Maxmizer
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 4,799
- 4,230
Yaan hawa jamaa mpira wao ni kuvizia tu,Kuna zile mbili waliotea Dakika za mwanzo waligonga mwamba Mara mbili..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan hawa jamaa mpira wao ni kuvizia tu,
Na miaka yote man u huwa hatuwez kwenye swala la kiungo tunapokutana
Anachofanya huwa anatuchezea rafu akiamin wachezaj wa arsenal ni lain hivo wataogopa,then anavizia counter attack na anapata matokeo
Unai alishawasoma ,toka game ya FA na pia alifatilia video ya game yao na PSG ,
Ndio maana Leo kwa asilimia kubwa tumewazuia hizo counter attack zao
Sent using Jamii Forums mobile app
sawasawa ila leo UNAI kamfundisha kaziView attachment 1039832 OGS KWENYE USUKANI
acha kutoa upupu mkuu game wote tumeiangalia labda wewe ulijichimbia ukawa unaangalia rekodi ya manure na PSG....kwahiyo hizo nafasi mlikosa nyinyi peke yenu?na zile ambazo kina lacazette walikuwa wanakosa tungehesabu si mngepigwa 8 leo.....kubali kipigo tuHakuna mlichozuia pale zaidi ya Lukaku na Rashford kukosa chance za wazi, kama we uliona timu yako imetawala sana basi
kweli mpira hujui,ukiangalia possesion tuliwazidi ss sielewi unaongea nn, hio kuvizia unayoongelea ni tactic ya mpira ambayo
timu zote hutumia inaitwa counter Attack hata nyinyi pia mnaifanya sana na sio kitu cha ajabu kwenye mpira labda kama
umeanza kuangalia mpira juzi juzi.
3pointsManeno ya mkosaji haya
Wewe ulitaka ufungwe goli la namna gani?
Kama hujaona cha maana bas tambua sis tumeweka kinindon point 3 na magoli mawiliView attachment 1042731
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwani hujui jana kulikuwa na janga kubwa la upepo. Kuanzia ile mechi ya mchana malalamiko yalikuwa mengi (kumbuka na goli la kona kwenye mechi ya liverpool lililoingia lenyewe kwa kusukumwa na upepo) Mechi za jana mipira ilikuwa ikikatika sana. Lile goli la deGea upepo uliuvuta mpira ukahamia direction nyingine. Ndicho alichokuwa analalamikia.
Mkuu umeangalia mechi ya leo???? UNAMLAUMU FRED MECHI YA LEO!!!!!!!!Nadhani hujamuona fred. Cant pass.. cant mov hana speed. Hasaidii attaks. Yaani hovyo.
Angekuweo perreira mambo yangekuwa sawa pale. Fred hamna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
NI DHAHIRI HILI LA ROBO FAINALI UCL LIMEKUUMA SANA. NA BADO.Ana mech na man city mwenye njaa ya ubingwa
Ana mech na Chelsea
Top 4 itakuwa ni sawa na ngamia kupenya tundu LA sindano
Kwa UCL wawe wakweli tu PSG wamemtoa kwa msaada wa VAR na ujinga wao PSG,
Mpira toka unaanza man u yupo nyuma,
Anavizia counter, PSG wakarelax wakijua mech imeisha , counter zikazaa mabao mawili, na MOJA LA VAR
Lakin kimpira man u anakaa nyuma ,hata Leo dk 20 za mwanzo kakaa nyuma mpaka tulipomfunga ndio kajipapatua kuja mbele
Kwahali hii UCL utakutana na wahuni wanakubemenda mapema
Unaelekea futuhi msimu ujao
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiba ipi Mkuu
EPL Top 4 contenderKujipa Moyo muhimu,ila ndio mshakufa .
Ulikuwa shimoni baada ya ushindi wa ndondokela ndio unajitokezaNjoo uchambue tena baada ya haya matokeo ya Leo
Muwe mnaacha ujuaji, mpira hauchezwi mitandaoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna utetezi hapoBaada ya ule uchambuz wako fake kuwa mnashinda ukitoa sababu kibao kufeli
Umekuja na utetezi huu
Kwa taarifa tu top 4 bye bye
Mwakan futuhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie kabla ya mechi mlituaminisha mnashindwaYaan nyie watu kabla ya mech mmewaaminisha watu mnashinda
Sasa hivi mmegeuka maneno yenu
Mmekuwa kama kina lowassa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni kweli kufungwa na kibonde kama Arsenane inakera lakini mwisho wa siku hatuwezi kuwafunga sisi tu kila siku, ukilielewa hilo hutaumiza kichwaUsingizi nakosa asee, yaani nafungwa na aseno. Kwangu mimi aseno ji kagenge flan tu hivi kuifunga United ni kukoseana heshima. At least ningefungwa na wolves au burnely.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi 6 pale emirates, Man Utd won 6, Arsenal won 6Mkuu unapotembelea emirates hujawahi kucheza vzr pale kati hata kama utapata matokeo
Kubali Leo zile counter attack zenu hazijafanya kazi
Unadhan angekuwepo huyo Herrera , ungetawala kiungo?
Hata ile mech ya FA bado kiungo ulipotea ,bila ukawin kwenye counter
Kitu ambacho Leo tumekiziluia kwa asilimia kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
UnaiYaan hawa jamaa mpira wao ni kuvizia tu,
Na miaka yote man u huwa hatuwez kwenye swala la kiungo tunapokutana
Anachofanya huwa anatuchezea rafu akiamin wachezaj wa arsenal ni lain hivo wataogopa,then anavizia counter attack na anapata matokeo
Unai alishawasoma ,toka game ya FA na pia alifatilia video ya game yao na PSG ,
Ndio maana Leo kwa asilimia kubwa tumewazuia hizo counter attack zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Anasema eti alitawala kiungo, nadhani alikuwa anaangalia game tofauti na tuliyoangalia wengineHakuna mlichozuia pale zaidi ya Lukaku na Rashford kukosa chance za wazi, kama we uliona timu yako imetawala sana basi
kweli mpira hujui,ukiangalia possesion tuliwazidi ss sielewi unaongea nn, hio kuvizia unayoongelea ni tactic ya mpira ambayo
timu zote hutumia inaitwa counter Attack hata nyinyi pia mnaifanya sana na sio kitu cha ajabu kwenye mpira labda kama
umeanza kuangalia mpira juzi juzi.
8, unenikumbusha mlizopigwa 2011acha kutoa upupu mkuu game wote tumeiangalia labda wewe ulijichimbia ukawa unaangalia rekodi ya manure na PSG....kwahiyo hizo nafasi mlikosa nyinyi peke yenu?na zile ambazo kina lacazette walikuwa wanakosa tungehesabu si mngepigwa 8 leo.....kubali kipigo tu