interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
Sawa mzee baba tukutane Mei.Tunacheza na ratiba mzee baba
Mm sina big mechi tena mpaka next season
Wakat wewe unakutana na mnywa damu man city,
Unakuja kukutana na Chelsea ,
Wakati Chelsea ana Liverpool pia
Na tot ana mancity na Liverpool
Nadhan utakuwa umeelewa namaanisha nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli anafuraha maana ni muda mrefu sanaHuyo ana furaha tu ya ushindi wa leo wala siye yeye hapo bali ni hisia tupu.
"Time is wealthy when it's timed consecutively"
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewambia mpira sio maneno...Njoo uchambue tena baada ya haya matokeo ya Leo
Muwe mnaacha ujuaji, mpira hauchezwi mitandaoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna zile mbili waliotea Dakika za mwanzo waligonga mwamba Mara mbili..Mkuu unapotembelea emirates hujawahi kucheza vzr pale kati hata kama utapata matokeo
Kubali Leo zile counter attack zenu hazijafanya kazi
Unadhan angekuwepo huyo Herrera , ungetawala kiungo?
Hata ile mech ya FA bado kiungo ulipotea ,bila ukawin kwenye counter
Kitu ambacho Leo tumekiziluia kwa asilimia kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kelele tu ndio mnajua, mpira bado nyie
Mkuu na mimi nawashangaa ila itakuwa ni kwa vile hawakutarajia kuifunga United.GGMUKwahyo leo we umeona timu yako imepiga mpira mwingi sio?Goli moja mmepewa la bure jingine kipa kazingua tu sijaona cha maana sana mlichofanya dakika 90.
Mkuu na mimi nawashangaa ila itakuwa ni kwa vile hawakutarajia kuifunga United.GGMU
Mkuu unapotembelea emirates hujawahi kucheza vzr pale kati hata kama utapata matokeo
Kubali Leo zile counter attack zenu hazijafanya kazi
Unadhan angekuwepo huyo Herrera , ungetawala kiungo?
Hata ile mech ya FA bado kiungo ulipotea ,bila ukawin kwenye counter
Kitu ambacho Leo tumekiziluia kwa asilimia kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeumia ila umejikaza tu.
Yaan nyie watu kabla ya mech mmewaaminisha watu mnashinda
Sasa hivi mmegeuka maneno yenu
Mmekuwa kama kina lowassa
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku akicheza vizuri hiyo laana yako na MOU huwa inaenda likizo.Pogba ni mchezaji mzuri sana sema laana tu ya kumponda Bosi wake aliyemleta pale OT(Jose Mourinho) ndiyo inamtafuna ss hv
"Karma is a bitch"
"Time is wealthy when it's timed consecutively"
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaWe furahia huku kule manchester city anaondoka na ndooo klopp mwaka wa nne huu hata bakuli hana
Sent from my iPhone using Tapatalk
Upo sahihi,Tafuta post yangu niliyokwambia arsenal anafungwa
Manchester united ktk historia hajawahi kushinda mara mbili mfululizo ndani ya mwaka wakicheza na arsenal huwa anashinda mwaka ukipundika kama vile mwaka wa mourinho na solskjaer alivyofanya sio kurudia tena
Ila mwakan unatwangwa tena
Tusingeshinda mechi ya Fa ulikuwa unakufa kwa namna yoyote ile hata tucheze na madogo katikati
Leo historia ilikuwa upande wa arsenal nakwambia ukweli
Sent from my iPhone using Tapatalk
Pamoja sana kiongozHongereni sana mkuu
Sent from my iPhone using Tapatalk
Maneno ya mkosaji hayaKwahyo leo we umeona timu yako imepiga mpira mwingi sio?Goli moja mmepewa la bure jingine kipa kazingua tu sijaona cha maana sana mlichofanya dakika 90.
Teh teh tehMuda si mrefu atatoka