Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwahyo wew saiv unatusaida kutuhabarisha? Mbn futuhi la Arsenal na Chelsea hutujulish? Huu uzi ni wa Uefa. Naomba uheshimu
Uefa wamebadili first leg tie Baina ya Barcelona dhidi ya Manutd badala ya Nou Camp sasa kupigwa Old Trafford na inatokana na Kuwa Mancity na Manutd walipaswa game zao kucheza usiku mmoja kiusalama isingekuwa vyema Hivyo tokana na kuwa Manutd walimaliza chin ya Mancity basi Manutd ndie amekuwa mhanga wa ilo jambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Messiii tunaomba huruma yako baba
Screenshot_20190315-145830.png
 
Umeongea kitu cha maana sana!
Kuna baadhi ya mashabiki humu ni kichefuchefu wanaenda kwenye mashindano halafu wanachagua wa kukutana nae duuh...
Unacheza na Barca then unalialia sasa kama hutaki kucheza na Barca kwenye UEFA kuna haja gani ya kuomba tufuzu kwenye mashindano haya kila mwaka!
Kulia lia ni dalili ya u-coward mwanaume unatakiwa kujiamini!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mim nilishasema namtaka yoyote yule nipangwe nae na nitaruka nae dk zote 90 mamaeeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waambie Barca wawe tayari, tunakuja

Barca dhidi ya United siku zote imekuwa ni mechi ngumu, hii nayo itakuwa ngumu, after all katika hatua ya robo fainali usitegemee kukutana na timu rahisi. Kama unataka mechi rahisi nenda Europa League.

Moja kati ya mechi niliyokuwa ninaombea tukutane nayo ni hii ya Barca, kwa sababu kadhaa

1. Nadhani style ya uchezaji wa United inafaa sana ku deal na timu inayocheza kama Barca. Barca wanacheza pasi nyingi, united wanacheza counter attack zaidi. Nadhani timu inayocheza pasi nyingi inapata tabu zaidi kukutana na Barca kuliko timu inayocheza counter attack.

2. Barca ya leo si barca ya miaka ile. Pamoja na ubora wa Barca ya sasa kuwa na uwezo mkubwa lakini ukweli utabaki kuwa hii ni Barca bila Xavier, Barca bila Inniesta, Barca bila Puyol n.k. Lakini kubwa zaidi hii ni Barca ya Messi mwenye miaka 32 na si yule wa miaka 24 tuliyekutana naye 2011. Hapa ninakubali kuwa bado Barca ya sasa ni nzuri lakini hii sio ile Barca ambayo ndani ya miaka 3 ilichukua UCL mara 2.

Kipimo. Mpaka sasa kutokana matokeo United anayopata kuna watu wameanza kuamini kuwa United hana haja ya kusajili summer inayofuata. Je hatuoni kama kukutana na vigogo kama Barca ndio kipimo tosha cha mahitaji ya usajili? Hata hivyo, ukweli utabaki kuwa bila kujali matokeo ya hii mechi na Barca, bado united anapaswa kusajili Central Defender, Creative Midfielder, left footed Wenger na Right/Left back.

Kama tunataka kuchukua kombe la UCL, kulialia kwamba tumepangiwa na Barca ni kujidhalilisha (Unless tuwe tunajihesabu kama washiriki)



Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza kila kitu mkuu,,na OGS mapema tu baada ya kumtoa PSG alisema,United inaenda Nusu fainali bila wasiwasi,na mm naamini tunaenda nusu fainali
 
Umeongea kitu cha maana sana!
Kuna baadhi ya mashabiki humu ni kichefuchefu wanaenda kwenye mashindano halafu wanachagua wa kukutana nae duuh...
Unacheza na Barca then unalialia sasa kama hutaki kucheza na Barca kwenye UEFA kuna haja gani ya kuomba tufuzu kwenye mashindano haya kila mwaka!
Kulia lia ni dalili ya u-coward mwanaume unatakiwa kujiamini!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sawa,
 
Ningeumia kupangwa na Liverpool au Man city after all barca haiko vizuri sana msimu huu,

Dembele kaumia na atakuwa nje kwa two months ambaye angepoze threat kubwa sana kwenye right wing yetu kwa Dalot au Young
Vidal hayuko form sana,
Beki line ya Barcelona haina nguvu sana hivyo Lukaku anaweza kuwanyanyasa vizuri tu kina pique

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningeumia kupangwa na Liverpool au Man city after all barca haiko vizuri sana msimu huu,

Dembele kaumia na atakuwa nje kwa two months ambaye angepoze threat kubwa sana kwenye right wing yetu kwa Dalot au Young
Vidal hayuko form sana,
Beki line ya Barcelona haina nguvu sana hivyo Lukaku anaweza kuwanyanyasa vizuri tu kina pique

Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo zuri kuishi kwa matumaini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mid ya 5 utatembea sikuhiyo Matic, Herrera, mc Tomminay na pogba....tunaweza fanya lolote tukumbuke Barça defence yao sio makini sana endapo tutatumia nafasi vizuri turawaadhibu sana maana wanamakosa mengi sana..... Lukaku atamsumbua sana pique trust me and save this comment......Semi final babe, We are coming for you

Sent using Jamii Forums mobile app
We didn’t want the ball because when Barcelona press and win the ball back, we lose our position – I never want to lose position on the pitch so I didn’t want us to have the ball, we gave it away, I told my players that we could let the ball help us win and that we had to be compact, closing spaces.” (jose mourinho).

maneno haya aliyazungumza jose mourinho baada ya kumalizika kwa mechi ya pili ya nusu final kati ya inter milan na barcelona mwaka 2010 pale nou camp.
  • tunacheza na timu ambayo ni bora linapokuja suala la umiliki wa mpira kuliko juventus na PSG
  • tunacheza na timu ambayo ni bora linapokuja suala la pressing (tension unayompa mpinzani wako pindi unapopoteza mpira) kuliko liverpool na manchester city.
  • tunacheza na timu ambayo ni mabingwa wa kuwapa timu pinzani pressure hali inayopelekea wapinzani kupoteza muelekeo wanapokuwa na mpira na wasijue cha kufanya.
wakuu tunatokaje hapa?​
kuna uwezekano na sisi tutamuiga kocha wetu wa zamani na mbinu zake za kuwaruhusu barcelona wawe na mpira kila wakati huku tukiwazuia wasifike kwenye eneo letu la hatari?

kufanya hivyo je tuna ukuta kama wa inter milan ya mwaka 2010?

upande wa kushoto wa barcelona ndio chachu yao kubwa ya mafanikio kwa sababu ya ushirikiano wa jordi alba na lionel messi, ukija kwetu sisi upande wetu wa kulia hatupo vizuri hususani kwenye kushambulia na hata kulinda kwa nidhamu, hivyo basi adui yoyote tutakayekutana naye atautumia udhaifu huu tulionao kabla hata ya mechi kuanza, tunajiandaaje kwa ajili ya kuwazuia wendawazimu watatu (alba + messi + dembele/ coutinho) na wakati huo huo tunawapa pressure upande wa kushoto ili alba apunguze kiherehere cha kushambulia mara kwa mara?

ernesto valverde naye pia ni mwendawazimu linapokuja suala la kujilinda na kama kilichotukuta mechi ya PSG walipomzuia paul pogba upande wa kushoto pia na barcelona wanao uwezo huo wa kumzuia labile, je tuna plan nyengine kama barcelona na wao wataamua kuja na style ya man marking kwa paul pogba, tukumbuke psg walipomzuia pogba tulipiga shuti moja kwa dakika 90.
mwezi huu mmoja uliobaki kama ningelikuwa nipo karibu na OGS ningelimshauri amuondoe nemanja matic na nafasi yake ichukuliwe na herrera huku nafsi ya pogba acheze fred kama ilivyokuwa mechi ya pili ya PSG.
HERRERA + MATIC + FRED​
 
*AJAX vs JUVENTUS*

Ajax eliminated Real Madrid, Juventus eliminated Athletico Madrid. Both teams eliminated are from Spain.

*TOTTENHAM HOTSPURS vs MANCHESTER CITY*

Tottenham eliminated Borussia Dortmund, Manchester City eliminated Schalke 04. Both teams eliminated are from Germany.

*BARCELONA vs MANCHESTER UNITED*

Barcelona eliminated Olympique Lyonnaise, Manchester United eliminated Paris Saint Germaine. Both teams eliminated are from France.

*Coincidence? Or fixed? *
 
Back
Top Bottom