  2. alipokuja msema ukweli jose mourinho baada ya miezi kupita akamwambia ed woodward ya kwamba memphis depay bado hajawa na uwezo wa kucheza ligi ya uingereza kila wiki hivyo namhitaji ivan perisic wa inter milan, mpaka jose anaondoka hakuwahi kuletewa winga wa kulia.
  3. katika harakati zake za kujenga timu jose mourinho hakuvutiwa kabisa na juan mata lakini bodi ya klabu ilikataa kumtafutia mbadala, cha ajabu leo hii ndio kuna mashabiki ndio wanagundua udhaifu wa juan mata na wenzake.
  4. sitaki kuzungumzia ishu ya martial na jose mourinho kwa sababu sote tunafahamu jamaa alikuwa tayari hata kufanya swap deal dhidi ya willian wa chelsea, baada ya kumshuhudia jana martial akicheza ndio nimegundua jamaa alikuwa sahihi kumweka benchi antony martial na hata kumuondoa.
  5. sitaki kuzungumzia ishu ya walinzi wa kati ili nisiwachoshe, kwa sababu bado tunaendelea kuteseka licha ya jose kutokuwepo.

kama kweli united wana fedha kama wanavyojisifia zinapotolewa repoti za mapato mbona tunakimbilia kuwapa mikataba kina ashley young, jones, mata wakati wenzetu wanawatafuta mahrez, walker, sterling n.k.
Yote hayo jose alishayazungumza mara kwa mara lakini hatukumuelewa wengi wetu.
Tumuombe mungu kocha ajaye asiwe mnafiki ili aweze kuyapigania maslahi ya ukweli ya klabu la si hivyo tutashihudia tena dhoruba yenye maumivu.
mara paaaap matteo darmian, valencia wanapewa mikataba mipya huku man city wanamsajili ndombele na wanamrudisha jordan sancho.
Mzee bab umeandika kitu chenye maana sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu fanya uhamie manchester united kwa sababu umeshakuwa muathirika wa hii thread.
Acha kumdanganya mwenzako.

Jana nilikua naangalia gemu yenu na mwenzenu wa Man U. Ikaja ile faulo ambayo refa akatoa red.

Akaanza "Yule kapewa red kwakua alikua beki wa mwisho" nikamwambia "Red itatoka kokote kutegemea na dhamira ya mcheza faulo. Mfano kama huyu angefuata mpira angepewa njano"

Akaanza makelele. Sa mi si nnajua man u wengi mpira hamjui mmezoea kubebwa na marefa nikamuacha. VAR ikaonyesha ile ni yellow.

Akaanza tena "Ujue kagewa yellow kwakua alikua kakunja miguu hakuikunjua"

Tukamfukuza.
 
Acha kumdanganya mwenzako.

Jana nilikua naangalia gemu yenu na mwenzenu wa Man U. Ikaja ile faulo ambayo refa akatoa red.

Akaanza "Yule kapewa red kwakua alikua beki wa mwisho" nikamwambia "Red itatoka kokote kutegemea na dhamira ya mcheza faulo. Mfano kama huyu angefuata mpira angepewa njano"

Akaanza makelele. Sa mi si nnajua man u wengi mpira hamjui mmezoea kubebwa na marefa nikamuacha. VAR ikaonyesha ile ni yellow.

Akaanza tena "Ujue kagewa yellow kwakua alikua kakunja miguu hakuikunjua"

Tukamfukuza.
mkuu itakuwa umechanganya madawa, Tafadhali jaribu kupitia tena comment yangu halafu uangalie tena kwa makini hicho ulichokiandika.
havifanani kabisa kama maziwa na maji​
 
jambo moja kubwa ambalo washabiki na wapenzi wa manchester united tunapaswa kushukuru ni kushuhudia timu yetu imewahi kufundishwa na mwanadamu ambaye si mnafiki linapokuja suala lenye maslahi na kazi yake.
achana na madhaifu yake ya kujifanya ni msafi kwa kila jambo analoliamini lakini jamaa kwa kutumia mdomo wake usio ishiwa maneno ndiye aliyetuwezesha kufahamu kiundani madhaifu ya uongozi mzima wa manchester united.

huwa napenda kuzipitia comment zote za wachangiaji ili nipate kujifunza kwa sababu sijakamilika lakini ukizisoma hizi comment wengi wao wanarudi pale pale kwenye msimamo wa jose mourinho ambaye tulimuona shetani hata kwa lile ambalo lipo sahihi.

  1. kuna baadhi ya wachangiaji wanasema hatujawahi kusajili winga wa kulia kwa miaka 5, nadhani watakuwa wamepitikiwa kibinadamu kwa sababu chini ya david moyes tulimsajili wilfred zaha, chini ya LVG tulimsajili memphis depay, dimaria baada ya kumuona wilfred zaha hafai. Ukiifuatilia hii cinema kwa umakini ndio tunarudi pale pale kwenye mijadala yetu ya kila siku ya kwamba tulikuwa tunasajili na kuuza kwa kusikiliza zaidi porojo za walimu hata kama hawapo sahihi.
  2. alipokuja msema ukweli jose mourinho baada ya miezi kupita akamwambia ed woodward ya kwamba memphis depay bado hajawa na uwezo wa kucheza ligi ya uingereza kila wiki hivyo namhitaji ivan perisic wa inter milan, mpaka jose anaondoka hakuwahi kuletewa winga wa kulia.
  3. katika harakati zake za kujenga timu jose mourinho hakuvutiwa kabisa na juan mata lakini bodi ya klabu ilikataa kumtafutia mbadala, cha ajabu leo hii ndio kuna mashabiki ndio wanagundua udhaifu wa juan mata na wenzake.
  4. sitaki kuzungumzia ishu ya martial na jose mourinho kwa sababu sote tunafahamu jamaa alikuwa tayari hata kufanya swap deal dhidi ya willian wa chelsea, baada ya kumshuhudia jana martial akicheza ndio nimegundua jamaa alikuwa sahihi kumweka benchi antony martial na hata kumuondoa.
  5. sitaki kuzungumzia ishu ya walinzi wa kati ili nisiwachoshe, kwa sababu bado tunaendelea kuteseka licha ya jose kutokuwepo.

kama kweli united wana fedha kama wanavyojisifia zinapotolewa repoti za mapato mbona tunakimbilia kuwapa mikataba kina ashley young, jones, mata wakati wenzetu wanawatafuta mahrez, walker, sterling n.k.
Yote hayo jose alishayazungumza mara kwa mara lakini hatukumuelewa wengi wetu.
Tumuombe mungu kocha ajaye asiwe mnafiki ili aweze kuyapigania maslahi ya ukweli ya klabu la si hivyo tutashihudia tena dhoruba yenye maumivu.
mara paaaap matteo darmian, valencia wanapewa mikataba mipya huku man city wanamsajili ndombele na wanamrudisha jordan sancho.
Mkuu, toka msimu wa 2014 Hadi Leo Man U wametumia zaidi ya 600 milions pound, Man City wametumia 680 milion , Chelsea na Liverpool wote chini ya 500 milion
Mbona watu bado wanalalamika kuwa Man U/ Edwoord& Glazer hawatoi fedha za usajili...
Walimu wote waliopita Moyes,LVG na Mou mamesajili wachezaji wa milion 600 ambao ufanisi wao haonekani Kama wenzao City (tofauti ya city na man u KWENYE usajili Ni 80milion pound, tofauti ya ubora wa timu hizo wote tunajua)

Wamiliki wa man u Ni wafanyabiashara(investors) lazima washawishiwe kuwa Ni Nini kimebadilika isijekuwa wachoma hela Kam kwa DEPAY,DE MARIA, BLIND, LUKAKU, SANCHEZ, POGBA, HENRICH, BASTIAN, na nk wote hao wakiuzwa/wameuzwa kwa nusu Bei ya kusajiliwa ndani ya miaka 2.5 wakiwa hawajazalisha kulingana na hell walizo nunuliwa
Afu bado wanaaambiwa wawekezaji/glazer/bodi watoe hela zaidi za usajili.... Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu itakuwa umechanganya madawa, Tafadhali jaribu kupitia tena comment yangu halafu uangalie tena kwa makini hicho ulichokiandika.
havifanani kabisa kama maziwa na maji​
Mbona naona kama unamshauri jamaa ahamie Man U?

Ndiyo maana nikaanza na usimdanganye.

Au wewe siyo Man U?
 
Mbona naona kama unamshauri jamaa ahamie Man U?

Ndiyo maana nikaanza na usimdanganye.

Au wewe siyo Man U?
ishu iko hivi: jamaa ni mpenzi mkubwa sana wa chelsea humu JF lakini muda mwingi sana unamkuta ndani ya hii thread akileta upinzani wake.
nimezungumza kama ni utani kwa kumwambia ahamie manchester united kwa sababu hii thread imeshamuathiri.
 
They must find someone who understand football before they splash money otherwise cycle will continue.
And you must know how much they get since they bought club

Woodward is responsible to recruit technical team (managers) and aprrove all purchase and sales of players
Mkuu, toka msimu wa 2014 Hadi Leo Man U wametumia zaidi ya 600 milions pound, Man City wametumia 680 milion , Chelsea na Liverpool wote chini ya 500 milion
Mbona watu bado wanalalamika kuwa Man U/ Edwoord& Glazer hawatoi fedha za usajili...
Walimu wote waliopita Moyes,LVG na Mou mamesajili wachezaji wa milion 600 ambao ufanisi wao haonekani Kama wenzao City (tofauti ya city na man u KWENYE usajili Ni 80milion pound, tofauti ya ubora wa timu hizo wote tunajua)

Wamiliki wa man u Ni wafanyabiashara(investors) lazima washawishiwe kuwa Ni Nini kimebadilika isijekuwa wachoma hela Kam kwa DEPAY,DE MARIA, BLIND, LUKAKU, SANCHEZ, POGBA, HENRICH, BASTIAN, na nk wote hao wakiuzwa/wameuzwa kwa nusu Bei ya kusajiliwa ndani ya miaka 2.5 wakiwa hawajazalisha kulingana na hell walizo nunuliwa
Afu bado wanaaambiwa wawekezaji/glazer/bodi watoe hela zaidi za usajili.... Duh

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jambo moja kubwa ambalo washabiki na wapenzi wa manchester united tunapaswa kushukuru ni kushuhudia timu yetu imewahi kufundishwa na mwanadamu ambaye si mnafiki linapokuja suala lenye maslahi na kazi yake.
achana na madhaifu yake ya kujifanya ni msafi kwa kila jambo analoliamini lakini jamaa kwa kutumia mdomo wake usio ishiwa maneno ndiye aliyetuwezesha kufahamu kiundani madhaifu ya uongozi mzima wa manchester united.

huwa napenda kuzipitia comment zote za wachangiaji ili nipate kujifunza kwa sababu sijakamilika lakini ukizisoma hizi comment wengi wao wanarudi pale pale kwenye msimamo wa jose mourinho ambaye tulimuona shetani hata kwa lile ambalo lipo sahihi.

  1. kuna baadhi ya wachangiaji wanasema hatujawahi kusajili winga wa kulia kwa miaka 5, nadhani watakuwa wamepitikiwa kibinadamu kwa sababu chini ya david moyes tulimsajili wilfred zaha, chini ya LVG tulimsajili memphis depay, dimaria baada ya kumuona wilfred zaha hafai. Ukiifuatilia hii cinema kwa umakini ndio tunarudi pale pale kwenye mijadala yetu ya kila siku ya kwamba tulikuwa tunasajili na kuuza kwa kusikiliza zaidi porojo za walimu hata kama hawapo sahihi.
  2. alipokuja msema ukweli jose mourinho baada ya miezi kupita akamwambia ed woodward ya kwamba memphis depay bado hajawa na uwezo wa kucheza ligi ya uingereza kila wiki hivyo namhitaji ivan perisic wa inter milan, mpaka jose anaondoka hakuwahi kuletewa winga wa kulia.
  3. katika harakati zake za kujenga timu jose mourinho hakuvutiwa kabisa na juan mata lakini bodi ya klabu ilikataa kumtafutia mbadala, cha ajabu leo hii ndio kuna mashabiki ndio wanagundua udhaifu wa juan mata na wenzake.
  4. sitaki kuzungumzia ishu ya martial na jose mourinho kwa sababu sote tunafahamu jamaa alikuwa tayari hata kufanya swap deal dhidi ya willian wa chelsea, baada ya kumshuhudia jana martial akicheza ndio nimegundua jamaa alikuwa sahihi kumweka benchi antony martial na hata kumuondoa.
  5. sitaki kuzungumzia ishu ya walinzi wa kati ili nisiwachoshe, kwa sababu bado tunaendelea kuteseka licha ya jose kutokuwepo.

kama kweli united wana fedha kama wanavyojisifia zinapotolewa repoti za mapato mbona tunakimbilia kuwapa mikataba kina ashley young, jones, mata wakati wenzetu wanawatafuta mahrez, walker, sterling n.k.
Yote hayo jose alishayazungumza mara kwa mara lakini hatukumuelewa wengi wetu.
Tumuombe mungu kocha ajaye asiwe mnafiki ili aweze kuyapigania maslahi ya ukweli ya klabu la si hivyo tutashihudia tena dhoruba yenye maumivu.
mara paaaap matteo darmian, valencia wanapewa mikataba mipya huku man city wanamsajili ndombele na wanamrudisha jordan sancho.
1. Zaha alisajiliwa na fergie,
2. Nikumbushe lini depay na Di maria walicheza Wing ya kulia man U.
-depay kuanzia world cup chinj ya lvg mpaka man u alicheza either wing ya kushoto ama akitokea katikati, kulia alikuwepo mata/januzaj/lingard
-same kwa di maria alicheza kushoto kwenye diamond ya lvg na baadae kupokonywa namba na young kwenye 4-1-4-1
 
Wolves 2 - 1 United

Haya ni matokeo mabaya kuwahi kutokea katika zama za OGS, lakini si mabaya kuwahi kutokea kwa klabu yetu pendwa ya Manchester United

Nikumbushe tu, msimu huu tulitolewa hatua ya awali kabisa na timu inayoitwa Derby County katika kombe la Carabao, Derby ni timu ambayo hata haipo EPL. Pia hatupaswi kusahau kuwa hawa Wolves waliotufunga jana (sijui ni jana au leo) walilazimisha kutoa draw dhidi yetu pale OT msimu huu

Ieleweke, hapa silengi kufananisha kocha aliyepita na huyu aliyopo. Hapa nataka kuonesha kwamba kupigwa na hizi timu type ya akina Wolves inawezekana.

Labda ili kuwafahamu vizuri Wolves, hawa ndio walio toa draw na City mwaka jana, wakaifunga Arsenal, wakaifunga na ku draw na Chelsea na pia waliifunga na kuitoa Liverpool katika kombe la FA. Kwa hiyo si wabovu kiivyo, lakini kwa kuwa sisi ni Manchester United hatupaswi kuridhika kufungwa, eti kwa kuwa timu nyingine zilifungwa na hii timu

OGS ana kubarua kizito, kuna watu wataanza kuhoji uwezo wake hususani kutokana na hivi vipigo viwili vya karibuni alivyopata mfululizo. Lakini itakuwa ni makosa ku judge kwa matokeo ya mechi hizo, itakuwa ni busara ku judge kipindi cha May (hata huko nyuma nimewahi kulisema hili)

Kama kuna jambo OGS anapaswa ku improve katika kutafuta umeneja wa United ni kuondoa emotion linapokuja suala la ku deal na hawa watoto (Martial na Rashford). Anapaswa kuwaambia ukweli ili wa improve. Kusema hivyo, sio kusema kwamba hawa watoto hawana uwezo. Awaeleze wawe wanatoa pasi kwa wakati, wasiwe wachoyo wa pasi (Rashford na Martial) na wajitume zaidi (Martial)

Jambo lingine ambalo OGS anapaswa ku improve ni kuwa bold enough, kuwaambia ukweli Board na wamiliki kuhusu mapungufu yaliyopo pale United ili apewe fedha asajili. Kuna wakati OGS anaongea kauli zinazoonesha anabembeleza kazi, mfano juzi nilimuona anasema timu iongeza mtu mmoja au wawili ili kuboresha kikosi (kwa kweli sikumuelewa)

Vipigo si vizuri, lakini kuna msemo unasema kwenye kila jambo kuna jambo chanya ndani yake. Labda kwenye haya matokeo Board itaona Man Utd tuna mapungufu na tunahitaji kusajili. Pengine Board itaona Jose was right na hivyo kutoa mpunga wa maana kwa ajili ya usajili

OGS bado hajapata kazi. Hivyo anapaswa kukaza. Lakini hakuna kocha ambaye huwa hapotezi mechi.

Jose alikuwa right kuhusu bodi. Mpaka sasa eti inaendelea kutafuta Director of Football. Angekuwepo DoF angeweza anza mikakati ya usajili hata kama meneja bado hajatajwa. United kuna tatizo kubwa zaidi ya individual players, zaidi ya kocha.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
*AJAX vs JUVENTUS*

Ajax eliminated Real Madrid, Juventus eliminated Athletico Madrid. Both teams eliminated are from Spain.

*TOTTENHAM HOTSPURS vs MANCHESTER CITY*

Tottenham eliminated Borussia Dortmund, Manchester City eliminated Schalke 04. Both teams eliminated are from Germany.

*BARCELONA vs MANCHESTER UNITED*

Barcelona eliminated Olympique Lyonnaise, Manchester United eliminated Paris Saint Germaine. Both teams eliminated are from France.

*Coincidence? Or fixed? *
Fixed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ishu iko hivi: jamaa ni mpenzi mkubwa sana wa chelsea humu JF lakini muda mwingi sana unamkuta ndani ya hii thread akileta upinzani wake.
nimezungumza kama ni utani kwa kumwambia ahamie manchester united kwa sababu hii thread imeshamuathiri.
Hahahahaha hahaha siwezi huu kufanya upumbavu kama huu ..nikifanya hivi kizazi changu chote kilaaniwe...

The Bluez forever ..hata wajukuu zangu nitahakikisha wanakuwa Bluez fans.

KiNG OF LONDON..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, toka msimu wa 2014 Hadi Leo Man U wametumia zaidi ya 600 milions pound, Man City wametumia 680 milion , Chelsea na Liverpool wote chini ya 500 milion
Mbona watu bado wanalalamika kuwa Man U/ Edwoord& Glazer hawatoi fedha za usajili...
Walimu wote waliopita Moyes,LVG na Mou mamesajili wachezaji wa milion 600 ambao ufanisi wao haonekani Kama wenzao City (tofauti ya city na man u KWENYE usajili Ni 80milion pound, tofauti ya ubora wa timu hizo wote tunajua)

Wamiliki wa man u Ni wafanyabiashara(investors) lazima washawishiwe kuwa Ni Nini kimebadilika isijekuwa wachoma hela Kam kwa DEPAY,DE MARIA, BLIND, LUKAKU, SANCHEZ, POGBA, HENRICH, BASTIAN, na nk wote hao wakiuzwa/wameuzwa kwa nusu Bei ya kusajiliwa ndani ya miaka 2.5 wakiwa hawajazalisha kulingana na hell walizo nunuliwa
Afu bado wanaaambiwa wawekezaji/glazer/bodi watoe hela zaidi za usajili.... Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Lvg hakupewa hela za usajili wa kuimarisha Timu bali za kureplace wachezaji, anapewa timu hali ya kuwa mabeki watatu wa kutegemewa ndani ya club wanaondoka kwa mpigo, Vidic, Rio na Evra, midfield nao wanaondoka kina scholes, fletcher etc alibaki carrick, Giggs kastaafu, timu haina quality kabisa, ukiangalia usajili wa LVG alileta tu squad players kina shaw, Herrera, blind etc hao kina Di maria, Falcao etc waliletwa tu na timu kocha alikuwa na Target zake Muller, Robben Etc.

2.Hio 600 unayoitaja ina double counting kibao, mfano Di maria kanunuliwa kwa 60m kisha kauzwa kwa 45m hela yake ikanunuliwa mtu kama Depay na martial kwa around 60m again, huwezi kusema eti tumespend 120m kununua wachezaji watatu, ni hela ile ile imezungushwa.

3. Huu ni ushahidi wa uhuni wa Glazer na Woodward.

-miaka 10 iliopita Man U ndio timu ilioingiza hela nyingi zaidi ligi ya Uingereza kutokana na Activities mbalimbali. 1.3B pounds, kwa comparison timu ya pili ni Arsenal around 700m pounds, hivyo uone gap la hela baina ya Man U na timu nyengine, Man city ni around 140m tu.
images


-pamoja na kuingiza hela nyingi hawa jamaa wanazichota zote na kulipia Madeni ya Mmiliki, ikumbukwe kabla ya Glazer Man U ilikaa miaka zaidi ya 70 bila deni, ilikuwa ni Timu ya kuigwa Ila jamaa walivyofika na kuinunua Club wakahamishia Deni lao Binafsi kwenye Timu na kisha Wanatumia Hela zetu kulipia Deni lao.
Dv-X3_IXcAEOXoK-1024x909.jpg

Ukiangalia hizo data utaona kati ya 1.3B ilioingia almost 800m inalipa madeni na Riba.

-Hili graph linaelezea zaidi
Dv-X2MRWkAEt0vh-1024x945.jpg


Ukitoa spurs na arsenal, Man U ni timu ya tatu kutoka mwisho kwenye kutoa hela zake inazoingiza kwenye usajili. Imagine mkuu club tajiri zaidi duniani inashika nafasi ya tau toka mwisho kwenye kutoa hela za usajili unategemea nini?

Na bora hata hizo hela za timu wangeziweka kwenye cash ungesema labda wanasave for future na kuweka reserve kubwa,

Kiufupi mkuu tumepatikana sana, na sijui nani wa kututoa hapa, matajiri wengi wana Approach kuirudisha Man u ila jamaa wanatoa Unrealistic figures ili timu iendelee kuwa yao.
 
Back
Top Bottom